Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Mimi nithibitishe Mara ngapi nataka wewe usiye amini ndio maana nimekuwekea hapo ufanye kwa vitendo uamin
Hujathibitisha

Njoo tupige picha hapa kwenye bafu langu la juu lenye Cologne 100 analolijua Valentina uuhakikishie ulimwengu kwamba uchawi wako unafanya kzi na umekuwezesha kuinbia nyumbani kwaKiranga bila kutumia ufunguo wala kuvunja ingawa milango ote imefungwa.

Sent from my SM-T310 using JamiiForums mobile app
 
Bro maelezo yako yanaonyesha una tatizo kubwa sana katika kufanya maamuzi ya kuchagua jambo, umechagua kutumia maneno yasiyo na staha dhidi yangu, wakati ulikuwa na nafasi ya kuchagua kutumia maneno yenye staha.. Ndio maana sishangai kuona umechagua kuamini Mungu hayupo.. Huna tatizo kubwa sana bro.. Tatizo lako lipo kwenye kuchagua..
Hapana.

Akili yako legelege tu, hata ukiwa challenged unaona umepewa maneno yasiyo staha.

Staha is overrated. Baba yako angemstahi mama yako sana usingekuwepo kuongelea staha wewe.

Hujajibu niliyokuuliza, uliyojibu sijakuuliza.

Sent from my SM-T310 using JamiiForums mobile app
 
Hapana.

Akili yako legelege tu, hata ukiwa challenged unaona umepewa maneno yasiyo staha.

Staha is overrated. Baba yako angemstahi mama yako sana usingekuwepo kuongelea staha wewe.

Hujajibu niliyokuuliza, uliyojibu sijakuuliza.

Sent from my SM-T310 using JamiiForums mobile app

Relax bro, this is not death or life.. Its just a thread at JF! Kuhusu ku prove , wewe ndo unatakiwa kuprove coz ndio unadai Mungu hayupo. He who alleges must prove
 
Hapana.

Akili yako legelege tu, hata ukiwa challenged unaona umepewa maneno yasiyo staha.

Staha is overrated. Baba yako angemstahi mama yako sana usingekuwepo kuongelea staha wewe.

Hujajibu niliyokuuliza, uliyojibu sijakuuliza.

Sent from my SM-T310 using JamiiForums mobile app
Mbavu zangu

Definition ya "Staha" ni nini?
 
Hakuna mungu. Huyu mungu mjuzi wa yote, mwenhe uwezo wote na upendo wote hayupo.

Ni hadithi tu.
Angekuwepo asingeumba ulimwengu wenye madhila kama huu.

Ukisema mungu huyu yupo ni sawa na useme kuna pembetatu duara katika Euclidean geometry.

Pembetatu haiwezi kuwa duara. Duara haiwezi kuwa pembetatu.

Pembetatu duara ni contradiction. Haipo. Ni hadithi tu.

Mungu wenu huyu naye ni contradiction hivyo hivyo.

Kwanini asiweze kuumba ulimwengu kama huu hali ya kuwa ana sifa ya kuwa na uwezo wote?
 
Kwanini asiweze kuumba ulimwengu kama huu hali ya kuwa ana sifa ya kuwa na uwezo wote?
Kwa sababu sifa ya uwezo wote haimaanishi kuweza kufanya contradiction.

Ikiwa hivyo, sifa ya uwezo wote haitakuwa na tofauti na sifa ya kutoweza chochote na habari nzima itakosa maana.
 
Relax bro, this is not death or life.. Its just a thread at JF! Kuhusu ku prove , wewe ndo unatakiwa kuprove coz ndio unadai Mungu hayupo. He who alleges must prove
I am relaxed already.

Aliyeanza kuongelea habari ya ukweli wa kuwepo mungu ndiye ame allege kwamba mungu yupo.

Yeye ndiye anayetakiwa ku prove kwamba mungu yupo.

Mimi natakiwa kuomba proof tu.

Zaidi, nimeeleza kwamba mungu wenu kuwapo ni contradiction kama pembetatu duara.

Unachosema hapo ni kama vile mimi nimesema pembetatu duara halipo, kama lipo nioneshe lipoje, halafu wewe unaniambia nikuoeshe kwamba pembetatu duara halipo.

Sasa mimi nakuambia pembetatu duara halipo, na siwezi kukuonesha kwamba halipo, kwa sababu halipo.

Wewe unaniambia nikuoneshe pembe tatu duara kwamba halipo!

Hilarious.
 
Kuamini ni kukubali kitu kabla ya kuhakiki kwa stadi zinazotakiwa.

Kujua ni kukubali kitu baada ya kuhakiki kwa stadi hizo.
Nitolee mifano ya vitu unavyovijua kisha ueleze uhakiki uliyoufanya kwa stadi zinazotakiwa hadi ukapata hiyo sifa ya kuwa unavijua hivyo vitu.
 
Kwa sababu sifa ya uwezo wote haimaanishi kuweza kufanya contradiction.

Ikiwa hivyo, sifa ya uwezo wote haitakuwa na tofauti na sifa ya kutoweza chochote na habari nzima itakosa maana.
Haya eleza huo uwezo wote una maana gani?
 
Kuanzia 1999 mpaka sasa zaidi ya miaka 16 nimekuwa nikifanya utafiti wapi yalipo makazi ya Mwenyezi Mungu Kisayansi na Kutumia Vitabu vitakatifu hasahasa Biblia Takatifu nimepata majibu pasina shaka kila mumoja wetu atakubaliana nayo.

Utafiti huu haulengi kumchafua mtu mtu yeyote kwa imani yake naomba atakayeshindwa kuelewa asiwe na jaziba maana ni utafiti wangu binafsi.

KISAYANSI; Mpangilio na Usanifu wa muundo wa Ulimwengu wetu ni mpangilio uliofanywa kwa usahihi ndio maana kila kitu kipo katika sehemu yake bila kuathiri kingine kwa mfano; Dunia na Sayari zote katika mfumo wa Jua letu zinalizunguka Jua kwa kasi lakini haziwezi kugongana Na katika Anga yetu kuna Nyota mamilioni na pia Kuna Majua Mengine yametengeneza mifumo mifumo ya Sayari kama tuliyo nayo katika Jua letu, Vitu hivi vinaonekana kwa mbali na haviwezi kufikika kwa urahisi kwa akili za Kibinadamu.

Nina hakika Mwenyezi Mungu anaishi katika mojawapo ya Nyota za Jua kwa kuwa hakuwezi kufikika kwakua kuna joto {moto} kali sana hakuna chochote kinaweza kukaribia hata kwa kilometa milioni moja.

Katika Jua ndimo kulimo uhai Jua ndicho kitu ambacho hakiwezi kusogelewa wala kuchunguzwa na kitu chochote hata kama utatumia kiona mbali utaishia kuvaa miwani ya kuzuia mwanga ili macho yako yasipofuke kwa miale mikali ya Mwanga wa jua.

Hata Uhai wa viumbe wote hai hutegemea Jua ndiyo maana katika Bara Antaktika uwezekano wa viumbe hai kuishi ni mdogo kwa sababu hupata kiasi kidogo cha jua katika msimu wa mzunguko wa Dunia Ni aina Flani ya Bakteria huweza kuishi katika eneo hilo na Samaki wanaositahimili baridi kari INAYOPELEKEA MAJI KUGANDA NA KUWA BARAFU, NA ENEO LOTE LA BARA ANTAKTIKA NI BARAFU NA MVUA INAYONYESHA NI KWA MARA MOJA KATIKA msimu wa Mwaka.

Jua haliwezi kukalibiwa na kitu chochote kwa maana hiyo Jua linatunza Nafsi Takatifu iliyo hai hakuna chochote chenye mwili au Kitu kinacho weza kusogelea jua kikawa salama kitaungua na kunasa katika Jua.

JUA ndio kitu Kitukufu ambacho mwanadamu kwa uelewa wake hawezi kufikia wala kujaribu kufanyia utafiti.

Katika utafiti wangu nimejifunza kwa kuwa Jua ndilo lina Uhai kwa Viumbe basi kuna uwezekana mkubwa wa 94.6% Muumba anaishi katika Jua Sehemu Tukufu isiyoweza kusogelewa na uchafu wa aina yoyote ya mwanadam.

BIBLIA TAKATIFU (UTAFITI)

Katika vitabu Agano la kale Mwenyezi Mungu anatolewa Sadaka za kuteketezwa, Wanafukiza ubani katika sehemu walizojenga Nyumba za Ibada kwaajiri ya MWENYEZI MUNGU.

Kwanini aunguziwe vitu apokee sadaka kwa moshi?

Kwanini asipewe ng'ombe au Kondoo mzima mpaka achomwe aunguzwe? Ni kwasababu Nafsi ya Mungu inaishi katika moto na Inapokea katika moto.

Kwanini makanisa Mengi yanachoma Ubani katika Nyumba zao za Ibada, Kwanini wasitengeneze Marashi yenye harufu ya Ubani?

Wanachoma kwa kuwa mlengwa Mtukufu anapokea Vitukufu katika moto mjue ya kuwa kila kitu kikichomwa kinatoka katika hali hali nzuri au mbaya hata Dhahabu ili Ing'ae ni lazima ichomwe katika moto.

Kutoka 19: 16-20 Inaelezea jinsi musa anapewa Amri 10 na Mungu na Mwenyezi Mungu anamwambia Musa watu wajitakase kabla ya kukalibia mlima na Mawinguni Kunatokea Radi, Ngurumo na Umeme na Mungu anashuka katika moto na kumpa amri Musa Mlima Sinai unatetemeka kwa utisho Unafuka moshi mkali kama moshi wa tanuu unafunika Mlima wote.

Kwanini Mungu atokee katika moto?

Ni kwa sababu anataka watu wajue Nafsi Tukufu ya Mungu inaishi katika Moto ANAKUJA KWA STAILI YA MAISHA YAKE KWA MAZINGIRA ANAYO ISHI LAKINI WANADAMU WANASHINDWA KULIJUA HILO.

KAMA MUNGU ANALETA AMRI 10 KWA STAILI YA MOTO BASI YEYE ANAISHI KATIKA MOTO KWA HIYO UTUKUFU WA MUNGU HATUWEZI KUUFIKIA BILA MWILI KUFA IKABAKI NAFSI.

Kwa hiyo KIFO NI FAIDA NA NDIO STAREHE YA PEKEE ALIYOTUZAWADIA MWENYEZI MUNGU KWA KUWA TUTAISHI KATIKA UTUKUFU KAMA NAFSI ILIYO KARIBU NA MUNGU BILA KUFA WEWE NI MTUMWA WA DUNIA.
Uwe TAJIRI, uwe MASIKINI wewe ni MTUMWA wa DUNIA hakuna RAHA UTAKULA KWA JASHO, UTALALA KWA KUJIGEUZA GEUZA USIUMIZE UPANDE MMOJA WA MWILI,

Duniani hapa tupo kwa ajili ya kuandaa Maisha ya Utukufu wa milele kama nafsi Katika Jua.

Utafiti wangu unaendelea kadiri Mungu atakavyonijalia ntawaletea ninayoendelea kujifunza Pia ninajitahidi kutafuta njia ya Kitaalamu ya kuweka Video katika kiona mbali ili niweze kuwashirikisha kwa yale ambayo mimi naendelea kuyavumbua kwa kutumia kiona mbali Ninazunguka sehemu mbali mbali kujifunza jinsi Dunia yetu ilivyo na ni kazi ngumu ila ninapata michango ya mawazo kwa watu wengi sana ambao ninawashirikisha sehemu mbalimbali za Dunia.

