pamoja na kusoma kote huko bado nakumbuka dokta flani alikamata nusu ya darasa l letu
pratap ana asili flani ya uhindiAnaitwa dr nani mkuu
Biology hiyo mkuu, poleyupo dr.pratap
Pamoja na kukuonyesha sentensi bado hujatambua kosa lilipo. Duuuh! Aisee,aya ngoja nikusaidie mdogo wangu!Kuna tatzo gan kwny hyo sentence mkuu, mbona unatokwa povu?
ahsante mkuu wapo wawili tu zoology ndo huwa wanazunguka duce, m.campus* muce hatari sanaBiology hiyo mkuu, pole
Hahah, mkuu uko serious au unatania? Naona mtoto wa nyoka anataka kuwa nyoka.
Karbuni sana aiseh. In case of anything don't hasitate to contact me!
Walimu wapo UDOM,I'm continuous student at DUCE
Daaah! Kama nyie ndo walimu basi hakuna chochote hapo. Kulikua na haja gani ya kuandika Kingereza ambacho hukijui vizuri? Ungeandika tu Kiswahili.
Siuseme m nasomea chuo tajwa hapo juu,Tungekuelewa unakipa promo chuo ambacho hata mkulu amesema ni cha vilazaWalimu wapo UDOM,
Hivi vyuo vingine competence ni ndogo sana