Umenitoka Moyoni kwa kusema kweli!
nilikupenda sana kuliko mtu yeyote hapa Duniani lakini matendo yako..
yamenichosha sana unipigii simu mpaka uwenashida,uniambii unanipenda mpaka nikiwa natakakukupa Fedha
kila siku unashida na kuumwa hakuishi kweli unanipenda au unapenda Pesa zangu....
Mimi nilikupenda sana lakini nimeona bora niache kiende kuliko kuking'ang'ania kikaendelea kuniumiza kwakheri Mpenzi Wangu....
nilikupenda sana kuliko mtu yeyote hapa Duniani lakini matendo yako..
yamenichosha sana unipigii simu mpaka uwenashida,uniambii unanipenda mpaka nikiwa natakakukupa Fedha
kila siku unashida na kuumwa hakuishi kweli unanipenda au unapenda Pesa zangu....
Mimi nilikupenda sana lakini nimeona bora niache kiende kuliko kuking'ang'ania kikaendelea kuniumiza kwakheri Mpenzi Wangu....