Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,132
- 13,249
mshindwe na mlegezwe,
nitawageuza nyani mimi?
Au humjui kama baba yangu ni dr nanilii wa pale mwananyamala?
Nitawatumia popobawa hapo mlipo.
tumia bluetooth ya kiafrika aka sayansi mwitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mshindwe na mlegezwe,
nitawageuza nyani mimi?
Au humjui kama baba yangu ni dr nanilii wa pale mwananyamala?
Nitawatumia popobawa hapo mlipo.
bado tunajibu suali au tumeshaingia kipindi cha salam?
Kwa heshima ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, ntakujibia PM. Ila nakutahadharisha, cheza mbali na Madame B. Mziki mkubwa huo tuachie wakongwe tulioshindikana LOOL
Wewe acha kunionea wivu,
utaiacha dunia ingali bado unaipenda.
Marahaba hujambo princes
Yupo pemben amekuona...wifi yako anadeka sanaa hataki ninyanyuke...