Uwanja wa Taifa giza Tena,Mwigulu ansema tupo salama
Jamani ,tuwe serious hii Ni mara ya pili.
CAF fungieni uu uwanja tafadhali
===========
Mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya Rivers United ya Nigeria imesimama kwa muda baada ya taa za uwanja wa Benjamin Mkapa kuzima ghafla.
Taa zimezima mchezo ukiwa 0-0 mnamo dakika ya 28.
Jamani ,tuwe serious hii Ni mara ya pili.
CAF fungieni uu uwanja tafadhali
===========
Mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya Rivers United ya Nigeria imesimama kwa muda baada ya taa za uwanja wa Benjamin Mkapa kuzima ghafla.
Taa zimezima mchezo ukiwa 0-0 mnamo dakika ya 28.