Ulivyo kua unamtongoza hukujua kama ni demu wa shost mwenzio....demu amewatosa na vihelehele vyenu amewachapa za uso na umbea wenu...yaani mnavyo kandia demu aniache sijui mnataka niwale nyie
Mbona hata sio mzuri, emolo wako.
 
Sasa kwa nn mnamganda aniache awakubalie nyie baada ya kuchezea banzi huko inbox ndio mmegundua kuwa ni mfupi

Kwa hizi tabia mtapiga puli hadi mbaki mifupa shenzi
Siwezi kuchukua emolo, akisimama anafika kwenye magoti yangu
 
Wakuu mko sawa
Moja kwa moja kwenye uzi.

Mi nimeoa mtoto mzuri sana kutoka singida mnyaturu. Kuna mdogo wake akasema anataka kuja kwa dada ake japo ajiendeleze na ufundi wa kushona. Nikasema haina shida sa kale ka shemeji sjui kalipewa namba na dada mtu si kakaanza kunitumia visms kakiwa bado kapo huko.

Mi nikaamua kukatongoza kakagomagoma kakadai kenyewe eti ni katoto wakati kamemaliza form 4 miaka mitatu nyuma. Mara kaseme hakajawai kabisa kusex yaani hakayajui kabisa mambo hayo.

Nikakaza kakalegea ila kakasema niwe nakafundisha sasa mdogo mdogo. Nikasema sawa.

Sasa kamekuja yaani ni muoga sjapata ona mpaka nashindwa nimuingieje sasa maana si kwa uwoga huu na ana aibu hatari sjawai ona. Ila akiwa uko kwao tulishakubaliana nimtie.

Wakuu nipeni mbinu nifanyaje sasa kwa mtu wa namna hii.
Kama ni mnyaturu unaweza ukala hata ukoo mzima na wasikumaindi Wala nini.
 
January Makamba alivyonisababishia Kula kimasihara
Cku chache zilizopita nilikubaliana na binti mmoja (demu wangu) kuwa nitakuwa mkoani kwake kwa siku kama moja hivo nikifika ntamuita ili nile mbususu nimefika mkoa huo nikamchek kumjulisha tayar nipo mjini hivo ajiandae aje kuliwa binti kakubali nikamwambia ngoja nitafute Room alafu nimshitue
Baada ya kupata Room namtafuta binti hapokei na nishalipia room iliniuma Sana mda mfupi kidogo cm ikazima charge wakati sina charge na umeme hamna hapo lodge wakaniambia waniwashie Solar nikasema sawa ilivyowashwa sina charge ikabidi nirudi kusaka charge kurudi nakuta binti kanitafuta lawama juu kuwa nimefanya kusudi na kuzima cm kumpigia akasema mda napiga alikuwa bafuni hivo hiyo miadi ikafa mda ulikuwa umeenda
Kimasihara sasa
Nilipiga akili ntafanyaje na chumba nimelipa ikabidi nitoke niongee na dada wa mapokezi sema nikakuta ni mama mtu mzima ghafla kuna ka binti kakapita kanaenda kwa mshikaji wake chumba jiran na changu nikamvuta nikampanga akagoma nikampa ten nikamwambia ingia tuongee kilichofata alizima cm nikatomba mpaka Kesho yake ndo akaondoka sikumjua hata jina alinipa no yake wala hata sikumtafuta wala Ku save
Kipara ni jau sana ona sasa ameleta mpaka UKIMWI......Kiparaaaa umeua kwa ukimwi kwa jau zako za kukimbia kimbia na umeme. Yan kipara alivyo na nongwa kaona aruke na Slaa kiulalo ulalo na ubalozi wake. Kipara ni muuaji
 
Ukinyimwa tunda kubali kiroho safi tu. Angekupa huo ufupi usinge uona. Alafu hii inadhihirisha jinsi gani ulivyo mshamba mtoto wa kiume kuwatoa kasoro wanawake.....real men hatupo hivyo.....


Sad part ni kwamba yeye sio omolo ukinyimwa tunda nyimika acha kulialia
Una umri gani wewe!!
Mbona kama mvulana ambae unakula ugali wa shikamoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom