Jonogomero
Member
- Feb 8, 2012
- 99
- 27
Kukopa wakati huna uwezo wa kulipa.... Uliwaza nnini???
Kuvaa kata k aka mlegezo wakati chupi chafu..... Uliwaza nini???
Kula kavu kavu wakati unajua anaumwa ngoma.... Uliwaza nini???
Kupanda daladala wakati unajua huna nauli..... Uliwaza nini???
Kuwanunulia bia na kujifanya unazo wakati familia yako inalia njaa... Uliwaza nini???
........!!!!!!!!.......??? ...... Hivi uliwaza nini??????????....
Kuvaa kata k aka mlegezo wakati chupi chafu..... Uliwaza nini???
Kula kavu kavu wakati unajua anaumwa ngoma.... Uliwaza nini???
Kupanda daladala wakati unajua huna nauli..... Uliwaza nini???
Kuwanunulia bia na kujifanya unazo wakati familia yako inalia njaa... Uliwaza nini???
........!!!!!!!!.......??? ...... Hivi uliwaza nini??????????....