Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
- Thread starter
- #21
CCM imefikia hapo ilipo kwa kuwa na kulea tabia ya kudhani chenyewe hakiwezi kukosolewa. kuna wengine wanadai kuwa "constructive Criticism" ndiyo inayotakiwa na siyo "Destructive Criticism"Wallah wewe u mbali ningekupiga na Castle Lite bee, hayo anayoona ni mawazo mazuri ayawasilishe kwenye Chama Dume fake aone atakavyotolewa baruti na Riz 1 achilia mbali Makamba.Hapo ndo utajua hakuna kitu wala udume wowote isipokuwa ni JAMARI Group of Company.Note JAMARI (Jakaya, January, Makamba,Riz 1)
Lakini ni nani anapima kama ukosoaji huu ni wa kujenga au kubomoa? Wengine hatutaki kuwa " kondoo" kwenye kila kitu kinachofanywa na vyama tunavyovipenda. Kama CHADEMA inafikiri kwamba kukosolewa huja kwa hiyari ya anayekosolewa itakuwa imekosea sana.
Dhana ya ukosoaji imejijenga kwenye msingi wa kuonyesha upande wa pili wa mawazo kwa jambo husika. Wengi wetu tunakerwa sana kwa tabia ya CCM kukataa kukosolewa na tutazuia kwa nguvu zetu zote jambo hilo lisijijenge ndani ya CHADEMA.Kwani wao CHADEMA ni malaika toka mbingu gani hadi wasikosolewe?
we have to think positively!!