Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Star TV sasa inapatikana katika satellite ya ABS 2 @75E Frequency 3821 V DVB-S SR 2400.Hii satellite iko pale ilipo Ting ila Star Tv iko kwenye C band tofauti na Ting ambayo iko Ku Band ila satellite ni ileile.
 
Nina shda ya kupata Star tv, Tbc,na chnl ten. Nimejaribu kugeuza Fb(kibao) ili kuset kwny Horntal labda ningepata,lakini sikufanikiwa. Nakosea kitu gani? Lnb nyingine za Aljazeera,Kenya na Emmanuel zote zinafanya kazi. WHAT MIGHTY BE THE PROBLEM.?
Tv ya Kenya nitaipataje kwenye dish la free to air ?
 
Ndugu Mimi nipo arusha je tunaweza wasiliana uje unisetie dish langu la ft 6 nipate channel za eatv na nyingine?
 
Wapendwa msaada namna ya kuipata sport 24 maana nimeiangaikia kwa wiki mbili sasa bila mafanikio japo nilikua nazisaka Nss 12 channel ni nazo kutana nazo ni T-chad,Bfbs,bbc one,bbc two,bfbs extra,sky sport 1 uk na zingine nyingi bila hii sport 24 kuingia,pia naombeni kujua hivi kuna C band yenye nguvu kuliko hizi nilizo zizoea kama Galf star na Star gold?ahsanteni
 
Wapendwa msaada namna ya kuipata sport 24 maana nimeiangaikia kwa wiki mbili sasa bila mafanikio japo nilikua nazisaka Nss 12 channel ni nazo kutana nazo ni T-chad,Bfbs,bbc one,bbc two,bfbs extra,sky sport 1 uk na zingine nyingi bila hii sport 24 kuingia,pia naombeni kujua hivi kuna C band yenye nguvu kuliko hizi nilizo zizoea kama Galf star na Star gold?ahsanteni
Tumia ungo wa ft8.LNB zenye nguvu ni Supermax 777 na Eurostar ya njia mbili.
 
Back
Top Bottom