JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 630
- 957
Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Ulinzi wa Watoa Taarifa, lililopitishwa Desemba 2015 linasisitiza umuhimu wa kuwalinda Watoa taarifa na kuhakikisha wanaweza kutoa taarifa kwa Uhuru bila kuogopa mashambulizi au kisasi
Azimio hili linahimiza nchi Wanachama kuanzisha na kuboresha Mifumo ya Kisheria na Sera zinazowalinda watoa taarifa
Azimio hili linahimiza nchi Wanachama kuanzisha na kuboresha Mifumo ya Kisheria na Sera zinazowalinda watoa taarifa