Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,957
- 22,156
Hasa wale wa retrechment ama redenders ole usikurupuke kununu gari kisa shangazi wa mjomba ana gari mtalia...kabla ya kununua gari uliza uimara wake tafuta mafundi wazuri\watakuelimisha bure ...na kwa nini bure garamia.....
So hiyo itawasaidia kuwa free hata ukienda shaurimoyo uko comfortable sio unaenda unambiwa spare aipo duka moja mpaka ukuta wa mwisho
polen na mliosakiziwa yauzeni harak
So hiyo itawasaidia kuwa free hata ukienda shaurimoyo uko comfortable sio unaenda unambiwa spare aipo duka moja mpaka ukuta wa mwisho
polen na mliosakiziwa yauzeni harak