January Makamba alivyonisababishia Kula kimasihara
Cku chache zilizopita nilikubaliana na binti mmoja (demu wangu) kuwa nitakuwa mkoani kwake kwa siku kama moja hivo nikifika ntamuita ili nile mbususu nimefika mkoa huo nikamchek kumjulisha tayar nipo mjini hivo ajiandae aje kuliwa binti kakubali nikamwambia ngoja nitafute Room alafu nimshitue
Baada ya kupata Room namtafuta binti hapokei na nishalipia room iliniuma Sana mda mfupi kidogo cm ikazima charge wakati sina charge na umeme hamna hapo lodge wakaniambia waniwashie Solar nikasema sawa ilivyowashwa sina charge ikabidi nirudi kusaka charge kurudi nakuta binti kanitafuta lawama juu kuwa nimefanya kusudi na kuzima cm kumpigia akasema mda napiga alikuwa bafuni hivo hiyo miadi ikafa mda ulikuwa umeenda
Kimasihara sasa
Nilipiga akili ntafanyaje na chumba nimelipa ikabidi nitoke niongee na dada wa mapokezi sema nikakuta ni mama mtu mzima ghafla kuna ka binti kakapita kanaenda kwa mshikaji wake chumba jiran na changu nikamvuta nikampanga akagoma nikampa ten nikamwambia ingia tuongee kilichofata alizima cm nikatomba mpaka Kesho yake ndo akaondoka sikumjua hata jina alinipa no yake wala hata sikumtafuta wala Ku save
Kipara ni jau sana ona sasa ameleta mpaka UKIMWI......Kiparaaaa umeua kwa ukimwi kwa jau zako za kukimbia kimbia na umeme. Yan kipara alivyo na nongwa kaona aruke na Slaa kiulalo ulalo na ubalozi wake. Kipara ni muuaji
 
Ukinyimwa tunda kubali kiroho safi tu. Angekupa huo ufupi usinge uona. Alafu hii inadhihirisha jinsi gani ulivyo mshamba mtoto wa kiume kuwatoa kasoro wanawake.....real men hatupo hivyo.....


Sad part ni kwamba yeye sio omolo ukinyimwa tunda nyimika acha kulialia
Una umri gani wewe!!
Mbona kama mvulana ambae unakula ugali wa shikamoo
 
Mwana amecatch sana aisee, halafu hata haeleweki anapigania watu wafanye kitu gani anajaza server tu.
Sipendi wanaume wenye itikadi za kimbeambea kilicho watuma kuchukua vya huku na kumpelekea ndio hicho ninacho pigana nacho na lazima niwalete humu kwa sasa bado nachakata data
 
Hivi ilikwisha kukutoke hii...

Umekutana na pisi ukaimba fresh nayo ikasaini barida ila baadae unakutana na breking news kuwa ni mke wa mtu. Mbaya zaidi si mtu tu bali mwanao kabisa..

Situation hii ilinipata nikiwa Musoma mjini mitaa ya Nyakato. Kwanini nilifika hapa ni story ndefu ambayo inahitaji siku nzima kusimulia. Ila kumake it short Ni kuwa nilikuwa Musoma aka Mara.

Nyumba niliyokuwa nakaa ilikuwa ile ya mzunguko alafu mnakutana mtu kati. Wapangaji tulikuwa hatufiki kumi ila kulikuwa na kavurugu fulani asbuhi na jioni. Kama kawaida yangu mimi ni mtu fulani ambaye ni ngumu kuchangamana. Hivyo nikawa kivyangu vyangu, hata majirani nikawa siwajui wengine au majina yao.

Yupo jombaa fulani ambaye tulikuwa tunakutana mpirani sana, haswa ile ya usiku. Hivyo taratibu yule mwamba akawa mshikaji wangu pekee pale maskani. Na mimi na yeye ndio tulikuwa hatuna wake, mwanzo nilidhani hivyo. Kwa kuwa pia tulikuwa tunakutana kwenye mgahawa fulani pale mtaani.

Maisha yakasonga huku ushikaji wangu na mwamba ukakuwa. Nikiwa kwenye harakati za kupigania ukombozi kutoka kwa mkoloni mweusi. Nikakutana na pisi fulani kali kimtindo. Ni upwiru tu ndio ulinifanya nimfanyie ufisi ila hakuwa anamatch na standard zangu. Kwa kuwa kiswahili changu kilinyooka hakikuwa kile cha r na l, plus sound mchicha.

Mtoto akaona kaokota dodo chini ya mnazi fasta akanidondoshe digits. Sikulaza damu mchuzi wa supu unanyewa wa moto. Si nikashusha nondo somo la kutongoza hata nekta wasahihishe ovyo sikosi banda.

Zikafuata zile simu za night to morn, plus text za siku nzima. Ilikuwa inaboa ila ningefanya Nini na fisi niliitaka minofu.

Picha lilianza kuungua mara nilipomueleza ni wapi nakaa. Nikawa kila nikitaka mtoto aibuke Ngwea ananiletea visa mikasa.

Kila siku sababu haziishi. Nikawa kama nimechoka hivyo nikajipa mapumziko kwenye ile marathon.

Sasa sina hili wala lile niko home nafua j.pili si nikafuatwa na yule mwamba. Huku akinitambulisha kwa shemeji yangu ambaye ndio ile pisi. Pozi ziliisha kwa yule pisi kwa sababu mimi nilikuwa fresh na sikujua Kama kaolewa na yeye ndio alinificha.

Ila maisha yalisonga barida pasipo kuwepo na mvutano wowote. Wala hata tunda sikupata sitaki maswali!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom