Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,763
Hizi sasa ni propagamba. Too sad ccm kwa mbinu zenyu
Magazeti ya nchi hii hayajui yanachokiandika!! Yamekuwa na ushabiki hadi waandishi wanaweka pembeni taaluma zao. Mimi nasoma magazeti machache sana na TAZAMA si miongini mwayo!! Hivi hili TAZAMA si ndio linaandikwa na jamaa mmoja anaitwa Charles Charles ambaye ni katibu wa CCM huko Iringa (kama hajavuliwa gamba)? Huyu jamaa si ndio aliomba apewe pesa za kulifufua gazeti sijui la changamoto (UVCCM). Sisomi magazeti kwa kuwa magazeti mengi ya Tanzania yamegeuka kuwa ya UDAKU
watu wakiambiwa ukweli wanakimbilia kusema wametukanwa! Leteni ushahidi wa kuzomewa kwa Slaa hapa vinginevyo kaendelee kucheza mdako msilete umbea humu
swahiba nilikumisi sana,naona sasa jeshi limekamilika! mwanzo mwisho watakoma mwaka huu
Uöngo mkubwa hao wametumwa ndio maana wameamua kugawa gazeti lao bure leo.
Kumbe gazeti la TAZAMA wala sishangai maana mwenye hilo gazeti anajulikana ni nani
sasa ninaamini kuna mijitu mingine akili zipo makalioni
Kwanza nawashangaa hao leo kusema umaarufu umeshuka, wao lini walijua umepanda maana hata siku moja hawajawahi kukubali kwamba cdm kimekuwa maarufu
Hata mimi nimeliona asubuhi nikasema ndio maana muhimbili hapatoshi, kama kuna wenye muda dawa ya hili gazeti ni kulishitaki tudai ushahidi ili lifungwe, si ndio hili la kada wa CCM charles charles aliyekua anaomba kazi kwa shigela? crap takataka mavi yake nae anajiita mwanaume anavaa suruali na kufunga mkanda?
kama kaanza kuzomewa subiri ipo siku mtasikia katimuliwa. na bado yeye sialijikinga kwenye kanisa? sasa maaskofu wasiokuwa wakatoriki wamesha anza kumwaga cheche na waumini hufuata msimamo wa viongozi wao kwahiyo Slaa hawezi tena pata umaarufu kwa wananchi maana wanaoelimisha jamii juu ya propaganda za slaa.
He umeileta tena kwa mara ya pili?
Raptor wewe ni great thinker..c mshabiki hata kidogo,.ila tegemea majibu mepesi ya kwamba umetumwa,.maana kuna watu humu ukikosoa tu chadema bs hawaangalii hata ulichoandika kina mantik ganGani,wao haraka wanashambulia mtu
Hata mimi nimeliona asubuhi nikasema ndio maana muhimbili hapatoshi, kama kuna wenye muda dawa ya hili gazeti ni kulishitaki tudai ushahidi ili lifungwe, si ndio hili la kada wa CCM charles charles aliyekua anaomba kazi kwa shigela? crap takataka mavi yake nae anajiita mwanaume anavaa suruali na kufunga mkanda?
Soma gazeti moja linaitwa Tanzania Daima, mmiliki wake ni yule mmilikiwa lile kasino linaitwa billicanas na pia ni mwenyekiti wa CDM, hili gazeti lipo vere sabjektivi. Ndio gazeti makini sana.
Duh poleni sana mlivyojipanga hadi huruma, halafu Msekwa anauliza kwanini CCM inachukiwa na vijana hasa kwenye mtandao wa JF kama nyie ndio watumwa wake mtamuua mzee wa watu kabla ya siku zake.
kama kaanza kuzomewa subiri ipo siku mtasikia katimuliwa. na bado yeye sialijikinga kwenye kanisa? sasa maaskofu wasiokuwa wakatoriki wamesha anza kumwaga cheche na waumini hufuata msimamo wa viongozi wao kwahiyo Slaa hawezi tena pata umaarufu kwa wananchi maana wanaoelimisha jamii juu ya propaganda za slaa.[/QUOTe
huna tofauti na k.m., kwa maana akili zako ziko chini, kwani ni nani asiyjua kuwa kuwa docta anapata uaarufu kwa sababu a u.s.nge wa ccm?, mimi mwenyewe ni ccm damu lakini kwa mambo wanayoyafanya naogopa hata hata kujitambulisha hata kwa wanangu wadogo, ni aibu. kwa mtu mzima kama mimi kudanganya. na mudasiyo mref nahamia rasmi kwa kuwa naogopa uongo. ccm tumekuwa wango utafikiri tumelogwa