santacruiz
Member
- Sep 18, 2016
- 7
- 0
we mara ya mwisho kupata tbc lnKazi ipo maana start tv,Itv na channel ten siyo za kukosa kabsa kwa swala la habari,tbc hata ikifa siyo mbaya
we mara ya mwisho kupata tbc lnKazi ipo maana start tv,Itv na channel ten siyo za kukosa kabsa kwa swala la habari,tbc hata ikifa siyo mbaya
Sikumbuki hata maana ni mda mrefu sana sipati channel ten na tbc na sasa star tvwe mara ya mwisho kupata tbc ln
kaka izo chanel bado unapataMotor inafaa kama unashika channel za C Band peke yake.Kwa sasa nashika satellite sita zifuatazo Intelsat 906,Intelsat 20 C na KU,NSS 12,Amos5,Eutelsat 16A,na Eutelsat 7A.
Channel ten pia hawapo na tbcVipi Startv watarudi lini kwenye madish ya kawaida?Nasikia kwenye Azam inapatikana vizuri.
Channel ten wapo ila kwa MPEG4 receiver pia TBC signal ni ndogo sana.
Star TV sasa inapatikana katika satellite ya ABS 2 @75E Frequency 3821 V DVB-S SR 2400.Hii satellite iko pale ilipo Ting ila Star Tv iko kwenye C band tofauti na Ting ambayo iko Ku Band ila satellite ni ileile.
Wameanza lini kuwa katika c bandStar TV sasa inapatikana katika satellite ya ABS 2 @75E Frequency 3821 V DVB-S SR 2400.Hii satellite iko pale ilipo Ting ila Star Tv iko kwenye C band tofauti na Ting ambayo iko Ku Band ila satellite ni ileile.
Tv ya Kenya nitaipataje kwenye dish la free to air ?Nina shda ya kupata Star tv, Tbc,na chnl ten. Nimejaribu kugeuza Fb(kibao) ili kuset kwny Horntal labda ningepata,lakini sikufanikiwa. Nakosea kitu gani? Lnb nyingine za Aljazeera,Kenya na Emmanuel zote zinafanya kazi. WHAT MIGHTY BE THE PROBLEM.?
Tv gani unataka Kenya kuna TV nyingi.Tv ya Kenya nitaipataje kwenye dish la free to air ?
Tumia ungo wa ft8.LNB zenye nguvu ni Supermax 777 na Eurostar ya njia mbili.Wapendwa msaada namna ya kuipata sport 24 maana nimeiangaikia kwa wiki mbili sasa bila mafanikio japo nilikua nazisaka Nss 12 channel ni nazo kutana nazo ni T-chad,Bfbs,bbc one,bbc two,bfbs extra,sky sport 1 uk na zingine nyingi bila hii sport 24 kuingia,pia naombeni kujua hivi kuna C band yenye nguvu kuliko hizi nilizo zizoea kama Galf star na Star gold?ahsanteni
Walianza hivi karibuni lakini sasa wametoka.Ila kuna startv imefungwa kwa biss pale ilipo continental ila sina key yake.Wameanza lini kuwa katika c band