Ulinzi wa kizamani huu siasa za Tanzania zimekosa wabunifu?

India.jpg

Nilishawali post kitu kama hiki siku chache zilizopita. Mlinzi wa Rais alivyo ni sawa na mpambe tu. Angalieni tofauti ya mlinzi wa Waziri Mkuu wa India alivyo smart na asivyoweza kugundulika kirahisi kama mlinzi, na kisha oanisha na mlinzi wa Rais wa Tanzania alivyopambwa na nguo za polisi magereza na kofia inayoonekana toka mbali kama mashua baharini. Uzamani huu utaisha lini?

Ukiona polisi wanavyotembea na magobole yao mitaani atamfukuzaje mhalifu wakati gobole lile linazidi urefu wake. Kununua bastola ni gharama ndogo sana ukilinganisha na pesa wanazolipishana posho wajanja tokana na kodi zetu.

Mkuu hapo nilipogogomea msumari nimecheka mpaka nimepaliwa, kweli wabongo mna maneno yamejipanga km meno ya mamba ni kuchomoa tu, duuh hii kali mkuu.
 
Waungwana walishawahi kusema usichokielewa usikishupalie kukitolea kauli. Unaelekezwa bado unajifanya kujua wakati hujui...vilaza wengine mnatia kichefuchefu!

India.jpg
_44865683_-6.jpg

Ziangalie hizo taswira mbili na tofautisha ustaarabu na update za system za wenzetu, tuko mafundi tu wa kuchakachua lakini masuala muhimu kama hayo yanaonyesha tu tulivyonyuma katika mengi.
 
India.jpg
Nilishawali post kitu kama hiki siku chache zilizopita. Mlinzi wa Rais alivyo ni sawa na mpambe tu. Angalieni tofauti ya mlinzi wa Waziri Mkuu wa India alivyo smart na asivyoweza kugundulika kirahisi kama mlinzi, na kisha oanisha na mlinzi wa Rais wa Tanzania alivyopambwa na nguo za polisi magereza na kofia inayoonekana toka mbali kama mashua baharini. Uzamani huu utaisha lini?

Ukiona polisi wanavyotembea na magobole yao mitaani atamfukuzaje mhalifu wakati gobole lile linazidi urefu wake. Kununua bastola ni gharama ndogo sana ukilinganisha na pesa wanazolipishana posho wajanja tokana na kodi zetu.


Yaani nimecheka mpaka basi mkuu wewe kwa maneno balaa...u made my day uku mbali niliko kucheka si swala la mara kwa mara..ni kutumika tu.
 
India.jpg
_44865683_-6.jpg

Ziangalie hizo taswira mbili na tofautisha ustaarabu na update za system za wenzetu, tuko mafundi tu wa kuchakachua lakini masuala muhimu kama hayo yanaonyesha tu tulivyonyuma katika mengi.

Ukiangalia picha hizo Rais Obama anavyolindwa distance from angle, sasa wapambe wa Kikwete wameziba nyuma yake na kuweka kivuli, hapo is not clear. Nimeona mara zote anapotembea rais kuna kundi kubwa linalomfuata au kumzunguka, kwa namna fulani watu hao kiusalama wanatia kiwingu kisichokuwa muhimu, na hata kitu kikimkuta atashindwa namna ya kukimbia. Huenda hao ndio wanaomaliza hewa na kusababisha Kikwete kuanga jukwaani mara kwa mara.
 
India.jpg
Nilishawali post kitu kama hiki siku chache zilizopita. Mlinzi wa Rais alivyo ni sawa na mpambe tu. Angalieni tofauti ya mlinzi wa Waziri Mkuu wa India alivyo smart na asivyoweza kugundulika kirahisi kama mlinzi, na kisha oanisha na mlinzi wa Rais wa Tanzania alivyopambwa na nguo za polisi magereza na kofia inayoonekana toka mbali kama mashua baharini. Uzamani huu utaisha lini?

Ukiona polisi wanavyotembea na magobole yao mitaani atamfukuzaje mhalifu wakati gobole lile linazidi urefu wake. Kununua bastola ni gharama ndogo sana ukilinganisha na pesa wanazolipishana posho wajanja tokana na kodi zetu.

Duhh katika mapunguani wewe umo tena nafasi za juu. Huyo mlinzi wewe ulimjuaje kama hajulikani?
 
Fuatilia nchi zote zenye mawazo chanya huwezi kuona rais akiwa na wapambe wenye sare za Nanyaro!!! Tatizo la mataifa yetu woga na upumbavu! Walinzi wetu bado wanatumia ulinzi wa kimwili (physical intelligence) badala ya ulinzi wa kiteknolojia! Nimewahi kufanya utafiti wangu binafsi juu ya ulinzi wa kiteknolojia, yani ikulu na viongozi wetu wapo wapo hatarini na hawajitambui!!! Ukitaka kujua siri mpaka za chumbani za viongozi wetu haihitaji kusafiri kuwafuata!! Hata kama upo USA au Ibiza siri zao zote utazipata pamoja na video zao!! Wasishangae siri nyingi za ikulu siku hizi zinatoka nje wakaanza kushikana uchawi kumbe wachawi ni wao!!!
Mungu ibariki Tanzania!!!

kwani ni lazima kufanya kama "wao" wanavyofanya?? hatuwezi kuwa unique na kufanya kivyetu ??
 
kwani ni lazima kufanya kama "wao" wanavyofanya?? hatuwezi kuwa unique na kufanya kivyetu ??

Kufanya kivyetu wakati yote tuliyonayo bado tuliyoachiwa na wakoloni kama magwanda ya polisi magereza, migobole, mabanda yaliyojengwa kwa magadi, aka mbavu za mbwa kwa ajili ya polisi, sasa kivyetu ndo kipi yakhe?
 
India.jpg


Hii simama ya kikwete na kufunga mikono kwa mbele kama yupo mbele ya mfalme ndio mbinu ya kuomba misaada? Maana Marekani tumechafuka hakuombeki, UK nako kunaelekea kutifuka kidogo, sasa tunageukia pande za masingasinga bado kuna matumaini ya kuhuishwa.
 
Candid Scope I hate to disagree with you but you are completely wrong. Wale ambao wameshakuwa kwenye sherehe kama hizi watakujulisha kuwa hata huyu raisi wetu anao walinzi wake ila hao uniformed ni mostly ceremonial na hii siyo case ya Tanzania tu ila nchi nyingi zinafanya hivyo. Ungepanua hiyo picha ungewaona walinzi wenyewe ambao ni just as credible as hao wa bwana Singh.

Candid Scope is quite right, always the body guard of our presda are in army uniform, hata akiwa Ikulu, hii ni indication kwamba Bongo hakuna amani! Nilikwisha angalia security ya Obama na akina Cameroon huwezi kuona magwanda magwanda, jamaa wamo kwenye miwani mweusi na suti!
 
India.jpg
Nilishawali post kitu kama hiki siku chache zilizopita. Mlinzi wa Rais alivyo ni sawa na mpambe tu. Angalieni tofauti ya mlinzi wa Waziri Mkuu wa India alivyo smart na asivyoweza kugundulika kirahisi kama mlinzi, na kisha oanisha na mlinzi wa Rais wa Tanzania alivyopambwa na nguo za polisi magereza na kofia inayoonekana toka mbali kama mashua baharini. Uzamani huu utaisha lini?

Ukiona polisi wanavyotembea na magobole yao mitaani atamfukuzaje mhalifu wakati gobole lile linazidi urefu wake. Kununua bastola ni gharama ndogo sana ukilinganisha na pesa wanazolipishana posho wajanja tokana na kodi zetu.

Kama hawezi kutambulika kirahisi wewe umemtambuaje? Hata mtoto mdongo wa kizazi cha leo atakwambia huyo ni body guard. Mie naona wote ni ulinzi wa kizamani pia...haijalishi amevaa magwanda ama la isipokuwa tujaribu kuangalia je... ni lazima awepo mtu nyuma ya raisi? Je obama uwa anawalinzi nyuma? wadau wa usalama tupeni nyeti hizi.
 
Hii thread mpaka sasa sijaelewa dhumuni lake ni nini? nielewesheni tafadhali.
 
Bongo bana, ni full vituko. Jana usiku niliona sehemu ya taarifa wakati huyo baniani anaonyeshwa ubingwa wa kukata mauno (sijui kama kucheza na nyoka ilikuwepo jana.) Wakati wanaondoka watu wamezonga magari halafu wale walinzi walovaa kiraia wanakurupuka kwenda kule mbele utadhani kuna purukushani fulani hivi, yaani mtu unapata taswira ya mabaunsa uchwara wa uswahilini. Ungetegemea watu wanaoingia pale wawe ni watu waliostaarabika, kujazana kando ya magari yalobeba wageni wapi na wapi. Hivi waheshimiwa wakienda nchi kama jamaica wanapigiwa reggae au??


Check red......, nimeipenda.....hv na wakienda uarabuni wanapigiwa sumsumiya?
 
Hii thread mpaka sasa sijaelewa dhumuni lake ni nini? nielewesheni tafadhali.

_44865683_-6.jpg
India.jpg

Tunachoongelea hapa ni update ya system katika masuala ya ulinzi wa viongozi. Mtindo huu tulio nao ni ule tulioachiwa na wakoloni wa kiingereza nusu karne iliyopita, hakuna jitihada zilizofanyika kuboresha au to update system.
Rais analindwa na mlinzi aliyevaa magwanda kama ya polisi magereza, je ni mfungwa? Kwa nini asiwe na walinzi smart ambao hawaonikani tofauti na mvao wa viongozi anaoambatana nao?
Pia mfumo wa ulinzi ambao raiz huzingirwa na kundi kubwa ni wa kizamani mno, kwani leo kuna teknology ambayo huhitaji kundi kubwa hivi. Utaona hata ndani ya chumba nyuma ya rais ambako kuna ukuta yupo bodigadi, hata haiingii akiiini kabisa analinda nini mgongoni kwa rais.

Rais akiwa uwanja wa ndege unaona walinzi wanamfuata kwa nyumba na wengine wamefunga njia mbele, anashindwa rais hata kupata fresh air ndio maana mara kadhaa amaangaka jukwaani sababu ya kuwamliziwa hewa kutokana na afya yake kudumaa kidogo.
 
Candid Scope is quite right, always the body guard of our presda are in army uniform, hata akiwa Ikulu, hii ni indication kwamba Bongo hakuna amani! Nilikwisha angalia security ya Obama na akina Cameroon huwezi kuona magwanda magwanda, jamaa wamo kwenye miwani mweusi na suti!

Kwani ulinzi ni miwani na suti?
 
Back
Top Bottom