Ulalamishi kuhusu wabara kupata ardhi Zanzibar

Kishimbe wa Kishimbe

JF-Expert Member
Jul 18, 2013
4,714
4,227
Ninadhani sasa ni muda muafaka wa kulijadili suali nililotaja kwenye 'heading' kwa kina, IKIWEZEKANA LIENDE BUNGENI!, maana naona kuna watu, kwa chuki zisizo na msingi, wameamua kulitumia suala hili kiuchochezi zaidi! HEBU WADAU WAJIULIZE TU KWANINI HAWAPEWI PLOTS KUJENGA 'NGORONGORO CONSERVATION AREA', NATUMAINI, KAMA WANA AKILI TIMAMU,WATAJIJIBU!

Zanzibar, kama sehemu ya muungano, ni nchi na sisi Wabara hatupaswi kuingilia masuala yao ya arhi ambayo sio ya kimuungano! Kama sisi, kwa uzembe wetu, tulilegeza kanuni zetu za kugawa ardhi, kwa hila au la, basi tukubali maumivu au turekebishe panapotukera kimyakimya na sio ati kuwalazimisha na wenzetu warudie UZEMBE WETU!

ZANZIBAR INA ARDHI NDOGO YENYE HIFADHI YA SEHEMU NYINGI ZA MAKUMBUSHO YA KIHISTORIA NA IKIRUHUSU WABARA WAJICHUKULIE ARDHI HOVYOHOVYO KWANZA ARDHI YENYEWE HAITATOSHA KITU, NA HAITAKUWA ZANZIBAR TENA MAANA HUENDA WAHAMIAJI KUTOKA BARA WAKAWAZIDI WENYEJI WENYEWE!

TUHESHIMU JUHUDI WANAZOFANYA WENZETU KUILINDA ZANZIBAR YAO!
 
Ameandika ujinga tu huyu mwenzetu ,wee unaona sawa wao waje wanunue ardhi na wamejazana kila mahara lakini sie tusiwe huru kununua ardhi kwao ?yaani na sawa na mtu awe anakula kwenu kila siku ila wewe ukitaka kwenda kula kwao hataki ,sasa si ungese huo
 
Ameandika ujinga tu huyu mwenzetu ,wee unaona sawa wao waje wanunue ardhi na wamejazana kila mahara lakini sie tusiwe huru kununua ardhi kwao ?yaani na sawa na mtu awe anakula kwenu kila siku ila wewe ukitaka kwenda kula kwao hataki ,sasa si ungese huo
... kama tuliruhusu ujinga huu, kwa hila au la, ni muda wa kurekebisha!
MOST IMPORTANT IS JUSTICE!
 
ULALAMISHI KUHUSU WABARA KUPATA ARDHI ZANZIBAR!
Ninadhani sasa ni muda muafaka wa kulijadili suali nililotaja kwenye 'heading' kwa kina, IKIWEZEKANA LIENDE BUNGENI!, ... maana naona kuna watu, kwa chuki zisizo na msingi, wameamua kulitumia suala hili kiuchochezi zaidi! HEBU WADAU WAJIULIZE TU KWANINI HAWAPEWI PLOTS KUJENGA 'NGORONGORO CONSERVATION AREA', NATUMAINI, KAMA WANA AKILI TIMAMU,WATAJIJIBU!

Zanzibar, kama sehemu ya muungano, ni nchi na sisi Wabara hatupaswi kuingilia masuala yao ya arhi ambayo sio ya kimuungano! ... kama sisi, kwa uzembe wetu, tulilegeza kanuni zetu za kugawa ardhi, kwa hila au la, basi tukubali maumivu au turekebishe panapotukera kimyakimya na sio ati kuwalazimisha na wenzetu warudie UZEMBE WETU!

ZANZIBAR INA ARDHI NDOGO YENYE HIFADHI YA SEHEMU NYINGI ZA MAKUMBUSHO YA KIHISTORIA NA IKIRUHUSU WABARA WAJICHUKULIE ARDHI HOVYOHOVYO KWANZA ARDHI YENYEWE HAITATOSHA KITU, NA HAITAKUWA ZANZIBAR TENA MAANA HUENDA WAHAMIAJI KUTOKA BARA WAKAWAZIDI WENYEJI WENYEWE!


TUHESHIMU JUHUDI WANAZOFANYA WENZETU KUILINDA ZANZIBAR YAO!
Hao unaowaita wenyeji walitoka wapi kama sio bara??? Au umesahau kuwa watumwa walitokea bara???

Hiyo ni lame excuse, na after all hakuna atakayelazimishwa kuuza ambaye anahitaji kuuza atauza

Asietaka ataendelea kutunza utamaduni wake, mnapinga mtu kumiliki ardhi as if mtu anapanda tu boti na kufika huko zenji anaingia kwenye kichaka na kuanza kufyeka mapori na kuweka makazi ilhali ikiwa mtu anataka kuuza anauza kwa hiyari yake

NB: takwimu zinaonesha kuwa idadi ya wazenji waliopo bara kwa idadi wanazidi idadi ambayo imebaki kule visiwani, sasa jiulize.hawa wote warudi huko itakuwaje??? Msiwe kama mang'ombe mkitaka kula lazima mkubali kuliwa
 
Hao unaowaita wenyeji walitoka wapi kama sio bara??? Au umesahau kuwa watumwa walitokea bara???

Hiyo ni lame excuse, na after all hakuna atakayelazimishwa kuuza ambaye anahitaji kuuza atauza

Asietaka ataendelea kutunza utamaduni wake, mnapinga mtu kumiliki ardhi as if mtu anapanda tu boti na kufika huko zenji anaingia kwenye kichaka na kuanza kufyeka mapori na kuweka makazi ilhali ikiwa mtu anataka kuuza anauza kwa hiyari yake

NB: takwimu zinaonesha kuwa idadi ya wazenji waliopo bara kwa idadi wanazidi idadi ambayo imebaki kule visiwani, sasa jiulize.hawa wote warudi huko itakuwaje??? Msiwe kama mang'ombe mkitaka kula lazima mkubali kuliwa
... kama tuliruhusu ujinga huu, kwa hila au la, ni muda wa kurekebisha!
MOST IMPORTANT IS JUSTICE!
NB: DON'T WORRY ABOUT ZANZIBARIS! ... MIND THE MAINLAND LAND LAWS!
 
...ukitaka ngumi zako ziingie vizuri PUNGUZA MAKASIRIKO!
😅
Andika vyte ila mnatoka nje ya mada. Kabisa kila siku, mwisho sasa hamueleweki. Umeandika nn hapo sasa. Kwa nani. Bunge likae lizungumzie hilo kwann? Ww na nani mmeongea au umechukua thread hukusoma vzuri, hukusikia maoni vzuri. Ndugu tafakari maaandishi yako ili tukuunge mkono. So far mm sijakuelewa hilo swala lako.
 
Ninadhani sasa ni muda muafaka wa kulijadili suali nililotaja kwenye 'heading' kwa kina, IKIWEZEKANA LIENDE BUNGENI!, maana naona kuna watu, kwa chuki zisizo na msingi, wameamua kulitumia suala hili kiuchochezi zaidi! HEBU WADAU WAJIULIZE TU KWANINI HAWAPEWI PLOTS KUJENGA 'NGORONGORO CONSERVATION AREA', NATUMAINI, KAMA WANA AKILI TIMAMU,WATAJIJIBU!

Zanzibar, kama sehemu ya muungano, ni nchi na sisi Wabara hatupaswi kuingilia masuala yao ya arhi ambayo sio ya kimuungano! Kama sisi, kwa uzembe wetu, tulilegeza kanuni zetu za kugawa ardhi, kwa hila au la, basi tukubali maumivu au turekebishe panapotukera kimyakimya na sio ati kuwalazimisha na wenzetu warudie UZEMBE WETU!

ZANZIBAR INA ARDHI NDOGO YENYE HIFADHI YA SEHEMU NYINGI ZA MAKUMBUSHO YA KIHISTORIA NA IKIRUHUSU WABARA WAJICHUKULIE ARDHI HOVYOHOVYO KWANZA ARDHI YENYEWE HAITATOSHA KITU, NA HAITAKUWA ZANZIBAR TENA MAANA HUENDA WAHAMIAJI KUTOKA BARA WAKAWAZIDI WENYEJI WENYEWE!

TUHESHIMU JUHUDI WANAZOFANYA WENZETU KUILINDA ZANZIBAR YAO!
Umeandika ujinga wa kiwango cha juu kabisa. Unaweza kupewa Masters ya ujinga
 
Back
Top Bottom