Kaliro X
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 749
- 438
- Thread starter
- #21
Mmh. Kwani tatz ni nn, ikiwa kila mwaka wanaingia watu wapya? Inamaana duce wanachaguliwa watu waaina hyo tuu. Sitaki kuamini mkuu!Sikutanii mkuu, ilo nmelithibitisha, kuna mmoja ameyaona maji ya baharin kwa mara ya kwanza baada ya kufika 3rd year
Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app