Arabela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 3,127
- 2,227
Sasa ukinivalia ile kanga yako iliyoandikwa,sijali la mtu moyo wangu umefikika mbeleni pako,wacha kbs.
hahaha usijali niko kukupa masaprise jamani. Twende zetu usiku huu
Sasa ukinivalia ile kanga yako iliyoandikwa,sijali la mtu moyo wangu umefikika mbeleni pako,wacha kbs.
hahaha usijali niko kukupa masaprise jamani. Twende zetu usiku huu
Bahati mbaya sana sijawahi kupenda maishani mwangu,tafadhali ummu kulthum naomba swaumu ikiisha unifundishe kupenda..
Wewe ume mganda charmglad mpaka katoka nduki...then ukamgeukia my shem eversmillgn
jamani mi nimempenda charminglady ile mbaya,kwanza kabisa nilicho mpendea ni ile kumtongoza akawa mkali,akanitotea maneno mazito,akachukia mpaka basi,basi mie hupagawa napenda sana mwanamke msumbufu atongozwapo,mkali,mchungu.asiwe mwepesi kama Madame B
Mh Madame B leo nimemuomba anielekeze njia anayopita nimuone tu kaogopa nitamng`ata,ndio mwepesi huyo..??
yani kwa Madame B mbona mwepesi tu,yani ile kumuomba tu tayari ananza kutoa mojamoja kabla hata ajakukubalia,na ukichelewa kumuomba anakuomba yeye sasa ukae tayari,anakwambie yeye mtoto wa mjini,jijini hakuja kama sisi tulikuja kwa train bali kazaliwa
Dah..!!! habri njema sana hii ustaadh,wacha niyahifadhi maneno haya fo fyucha yuzi...
unaifadhi kwenye dustbin
Kwenye Sefu kaka dastibini wataenda kutupa kama sipo mwenyewe...
ila ninauhakika Madame B humuwezi,kama uamin ngoja mwezi mtukufu uishe uone
wakati ndio sasa ushawahi kukutana na mkweo gesti?
Ndo yatakayokukuta.
Jipe ma-hopu na Mtakatifu Paka huyo.
Vp lakini Cl ushaonana nae?
ha,ha,ha ukikutana nae si mnapeana tu!..kwa jinsi usivyo na hiana najua unaweza ukampagawisha mpaka akazimia,vip lakini huko kwa mtogole hamjambo?
Mtogole??
Tye of food or cloth?