Uliwaza nini???

Jonogomero

Member
Feb 8, 2012
99
27
Kukopa wakati huna uwezo wa kulipa.... Uliwaza nnini???

Kuvaa kata k aka mlegezo wakati chupi chafu..... Uliwaza nini???

Kula kavu kavu wakati unajua anaumwa ngoma.... Uliwaza nini???

Kupanda daladala wakati unajua huna nauli..... Uliwaza nini???

Kuwanunulia bia na kujifanya unazo wakati familia yako inalia njaa... Uliwaza nini???
........!!!!!!!!.......??? ...... Hivi uliwaza nini??????????....
 
Kukopa wakati huna uwezo wa kulipa.... Uliwaza nnini???

Kuvaa kata k aka mlegezo wakati chupi chafu..... Uliwaza nini???

Kula kavu kavu wakati unajua anaumwa ngoma.... Uliwaza nini???

Kupanda daladala wakati unajua huna nauli..... Uliwaza nini???

Kuwanunulia bia na kujifanya unazo wakati familia yako inalia njaa... Uliwaza nini???
........!!!!!!!!.......??? ...... Hivi uliwaza nini??????????....



Kujifanya unampiga kibuti, na yeye akaona poa, poa, wakati yeye ndo unayempenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom