Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
wadau nmekumbuka sana v2 nlivyofanya ile cku ya kwanza nakumbuka nlitumia windows 95 ku paint ua je wadau wengine hivi siku ya kwanza mlitumia computer kufanyia ki2 gan?
wadau nmekumbuka sana v2 nlivyofanya ile cku ya kwanza nakumbuka nlitumia windows 95 ku paint ua je wadau wengine hivi siku ya kwanza mlitumia computer kufanyia ki2 gan?
Mim siku ya kwanza nilikuwa nasoma tosa boys huko iringa so weekend ukiwa na vijicent unakwenda town kuosha macho na kwenda kuangalia X na kusikiliza mziki cafe.
Mim kwa mala ya kwanza kwa mkono wangu nilifanikiwa kufungua X ile ku play tu sauti ilikuwa juu ile mbaya kwa kupunguzia sipajui ?
Ilikuwa kizaa zaa
Mim siku ya kwanza nilikuwa nasoma tosa boys huko iringa so weekend ukiwa na vijicent unakwenda town kuosha macho na kwenda kuangalia X na kusikiliza mziki cafe.
Mim kwa mala ya kwanza kwa mkono wangu nilifanikiwa kufungua X ile ku play tu sauti ilikuwa juu ile mbaya kwa kupunguzia sipajui ?
Ilikuwa kizaa zaa
Mim siku ya kwanza nilikuwa nasoma tosa boys huko iringa so weekend ukiwa na vijicent unakwenda town kuosha macho na kwenda kuangalia X na kusikiliza mziki cafe.
Mim kwa mala ya kwanza kwa mkono wangu nilifanikiwa kufungua X ile ku play tu sauti ilikuwa juu ile mbaya kwa kupunguzia sipajui ?
Ilikuwa kizaa zaa