Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Hata Bwawa la JNHP likamelike na kutoa Mw 2100 bado watafanya mchongo kuliibia taifa. Mfano watatengeneza mgawo na kupiga kupitia hata ukarabati wa njia. Japokuwa unatakiwa kuwa endelevu.
Sukari huwa dili la mafisadi wa CCM na wafanyabiashara wakubwa ambao uhaba ukiwepo huagiza Sukari kwa bei rahisi na kuuza kwa bei kubwa. Hili suala la Sukari ni kulishinda taifa kama hili?
Halafu Mauritius wanatusambazia sukari.
Sukari huwa dili la mafisadi wa CCM na wafanyabiashara wakubwa ambao uhaba ukiwepo huagiza Sukari kwa bei rahisi na kuuza kwa bei kubwa. Hili suala la Sukari ni kulishinda taifa kama hili?
Halafu Mauritius wanatusambazia sukari.