Uliza swali lisojibiwa popote pale

aduwilly

JF-Expert Member
Mar 11, 2009
1,176
305
Natoa ofa kwa mtu yeyote yule kuniuliza swali lolote lile ambalo jibu lake halijaandikwa, halijachorwa au kujibiwa mahali popote pale nami nitamjibu kwa ufasaha uliotukuka. Offer kama hizi ni mara chache sana huwa nazitoa.

Mfano wa swali ambalo unaweza kuuliza (ambalo jibu lake halijaandikwa, halijachorwa au kujibiwa mahali popote pale) ni;

1. Kwa nini vidole vya binadamu havilingani urefu?

2. Kwa nini kiganja cha mkono wa binadamu kina mistari?

Angalizo;

Usiulize swali nilolitoa hapo juu kama mfano
 
Natoa ofa kwa mtu yeyote yule kuniuliza swali lolote lile ambalo jibu lake halijaandikwa, halijachorwa au kujibiwa mahali popote pale nami nitamjibu kwa ufasaha uliotukuka. Offer kama hizi ni mara chache sana huwa nazitoa.

Mfano wa swali ambalo unaweza kuuliza (ambalo jibu lake halijaandikwa, halijachorwa au kujibiwa mahali popote pale) ni;

1. Kwa nini vidole vya binadamu havilingani urefu?

2. Kwa nini kiganja cha mkono wa binadamu kina mistari?

Angalizo;

Usiulize swali nilolitoa hapo juu kama mfano
kwa nn wewe umeanzisha mada kama hii wakati mimi nilishaianzisha na nikajibu maswali yote ambayo hayakuwahi kujibiwa?
 
reference please! uliuliza lini, wapi, ikibidi post hapa hilo swali lako
 
Kipi kilianza kati ya kuku na yai?

Kuku ndiye alieanza kwani yani haliwezi kuweka kiini kama hakuna mbegu ya kiume ilolirutubisha. Kwa wale wenye imani ya kidini Mungu alianza kuumba viumbe ambavyo aliweka mfumo wa kuzaliana ndani yao. Kwa upande ka wanyama yai hurutubishwa likiwa ndani ya kiumbe jike ili hali kwa ndege (kama kuku) na aina za reptilia (mjusi, mamba, kenge n.k), amphibia n.k mayai hurutubishiwa nje baada ya kutangwa na viumbe jike.
 
Ok Kitabu cha Salman Rushdie ''Aya za Shetani'' kina ukweli au uongo? kama ndio elezea na kama uongo elezea

Huenda uta-mind ila ukweli ni kwamba baada ya hicho kitabu kutoka wanazuoni mbalimbali wamejibu na hata makongambano yameendeshwa kujibu kila kitu na ndipo uamuzi wa kumsaka na wengine kumuhifadhi ulipofikiwa
 
kwa nini niyapitie haya?

Kwa sababu upo duniani ambapo unaishi na watu wenye utashi tofautitofauti na mifumo ilobuniwa na watu ama ilotokana na mazingira, hivyo it is existing condition which influence yo life
 
Back
Top Bottom