Msafiri Haule
Member
- Aug 6, 2018
- 28
- 18
Hello,
Naweza kupata miche ya Macadamia?
Naweza kupata miche ya Macadamia?
Apple kwa Kiswahili ni TOFAA (moja) au MATOFAA (zaidi ya moja).Sijuhi kiswahiki cha apple, nahitaji Miche ya apples kama unayo mkuu au ushauri wa wapi inapatikana
Kwani inafaida gani hii midragon hadi iuzwe ghali namna hiyo?hapana usiniunganishe... too expensive ni bora niende kenya
sasa na wewe si u browse google utapata all details.Kwani inafaida gani hii midragon hadi iuzwe ghali namna hiyo?
Toa elimu acha ujingasasa na wewe si u browse google utapata all details.
kwani wewe ulienda shule kusomea ujinga??Toa elimu acha ujinga
Pole mdogo wangu karibu JFkwani wewe ulienda shule kusomea ujinga??
tafadhali nitake radhi, mtoto wangu alimaliza chuo kitambo na nilimfundisha kwenda kujisomea library.. hii ilinipunguzia maswali mengi ya kitoto, sasa nyinyi ambao mnataka materials kwa kumeza bila kutafuna unajaribu niita mdogo wako? asee madogo wa siku hizi inabidi tuwa send off somewhere till you expire.Pole mdogo wangu karibu JF
Wewe jamaa jam sanatafadhali nitake radhi, mtoto wangu alimaliza chuo kitambo na nilimfundisha kwenda kujisomea library.. hii ilinipunguzia maswali mengi ya kitoto, sasa nyinyi ambao mnataka materials kwa kumeza bila kutafuna unajaribu niita mdogo wako? asee madogo wa siku hizi inabidi tuwa send off somewhere till you expire.
mtoto rudi shule pasaka imeishaWewe jamaa jam sana
huo mche hapo kwenye picha maua yake hutoa matunda kweli au hupuputika hadi uwe na nguvuKuandaa matunzo ya awali ya miche ya matunda yenye umri wa mwaka mmoja kunaweza kuwa hatua muhimu kwa mafanikio ya miche. Hapa kuna vidokezo muhimu vya kuzingatia:
Idara ya Ushauri na matunzo ya shamba
Shamba initiatives and Agritours
Maumba strt, Boma rd
Morogoro mjini, Morogoro
0714600575 || 0620598113
1. Kupogoa/Pruning-Kata matawi yaliyokufa au yaliyoathirika kwa magonjwa na wadudu. Pia, fanya upogoleaji wa fomu ili kuunda muundo mzuri wa mmea,hii ifanyike kabla mvua za vuli au masika hazijaanza. Ili kuamsha ukuaji nzuri wa miche.
2. Mbolea/Fertilizer/manure-
Samadi ni vyema itumike ila ni vizuri ikifuatana na ya kuipa nguvu ya ziada,samadi inatofautiana upatikanaji wake na nguvu pia (kuanzia mfugo mkubwa kwenda mdogo kama kuku,sungura na popo,hizi za hawa wanayama wadogo TAHADHALI KUBWA ICHUKULIWE) Za mifugo mikubwa kuanzia debe 1 mpaka 3 zinaweza kutumika.Kutokana na sababu kadhaa zinaweza kutofautisha uwingi wa matumizi.Tumia mbolea ya kiwandani hasa zenye Nitrogen au mfumo wa Nitrogen kwa kuangalia unyevu wa udongo wako,inaweza kuwa za chini au za maua kwa uwiano tofauti mfano unaweza tumia Winner,Nitrobar pamoja na Power booster,Tecamin Agriful+Tecamin raiz yaani hizi za maji. Kama miche yako ni dhaifu au ina msongo utokanao na lishe wasiliana na wataalamu kabla haujatumia mbolea.
3. Umwagiliaji-Hakikisha miche inapata maji ya kutosha. Ila ni muhimu kutomwagilia sana, kwani unyevu mwingi unaweza kusababisha magonjwa ya mizizi. Njia ya Umwagiliaji kama ni shamba kubwa vyema itumike mfano matone kwa ajili ya kuhakikisha unyevu muda wote.
Kwa miche chini ya mwaka mmoja kwenda mwaka mmoja ikiwa inatumika njia ya kawaida walau Lita 20-25 kwa kutenganisha siku kadhaa katika wiki yaani Lita kadhaa siku fulani mpaka siku fulani ili kutunza unyevu,kama maji yapo unaweza kumwagilia vizuri ila sio kwa kupitisha kiwango.
4. Kulinda dhidi ya wadudu na magonjwa:- Fuatilia miche yako kwa karibu kwa dalili za wadudu au magonjwa na uchukue hatua za haraka kama inahitajika. Matumizi ya dawa za kibaiolojia au kemikali yanaweza kufaa.
Vyema ujiridhishe dalili ya ugonjwa au namna ya uharibifu wa wadudu uliofanyika katika mche au majani.
5.Kutumia mifumo ya kusaidia:- Tumia mifumo ya kusaidia kama vile michirizi ya mmea au vifaa vya kusaidia mimea kusimama vizuri na kuenea. Hapa unaweza pia kuweka miti ya kushikia mmea au staking,kulinda mmea dhidi ya ndege au wadudu wahqribifu kama panya nk.
Hapa msaada unaweza kutofautiana kati ya eneo moja kwenda lingine
6.Kuweka ardhi safi:- Ondoa magugu karibu na miche na hakikisha ardhi inabaki safi ili kuzuia magonjwa.
Epuka kutumia sumu za magugu,epuka sana sana katika shamba la matunda.
7. Kupunguza matunda:- Mara nyingine, inaweza kuwa muhimu kupunguza matunda ili kuweka nguvu kwenye ukuaji wa mmea badala ya uzalishaji wa matunda.
Hii inaweza kuwa yenyewe au ukasaidia ikiwa mche haudondoshi maua. Ili kuruhusu nguvu ya chakula iende katika ukuaji nzuri na kwa wakati.
Kumbuka kufuatilia miche yako kwa karibu na kurekebisha matunzo kulingana na mahitaji ya kipekee ya aina ya matunda unayotamani kupata.View attachment 2770444
Unatoa bila shida mkuuhuo mche hapo kwenye picha maua yake hutoa matunda kweli au hupuputika hadi uwe na nguvu
Miche ipo ni 15,000 TshKuna dada Yupo arusha mche moja be 40,000 uko tayari nikunganishe naye
ZipoSijuhi kiswahiki cha apple, nahitaji Miche ya apples kama unayo mkuu au ushauri wa wapi inapatikana
Ipo ila sinaUmenikumbusha mimea muhimu Sana kwa aina ya maisha tunayoishi. Bwana Mpanzi ??? Hii mimea ipo?? Na inaweza kustawi Singida??
Kweli kabisaApple kwa Kiswahili ni TOFAA, hilo ni moja na mengi ni MATOFAA.