mdoe
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 433
- 102
Kuanzia ubungo mataa mpaka mwanza airport kupitia njia ya dodoma - singida - shinyanga ni around kilometa 1200. Kama gari lako ni linajaza litre 80, utajaza mafuta dodoma na nzega kutegemeana na consumption. Kama halibugii sana wese, utajaza singida peke yake. Nakushauri usikimbie sana, epuka ajali. Watakaokucheka au kukudharau kuwa unaenda taratibu, hawapendi maisha yako. Be safe!