Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

kweli kaka,hapo umetugusa wengi,mi naomba unijuze yafuatayo kaka,ni Ku satellites zipi ambazo ni fta zinazoweza kupatikana nchini kwetu na dish saizi gani inatakiwa kaka,naitwa yusuph naish dar
 
Mimi natumia Dstv lakini mida ya asubuhi mpaka jioni kuna baadhi ya channel huwa zinagandaganda yaani kama cd chafu ikiwa kwenye deki na mida ya saa 1 ya jioni huwa safi sijui tatizo nini waungwana

Kwa uelewa wangu signal za dish lako ziko chini mtafute fundi akupandishie ziwe juu,natumai hata kipindi cha mvua huwa huoni kitu.
 
Salaam wanaJF>mi natumia dish la wavu ft8 nko kwny intelsat 906@64°E hapa napata IPP Media,Ch10,Star tv, TBC Pamoja na Afrique Media...je naweza kupata ch zaidi ya hapo tajwa kwa mediacom MPEG 2 DVB-S..msaada plz!
 
kaka,nkusaidie kwa uelewa nlonao na haya mambo,tuanze na kufunga c band ya pili kwa ajili ya aljazeera,kwanza hiyo lnb unayopatia local channel imeshikwa na scallaring,na hiyo ring imeshikwa na mikono 3 ya dish,cha kwanza cha kufanya,hakikisha mmoja kati ya mikono hiyo umefungwa sehemu ya mbele ya dish yako.Yaani unaposimama mbele ya dish yako,mkono mmoja uwe umefungwa usawa wa miguu yako,na mwingne ufungwe juu kushoto na mwingne juu kulia,sasa ukisha fanya hivyo,wakati local lnb yako iko pale pale na unapata local channel,kati kati ya mikono 2 ya dish,yaani mkono wa kushoto na kulia,hiyo sehemu ndipo inapotakiwa ifungwe c band ya aljazeera,sasa hiyo scallaring inatakiwa ikatwe ili hiyo c band iweze kukaa,baadae tunaendelea,mpaka hapo vp kaka
 
Mr.nictbb nmekupata sa ngoja niyafanyie kazi maelezo yako>hizo mozambique chnl tyari nnazo tatzo ni hyo tbn haifunguki..Shukran mkuu!..
 
Nina dish la futi 6 napata vizuri eatv,itv,na capital.Lakini ni muda Tbc1 na startv sipati kabisa.Je naomba kujua kuna mabadiliko ya frequency naomba mnijulishe.
 
Arselona kuhusu madishi, mtu si anaweza kusuka lake mwenyewe? Nilienda kijijini kwa mshikaji nikakuta amesuka dish lake mwenyewe sikuamini. Alitumia wavu wa chekecheke kusuka. Anapata channel kibao including zinazoonyesha EPL.
 
Last edited by a moderator:
Arselona kuhusu madishi, mtu si anaweza kusuka lake mwenyewe? Nilienda kijijini kwa mshikaji nikakuta amesuka dish lake mwenyewe sikuamini. Alitumia wavu wa chekecheke kusuka. Anapata channel kibao including zinazoonyesha EPL.

inawezekana kabisa ila lazima ujue mahesabu ya kukalua focal point. veta wanafanya kazi hiyo.
 
Last edited by a moderator:
kweli kaka,hapo umetugusa wengi,mi naomba unijuze yafuatayo kaka,ni Ku satellites zipi ambazo ni fta zinazoweza kupatikana nchini kwetu na dish saizi gani inatakiwa kaka,naitwa yusuph naish dar

eutelsat 36a/36b, amos5, w3c, nss12, eutelsat7, nilesat201, yahsat, kaka hizi kwa uchache. Ukubwa wa dish kuanzia ft 2 hadi 4 kutegemea na aina ya sat unayotaka
 
Salaam wanaJF>mi natumia dish la wavu ft8 nko kwny intelsat 906@64°E hapa napata IPP Media,Ch10,Star tv, TBC Pamoja na Afrique Media...je naweza kupata ch zaidi ya hapo tajwa kwa mediacom MPEG 2 DVB-S..msaada plz!

hyo afrique media n ya wapii... Tugee na frequency
 
me naomba msaada juu ya hili jana nimefunga c band ya pili nyuma ya ile ya local channel nimepata aljazera,hope,samaa,ftv,takber tv,peace,ccctv n.k lakin mbona sijapata zile za kihind mfano dd india,dd sport,b4u,tala bangla. embu nijuzeni wana jukwaaa alaf naomba kujua kwenye hii sat ya 64.5e kuna channel ngap kwa xaxa maana me nazpata 11
 
me naomba msaada juu ya hili jana nimefunga c band ya pili nyuma ya ile ya local channel nimepata aljazera,hope,samaa,ftv,takber tv,peace,ccctv n.k lakin mbona sijapata zile za kihind mfano dd india,dd sport,b4u,tala bangla. embu nijuzeni wana jukwaaa alaf naomba kujua kwenye hii sat ya 64.5e kuna channel ngap kwa xaxa maana me nazpata 11

Hapo ziko nyingi sana Mkuu tafuta mtaalam akufungie vizuri hiyo LNB
 
Back
Top Bottom