Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Kwani mtu aliyepata div 3 hawezi hata siku moja kumshauri aliyepata div 1? Wewe unadhani ukipewa hata ubalozi wa nyumba10 utaweza? Wenye kujua uongozi tunajua mazingira yanavyoathiri leadership contingently,judge the made advice regardless the adviser is impared or otherwise
Anywy,Ukubwa dawa na kuishi kwingi kuona mengi,naamini ushauri umetolewa kwa mda muafaka na kwa mlengwa muafaka.
Anywy,Ukubwa dawa na kuishi kwingi kuona mengi,naamini ushauri umetolewa kwa mda muafaka na kwa mlengwa muafaka.