Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Dah..bado sijampata mimi..
kwahiyo ulienae sasa hv si mzuri Elizabeth.
Hizi kauli za Rogi zinatia matumaini au unaonaje Elizabeth Dominic......................hajapata lakini angependa kujua kama huridhiki na khali ya mahaba uliyonayo........what do you think Elizabeth Dominic?
kwahiyo ulienae sasa hv si mzuri Elizabeth.
real mi hata sielewei mwenzenu nimejikuta tu nimenasa mikonono mwake, maana sikumpenda day 1 baada ya kunifuatilia muda mrefu sijui ikawaje bac nikajiluta mbele ya paroko na sasa its about ten yrs na ninampenda balaaa. but for sure sijui ilikuwaje.
[MENTION]Nilipomtizama tu machoni nikajua huyu ndie mganga na mganguzi ...
Honestly Rutashubanyuma i'm confused kidogo hao sura nzuri siwataki tena or rather kigezo hakitajengwa katika taswira sana, but it wouldn't hurt to get a hunk........lol
[MENTION]Lady JayDee hajaiona hii mistari aitolee single?
Hizi kauli za Rogi zinatia matumaini au unaonaje Elizabeth Dominic......................hajapata lakini angependa kujua kama huridhiki na khali ya mahaba uliyonayo........what do you think Elizabeth Dominic?
Elizabeth Dominic...........................acha uchokozi................u mean a hunk of a man?...............lol.....I know where you are driving at...........but I urge you to focus on his heart not his attractive looks ....take looks as a mere bonus.........I know it is tough but you won't regret.......find the means to search his deepest and innermost of his thoughts towards you.............................and you will be safe.............
Hahaha...umejuaje Rutashubanyuma..namtafuta huyu tangu kipindi JF iko exile kwa ajili ya matengenezo...
there is alot more Rutashubanyuma as i have said the rest was realy a history, and here we are today! what about u ruta? tel me your side! lol!cacico.......yeye vidole naye akakugwaya bila ya chenga ,.....................na wewe je what really happended....just a mnly voice?................there ought to be more...................a gentle aura......................that was least threatening to you made you feel safe in his ably hands? Or what was it that made you say I do...........