EEM M
Senior Member
- May 20, 2022
- 134
- 295
Wasalaam wana JF!
Bila shaka wote ni wazima na ambao hawapo sawa basi Mungu atawaponya soon, Amen.
Baada ya salamu naomba niende straight kwenye Mada.
Ni ndoto ya vijana wengi nikiwemo mimi kuvuka border na kwenda kuongeza elimu ikiambatana na kupata changamoto nyingine katika nchi za wenzetu waliotuzidi technology pamoja na level ya elimu.
Je, wewe ulishawahi kupata scholarship au ulishawahi kumsaidia mtu akapata scholarship?
Umekuwa ukipambana sana kupata scholarship bila mafanikio?,... Basi tukutane hapa maana naamini umoja ni nguvu na sharing is caring.
Kama ulishawahi kupata scholarship au una knowledge juu ya namna, techniques au hata ujanja wa kupata scholarship ya kusoma Abroad basi karibu u-share na sisi pia hapa.
Binafsi nilishawahi kujaribu ile ya INDIA ya SII lakini nilipata 25% on tuition fee so ikabidi niipige chini.
Nimefungua huu uzi ili tupeane maujanja na techniques za kutoboa Abroad kupitia elimu.
Bila shaka wote ni wazima na ambao hawapo sawa basi Mungu atawaponya soon, Amen.
Baada ya salamu naomba niende straight kwenye Mada.
Ni ndoto ya vijana wengi nikiwemo mimi kuvuka border na kwenda kuongeza elimu ikiambatana na kupata changamoto nyingine katika nchi za wenzetu waliotuzidi technology pamoja na level ya elimu.
Je, wewe ulishawahi kupata scholarship au ulishawahi kumsaidia mtu akapata scholarship?
Umekuwa ukipambana sana kupata scholarship bila mafanikio?,... Basi tukutane hapa maana naamini umoja ni nguvu na sharing is caring.
Kama ulishawahi kupata scholarship au una knowledge juu ya namna, techniques au hata ujanja wa kupata scholarship ya kusoma Abroad basi karibu u-share na sisi pia hapa.
Binafsi nilishawahi kujaribu ile ya INDIA ya SII lakini nilipata 25% on tuition fee so ikabidi niipige chini.
Nimefungua huu uzi ili tupeane maujanja na techniques za kutoboa Abroad kupitia elimu.