Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,148
Hello,
Ushawai kulala mchana ukaamka ukaona kama umechelewa kwenda shule au kazini?
Mimi imeshawahi nitokea nikiwa nimelala mchana nikaamka nikaona mbona kama nimechelewa shule, nikaamka chap, nikakimbilia bafuni kuoga na kuvaa sale za shule.
Sasa nikiwa navaa viatu kaka akaingia chumbani, akaniuliza unaenda wapi jioni? Nikamuuliza kwani saa ngapi? Akaniambia saa kumi na moja, dah nilijitukana sana nikavua chap.
Je, wewe ishawai kutokea?
Ushawai kulala mchana ukaamka ukaona kama umechelewa kwenda shule au kazini?
Mimi imeshawahi nitokea nikiwa nimelala mchana nikaamka nikaona mbona kama nimechelewa shule, nikaamka chap, nikakimbilia bafuni kuoga na kuvaa sale za shule.
Sasa nikiwa navaa viatu kaka akaingia chumbani, akaniuliza unaenda wapi jioni? Nikamuuliza kwani saa ngapi? Akaniambia saa kumi na moja, dah nilijitukana sana nikavua chap.
Je, wewe ishawai kutokea?