Uliza swali lisojibiwa popote pale

Kwa nini saa ikionesha 7 tunasema saa moja?

Hii ni kutokana na kutumia saa yenye mfumo ambao unaanzia saa sita kamili usiku (mid night) kwa mfumo wa masaa 24 au saa sita kamili mchana (noon) kwa mfumo wa saa 12, wakati mfumo wetu unaanza saa kumi na mbili asubuhi, na kufanya wakati kwetu ni lisaa limoja tangu kuanza kwa masaa 12 mapya, waingeleza wao ni masaa saba tangu (mid night or noon)
 
kwa nini chotara huitwa black?

Kwanza kabisa ni lazima kujua nini maana ya chotara, chotara ni kiumbe (hapa binadamu) ambae ametokana na rangi mbili tofauti (races). Hivyo anaweza akawa chotara wa kizungu na mchina, mwafrica na mwarabu, mhindi na mchina n.k

Na mara nyingi rangi nyeupe (white color) huwa ni dominancy ukilinganisha na nyeupe, ndo mana machotara wote walohusisha mwafrika (hapa black) huwa ni weupe (rejea Kali Ongara, mtoto wa Remmy Ongara kama mfano) hivyo kuwaita black ni utani zaidi kuliko uhalisia
 
je ukimwi ulitokana na nini?eti ni kweli ulitengenezwa?

Nadhani utakubaliana na mimi kuwa hilo limejibiwa kwenye vitabu, ila unatakiwa ujue tu kuwa nyuma ya kila ugonjwa kuna kiumbe, hivyo ukimwi umetokana na viumbe vinavyoitwa virusi vya ukimwi (vvu au HIV in english).

Kuhusu kutengenezwa, kama nimekuelewa vizuri unamaanisha je hawa vvu wamefanya kupandikizwa na binadamu kwenye mwili wa binadamu? Jibu linaweza kuwa ndiyo kwani kwa hali ya kawaida ni vigumu vvu kujizalisha (kwa mara ya kwanza) ndani ya mwili wa binadamu kwa njia ya asili, tofauti na chawa ambae anatokea kwenye mazingira machafu
 
Kwa nini wapenda facebook wengi niwatoto wa uswazi??

hii siyo kweli kwani facebook inawatumiaji toka kwenye daraja tofauti tofauti. kuhusu wengi wa uswazi kuipenda hii ni kutokana na ukweli kwamba facebook ni rahisi kuitumia na mara nyingi ni bila gharama yeyote (angalia internet za mitandao mingi ya simu "facebook ni bure").
Lakini pia ni kutokana na waanzilishi wake kuwa ni wamarekani. mara nyingi watu wa uswazi wanashabikia zaidi vitu vya marekani kuliko sehemu nyingine (ukiacha mpira)
 
Kwa nini ukiwa Freemasons unatajirika fasta...

Jibu ni kwamba freemasons wanaamini katika brotherhood, huku role model wao akiwa ni mfalme Suleman (Kingi Solomon). Hii inawafanya wawekeze zaidi kwenye utajirisho unaotokana na njia yeyote ile. Umoja wao pia umekuwa mtaji mkubwa sana kwao (hii ni rahisi tu, angalia hata wahindi wanavyobebana hapa bongo na jinsi wanavyotoka)
 
Kwanini umeacha kujibu watu ?

Near by Artinzu education center Mbeya.

Sijaacha kujibu watu, ila maswali yalipungua sana na watu wengi walokuwa wako online kwenye hii thread walikuwa ni guests ambao hawaruhusiwi kukomenti chochote
 
Kwa nini umeanzisha thread ya kipumbavu?

Hii siyo thread ya kipumbavu kwani zaidi ya asilimia 98 ya matatizo ya msongo wa mawazo (stress) ni kutokana na kuwa na maswali yasiyo na majibu. Hata watu wengi wanaojiua, wanaoua au hata kufanya kosa lolote lile ni kutokana na kukosa majibu kwenye mambo yanayowasibu. Hata wizi, na uharamia pia ni matunda ya kukosa majibu kwenye maisha ya kila siku hivyo kupelekea kufanya hivyo wakiamini ndo majibu.
 
kesho ndo leo au ndo kesho?

Kati misemo ya kiswahili sanifu tuna leo ndo leo, ila kesho ndo leo na kesho ndo kesho hakuna. Kitu kikubwa ni kujua kuwa ukiacha watoto wa kuku na ng'ombe kuwa na maana nyingine, vilobakia vyote vinabaki kuwa vyenyewe (mfano mtoto wa nyoka ni nyoka, dawa ya moto ni moto, leo ndo leo n.k)

Mtoto wa kuku ni tofauti kwani yeye ni kifaranga na wa ng'ombe ni ndama
 
kwanini kuna watu weupe na weusi?:msela:

Hii ni kutokana jua, wale ambao asili yao wameishi zaidi kwenye jua, mabadiliko ya kiasili (hapa genetic adaptation) yamefanya wawe na rangi nyeusi

Soma pia kitabu cha wimbo ulio bora (sulemani anasema "msinichunguze chunguze kwa kuwa mimi ni mweusi, kwani jua limeniunguza")
 
Kwanza kabisa ni lazima
kujua nini maana ya chotara, chotara ni kiumbe (hapa binadamu) ambae
ametokana na rangi mbili tofauti (races). Hivyo anaweza akawa chotara wa
kizungu na mchina, mwafrica na mwarabu, mhindi na mchina n.k

Na mara nyingi rangi nyeupe (white color) huwa ni dominancy
ukilinganisha na nyeupe, ndo mana machotara wote walohusisha mwafrika
(hapa black) huwa ni weupe (rejea Kali Ongara, mtoto wa Remmy Ongara
kama mfano) hivyo kuwaita black ni utani zaidi kuliko uhalisia

obama je? mbona anaitwa black?
 
Kwanza kabisa ni lazima kujua nini maana ya chotara, chotara ni kiumbe (hapa binadamu) ambae ametokana na rangi mbili tofauti (races). Hivyo anaweza akawa chotara wa kizungu na mchina, mwafrica na mwarabu, mhindi na mchina n.k

Na mara nyingi rangi nyeupe (white color) huwa ni dominancy ukilinganisha na nyeupe, ndo mana machotara wote walohusisha mwafrika (hapa black) huwa ni weupe (rejea Kali Ongara, mtoto wa Remmy Ongara kama mfano) hivyo kuwaita black ni utani zaidi kuliko uhalisia

ni zaidi ya utani. Ni kejeli.
 
Back
Top Bottom