KARIBUNI KWA MAONI NA USHAURI..
Nadharia yako inataka kuonyesha kua during the night God can not see us, because He's abcent.

Onky devil runs the world at night.
Mchana ni wakati wa Sir God.

Of cause aendaye mchana hajikwai. Neither can you.
Nyota yenye kung'aa ya asubuhi.

Bado natafakuro ulifanyaje utafiti.
Wajapan wana abudu Jua.

Jumapili inaitwa. Sun day. Siku ya Jua
 
Mwenyezi mungu hafanani na chochote ktk fikra za kibinaadamu...kwako ni just immagination...hakuzaa wala hakuzaliwa.....uwepo wa mwenyezimungu ni wa ardhi na mbingu pamoja na vitu vilivyomo... kamwe hautofikia suluhu ya kutuaminisha juu ya hilo.....kuna waliotangulia walijaribu mara trilions ya fokra zako,lakini wameshindwa......
 
Haya eleza huo uwezo wote una maana gani?
Uwezo wote una maana uwezo wote, haumaanishi uwezo nusu au uwezo usio wote au uwezo unaoweza kujipinga wenyewe.

Ukisema mungu ana uwezo wote, nikakuuliza anaweza kuumba jiwe zito kabisa kiasi kwamba ashindwe kulibeba, utasemaje?

Anaweza kuumba jiwe hilo?

Akiweza kuliumba si atakuwa kashindwa kulibeba na hivyo hatakuwa hana uwezo wote?

Ukisema hawezi kuliumba, je ni kweli ana uwezo wote?

Hiyo dhana yenyewe tu ya mungu mwenye uwezo wote inaonesha mapungufu ya kimantiki, kwa sababu inaleta logical contradictions.

Ni kitu cha kufikirika ambacho hakipo katika uhalisi.
 
Mwenyezi mungu hafanani na chochote ktk fikra za kibinaadamu...kwako ni just immagination...hakuzaa wala hakuzaliwa.....uwepo wa mwenyezimungu ni wa ardhi na mbingu pamoja na vitu vilivyomo... kamwe hautofikia suluhu ya kutuaminisha juu ya hilo.....kuna waliotangulia walijaribu mara trilions ya fokra zako,lakini wameshindwa......
Sasa kama mungu hafanani na chochote katika fikra za kibinadanu wewe umejuaje kwamba yupo?

Umetumia fikra gani zisizo za kibinadamu kujua mungu yupo?

Na kama wewe umeweza kuzitumia fikra hizo kwa nini hazijawa za kibinadamu tayari?

Unaweza kuhakikisha mungu yupo?
 
Uwepo wa mungu ni imani kaka,kwa mwenye kuamini..kulingana na imani ya mtu....naamini kwa mujibu wa muongozo wa kitabu cha imani yangu....sijamfananisha na chochote,ndio imani yng...
 
I am relaxed already.

Aliyeanza kuongelea habari ya ukweli wa kuwepo mungu ndiye ame allege kwamba mungu yupo.

Yeye ndiye anayetakiwa ku prove kwamba mungu yupo.

Mimi natakiwa kuomba proof tu.

Zaidi, nimeeleza kwamba mungu wenu kuwapo ni contradiction kama pembetatu duara.

Unachosema hapo ni kama vile mimi nimesema pembetatu duara halipo, kama lipo nioneshe lipoje, halafu wewe unaniambia nikuoeshe kwamba pembetatu duara halipo.

Sasa mimi nakuambia pembetatu duara halipo, na siwezi kukuonesha kwamba halipo, kwa sababu halipo.

Wewe unaniambia nikuoneshe pembe tatu duara kwamba halipo!

Hilarious.
Nonsense
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom