Ukweli wa uwepo wa Mungu na Makazi yake upo hapa

Mungu ametupa akili lakini wengi wameshindwa kuzitumia hakuna aliye fichwa uwepo wa Mungu ni ujinga wa makusudi kujitoa ufahamu wa kutomjua Mungu huku unaishi dunia ambayo kila kitu ni bure.
 
Ni mwenye ufinyu wa fikila tu ambaye ubongo wake hauwezi kung'amua uwepo na ukuu wa Mungu
 
Since kwamba ni sayansi... na science demands proofs... na proof zako ni za kusadikika... Mungu hachunguziki
 
Kuanzia 1999 mpaka sasa zaidi ya miaka 16 nimekuwa nikifanya utafiti wapi yalipo makazi ya Mwenyezi Mungu Kisayansi na Kutumia Vitabu vitakatifu hasahasa Biblia Takatifu nimepata majibu pasina shaka kila mumoja wetu atakubaliana nayo.

Utafiti huu haulengi kumchafua mtu mtu yeyote kwa imani yake naomba atakayeshindwa kuelewa asiwe na jaziba maana ni utafiti wangu binafsi.

KISAYANSI; Mpangilio na Usanifu wa muundo wa Ulimwengu wetu ni mpangilio uliofanywa kwa usahihi ndio maana kila kitu kipo katika sehemu yake bila kuathiri kingine kwa mfano; Dunia na Sayari zote katika mfumo wa Jua letu zinalizunguka Jua kwa kasi lakini haziwezi kugongana Na katika Anga yetu kuna Nyota mamilioni na pia Kuna Majua Mengine yametengeneza mifumo mifumo ya Sayari kama tuliyo nayo katika Jua letu, Vitu hivi vinaonekana kwa mbali na haviwezi kufikika kwa urahisi kwa akili za Kibinadamu.

Nina hakika Mwenyezi Mungu anaishi katika mojawapo ya Nyota za Jua kwa kuwa hakuwezi kufikika kwakua kuna joto {moto} kali sana hakuna chochote kinaweza kukaribia hata kwa kilometa milioni moja.

Katika Jua ndimo kulimo uhai Jua ndicho kitu ambacho hakiwezi kusogelewa wala kuchunguzwa na kitu chochote hata kama utatumia kiona mbali utaishia kuvaa miwani ya kuzuia mwanga ili macho yako yasipofuke kwa miale mikali ya Mwanga wa jua.

Hata Uhai wa viumbe wote hai hutegemea Jua ndiyo maana katika Bara Antaktika uwezekano wa viumbe hai kuishi ni mdogo kwa sababu hupata kiasi kidogo cha jua katika msimu wa mzunguko wa Dunia Ni aina Flani ya Bakteria huweza kuishi katika eneo hilo na Samaki wanaositahimili baridi kari INAYOPELEKEA MAJI KUGANDA NA KUWA BARAFU, NA ENEO LOTE LA BARA ANTAKTIKA NI BARAFU NA MVUA INAYONYESHA NI KWA MARA MOJA KATIKA msimu wa Mwaka.

Jua haliwezi kukalibiwa na kitu chochote kwa maana hiyo Jua linatunza Nafsi Takatifu iliyo hai hakuna chochote chenye mwili au Kitu kinacho weza kusogelea jua kikawa salama kitaungua na kunasa katika Jua.

JUA ndio kitu Kitukufu ambacho mwanadamu kwa uelewa wake hawezi kufikia wala kujaribu kufanyia utafiti.

Katika utafiti wangu nimejifunza kwa kuwa Jua ndilo lina Uhai kwa Viumbe basi kuna uwezekana mkubwa wa 94.6% Muumba anaishi katika Jua Sehemu Tukufu isiyoweza kusogelewa na uchafu wa aina yoyote ya mwanadam.

BIBLIA TAKATIFU (UTAFITI)

Katika vitabu Agano la kale Mwenyezi Mungu anatolewa Sadaka za kuteketezwa, Wanafukiza ubani katika sehemu walizojenga Nyumba za Ibada kwaajiri ya MWENYEZI MUNGU.

Kwanini aunguziwe vitu apokee sadaka kwa moshi?

Kwanini asipewe ng'ombe au Kondoo mzima mpaka achomwe aunguzwe? Ni kwasababu Nafsi ya Mungu inaishi katika moto na Inapokea katika moto.

Kwanini makanisa Mengi yanachoma Ubani katika Nyumba zao za Ibada, Kwanini wasitengeneze Marashi yenye harufu ya Ubani?

Wanachoma kwa kuwa mlengwa Mtukufu anapokea Vitukufu katika moto mjue ya kuwa kila kitu kikichomwa kinatoka katika hali hali nzuri au mbaya hata Dhahabu ili Ing'ae ni lazima ichomwe katika moto.

Kutoka 19: 16-20 Inaelezea jinsi musa anapewa Amri 10 na Mungu na Mwenyezi Mungu anamwambia Musa watu wajitakase kabla ya kukalibia mlima na Mawinguni Kunatokea Radi, Ngurumo na Umeme na Mungu anashuka katika moto na kumpa amri Musa Mlima Sinai unatetemeka kwa utisho Unafuka moshi mkali kama moshi wa tanuu unafunika Mlima wote.

Kwanini Mungu atokee katika moto?

Ni kwa sababu anataka watu wajue Nafsi Tukufu ya Mungu inaishi katika Moto ANAKUJA KWA STAILI YA MAISHA YAKE KWA MAZINGIRA ANAYO ISHI LAKINI WANADAMU WANASHINDWA KULIJUA HILO.

KAMA MUNGU ANALETA AMRI 10 KWA STAILI YA MOTO BASI YEYE ANAISHI KATIKA MOTO KWA HIYO UTUKUFU WA MUNGU HATUWEZI KUUFIKIA BILA MWILI KUFA IKABAKI NAFSI.

Kwa hiyo KIFO NI FAIDA NA NDIO STAREHE YA PEKEE ALIYOTUZAWADIA MWENYEZI MUNGU KWA KUWA TUTAISHI KATIKA UTUKUFU KAMA NAFSI ILIYO KARIBU NA MUNGU BILA KUFA WEWE NI MTUMWA WA DUNIA.
Uwe TAJIRI, uwe MASIKINI wewe ni MTUMWA wa DUNIA hakuna RAHA UTAKULA KWA JASHO, UTALALA KWA KUJIGEUZA GEUZA USIUMIZE UPANDE MMOJA WA MWILI,

Duniani hapa tupo kwa ajili ya kuandaa Maisha ya Utukufu wa milele kama nafsi Katika Jua.

Utafiti wangu unaendelea kadiri Mungu atakavyonijalia ntawaletea ninayoendelea kujifunza Pia ninajitahidi kutafuta njia ya Kitaalamu ya kuweka Video katika kiona mbali ili niweze kuwashirikisha kwa yale ambayo mimi naendelea kuyavumbua kwa kutumia kiona mbali Ninazunguka sehemu mbali mbali kujifunza jinsi Dunia yetu ilivyo na ni kazi ngumu ila ninapata michango ya mawazo kwa watu wengi sana ambao ninawashirikisha sehemu mbalimbali za Dunia.

KARIBUNI KWA MAONI NA USHAURI..
Hizi ndio akili za kibinadamu, sayansi haiwezi leta majibu juu ya Mungu pale alipo.
Soma Bible yako vizuri.

Isaya 6: 1-7. Isaya anasema;

1. Na katka mwaka rule aliokufa mfalme Uzia nalimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo la vazi lake likaijaza hekalu.

2. Juu yake walisimama maserafi; kila mmoja alikua na mabawa sita;
Kwa mawili alifunika uso wake na kwa mawili alifunika alifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka.

3. Wakaitana, kila mmoja na mwenzake, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni Bwana wa majeshi; dunia yote imejaa utukufu wake.

4. Na Misingi ya vizingiti ikatikisika kwa sababu ya sauti yake aliyelia, nayo NYUMBA ikajaa moshi.

Soma biblia yako Vizuri
Labda nikwambie, Sayansi haitakupa majibu halisi.

Ukisoma katika unaona jinsi makazi ya Mungu yalivyo.
 
Kuanzia 1999 mpaka sasa zaidi ya miaka 16 nimekuwa nikifanya utafiti wapi yalipo makazi ya Mwenyezi Mungu Kisayansi na Kutumia Vitabu vitakatifu hasahasa Biblia Takatifu nimepata majibu pasina shaka kila mumoja wetu atakubaliana nayo.

Utafiti huu haulengi kumchafua mtu mtu yeyote kwa imani yake naomba atakayeshindwa kuelewa asiwe na jaziba maana ni utafiti wangu binafsi.

KISAYANSI; Mpangilio na Usanifu wa muundo wa Ulimwengu wetu ni mpangilio uliofanywa kwa usahihi ndio maana kila kitu kipo katika sehemu yake bila kuathiri kingine kwa mfano; Dunia na Sayari zote katika mfumo wa Jua letu zinalizunguka Jua kwa kasi lakini haziwezi kugongana Na katika Anga yetu kuna Nyota mamilioni na pia Kuna Majua Mengine yametengeneza mifumo mifumo ya Sayari kama tuliyo nayo katika Jua letu, Vitu hivi vinaonekana kwa mbali na haviwezi kufikika kwa urahisi kwa akili za Kibinadamu.

Nina hakika Mwenyezi Mungu anaishi katika mojawapo ya Nyota za Jua kwa kuwa hakuwezi kufikika kwakua kuna joto {moto} kali sana hakuna chochote kinaweza kukaribia hata kwa kilometa milioni moja.

Katika Jua ndimo kulimo uhai Jua ndicho kitu ambacho hakiwezi kusogelewa wala kuchunguzwa na kitu chochote hata kama utatumia kiona mbali utaishia kuvaa miwani ya kuzuia mwanga ili macho yako yasipofuke kwa miale mikali ya Mwanga wa jua.

Hata Uhai wa viumbe wote hai hutegemea Jua ndiyo maana katika Bara Antaktika uwezekano wa viumbe hai kuishi ni mdogo kwa sababu hupata kiasi kidogo cha jua katika msimu wa mzunguko wa Dunia Ni aina Flani ya Bakteria huweza kuishi katika eneo hilo na Samaki wanaositahimili baridi kari INAYOPELEKEA MAJI KUGANDA NA KUWA BARAFU, NA ENEO LOTE LA BARA ANTAKTIKA NI BARAFU NA MVUA INAYONYESHA NI KWA MARA MOJA KATIKA msimu wa Mwaka.

Jua haliwezi kukalibiwa na kitu chochote kwa maana hiyo Jua linatunza Nafsi Takatifu iliyo hai hakuna chochote chenye mwili au Kitu kinacho weza kusogelea jua kikawa salama kitaungua na kunasa katika Jua.

JUA ndio kitu Kitukufu ambacho mwanadamu kwa uelewa wake hawezi kufikia wala kujaribu kufanyia utafiti.

Katika utafiti wangu nimejifunza kwa kuwa Jua ndilo lina Uhai kwa Viumbe basi kuna uwezekana mkubwa wa 94.6% Muumba anaishi katika Jua Sehemu Tukufu isiyoweza kusogelewa na uchafu wa aina yoyote ya mwanadam.

BIBLIA TAKATIFU (UTAFITI)

Katika vitabu Agano la kale Mwenyezi Mungu anatolewa Sadaka za kuteketezwa, Wanafukiza ubani katika sehemu walizojenga Nyumba za Ibada kwaajiri ya MWENYEZI MUNGU.

Kwanini aunguziwe vitu apokee sadaka kwa moshi?

Kwanini asipewe ng'ombe au Kondoo mzima mpaka achomwe aunguzwe? Ni kwasababu Nafsi ya Mungu inaishi katika moto na Inapokea katika moto.

Kwanini makanisa Mengi yanachoma Ubani katika Nyumba zao za Ibada, Kwanini wasitengeneze Marashi yenye harufu ya Ubani?

Wanachoma kwa kuwa mlengwa Mtukufu anapokea Vitukufu katika moto mjue ya kuwa kila kitu kikichomwa kinatoka katika hali hali nzuri au mbaya hata Dhahabu ili Ing'ae ni lazima ichomwe katika moto.

Kutoka 19: 16-20 Inaelezea jinsi musa anapewa Amri 10 na Mungu na Mwenyezi Mungu anamwambia Musa watu wajitakase kabla ya kukalibia mlima na Mawinguni Kunatokea Radi, Ngurumo na Umeme na Mungu anashuka katika moto na kumpa amri Musa Mlima Sinai unatetemeka kwa utisho Unafuka moshi mkali kama moshi wa tanuu unafunika Mlima wote.

Kwanini Mungu atokee katika moto?

Ni kwa sababu anataka watu wajue Nafsi Tukufu ya Mungu inaishi katika Moto ANAKUJA KWA STAILI YA MAISHA YAKE KWA MAZINGIRA ANAYO ISHI LAKINI WANADAMU WANASHINDWA KULIJUA HILO.

KAMA MUNGU ANALETA AMRI 10 KWA STAILI YA MOTO BASI YEYE ANAISHI KATIKA MOTO KWA HIYO UTUKUFU WA MUNGU HATUWEZI KUUFIKIA BILA MWILI KUFA IKABAKI NAFSI.

Kwa hiyo KIFO NI FAIDA NA NDIO STAREHE YA PEKEE ALIYOTUZAWADIA MWENYEZI MUNGU KWA KUWA TUTAISHI KATIKA UTUKUFU KAMA NAFSI ILIYO KARIBU NA MUNGU BILA KUFA WEWE NI MTUMWA WA DUNIA.
Uwe TAJIRI, uwe MASIKINI wewe ni MTUMWA wa DUNIA hakuna RAHA UTAKULA KWA JASHO, UTALALA KWA KUJIGEUZA GEUZA USIUMIZE UPANDE MMOJA WA MWILI,

Duniani hapa tupo kwa ajili ya kuandaa Maisha ya Utukufu wa milele kama nafsi Katika Jua.

Utafiti wangu unaendelea kadiri Mungu atakavyonijalia ntawaletea ninayoendelea kujifunza Pia ninajitahidi kutafuta njia ya Kitaalamu ya kuweka Video katika kiona mbali ili niweze kuwashirikisha kwa yale ambayo mimi naendelea kuyavumbua kwa kutumia kiona mbali Ninazunguka sehemu mbali mbali kujifunza jinsi Dunia yetu ilivyo na ni kazi ngumu ila ninapata michango ya mawazo kwa watu wengi sana ambao ninawashirikisha sehemu mbalimbali za Dunia.

KARIBUNI KWA MAONI NA USHAURI..
Bangi mbaya sana aisee,
Hasa ukiwa unavuta pamoja na Afande Sele
 
Since kwamba ni sayansi... na science demands proofs... na proof zako ni za kusadikika... Mungu hachunguziki
Mkuu lakini tumepewa akili za nini ?
Mungu ametuumba akatuacha ktk moja ya sehem tunapo paita dunia lakini alituachia challenge ni jinsi gani tuishi na tumtafte ukisema hachunguziki si kweli!
 
Hizi ndio akili za kibinadamu, sayansi haiwezi leta majibu juu ya Mungu pale alipo.
Soma Bible yako vizuri.

Isaya 6: 1-7. Isaya anasema;

1. Na katka mwaka rule aliokufa mfalme Uzia nalimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo la vazi lake likaijaza hekalu.

2. Juu yake walisimama maserafi; kila mmoja alikua na mabawa sita;
Kwa mawili alifunika uso wake na kwa mawili alifunika alifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka.

3. Wakaitana, kila mmoja na mwenzake, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni Bwana wa majeshi; dunia yote imejaa utukufu wake.

4. Na Misingi ya vizingiti ikatikisika kwa sababu ya sauti yake aliyelia, nayo NYUMBA ikajaa moshi.

Soma biblia yako Vizuri
Labda nikwambie, Sayansi haitakupa majibu halisi.

Ukisoma katika unaona jinsi makazi ya Mungu yalivyo.
Mkuu nimesoma Bible na nimejifunza sayansi na kudiliki kufanya vitu na matokeo nimeyapata sana Soma: 1Timotheo 6:16
 
Bangi mbaya sana aisee,
Hasa ukiwa unavuta pamoja na Afande Sele
Mkuu pingana na Mimi kwa hoja si kubeza waafrika tuna matatizo ulicho kalilishwa huwezi kuongea chako. Akili za kuambiwa changanya na zako ndio maana tuna ma professors na doctors uchwara hata mfano mdogo ni wewe hata usome hauwezi kubadirika.
Labda ufe ukazaliwe ulaya ndio unaweza badirika
 
1 TIMOTHEO 6:16 AMBAYE YEYE PEKE YAKE HAPATIKANI NA MAUTI, AMEKAA KATIKA NURU ISIYOWEZA KUKARIBIWA; WALA HAKUNA MWANADAMU ALIYEMWONA WALA AWEZAYE KUMWONA. HESHIMA NA UWEZA UNA YEYE HATA MILELE.AMINA.
 
umejitahidi sana kutumia akili yako ya kibinadamu kwa kile unachokiamini wewe lakini bado maandiko uliyotumia bado hayaendani na mtizamo wako ,Mambo haya yako nje ya uwezo wetu nikushauri tu uendelee kudumu katika kumtafuta Mungu kiroho na si kimwili kinachoonekana hapa wewe unamtafuta Mungu kimwili na si kiroho .Na haya majibu yatakufanya upoteze muda mwingi sana na hutapata majibu kwani hata Biblia haina majibu ya maswali yako ,mambo ya Mungu tumwachie Mungu
 
ILA KWA HILO FUNGU LA I TIMOTHEO 6:16 WALAU NIMEANZA KUKUKUBALI ONGEZEA NA FUNGU LINGINE NINAWEZA KUKUKUBALI WALAU SASA UMETOA FUNGU AMBALOLINAWEZA KUSHABIHIANA NA HOJA YAKO
 
1 TIMOTHEO 6:16 AMBAYE YEYE PEKE YAKE HAPATIKANI NA MAUTI, AMEKAA KATIKA NURU ISIYOWEZA KUKARIBIWA; WALA HAKUNA MWANADAMU ALIYEMWONA WALA AWEZAYE KUMWONA. HESHIMA NA UWEZA UNA YEYE HATA MILELE.AMINA.
Soma: kutoka 20: na 21
 
umejitahidi sana kutumia akili yako ya kibinadamu kwa kile unachokiamini wewe lakini bado maandiko uliyotumia bado hayaendani na mtizamo wako ,Mambo haya yako nje ya uwezo wetu nikushauri tu uendelee kudumu katika kumtafuta Mungu kiroho na si kimwili kinachoonekana hapa wewe unamtafuta Mungu kimwili na si kiroho .Na haya majibu yatakufanya upoteze muda mwingi sana na hutapata majibu kwani hata Biblia haina majibu ya maswali yako ,mambo ya Mungu tumwachie Mungu
Mkuu Mungu si kiumbe Mungu ni Roho ni Nuru ing'aayo kama umefatilia mada yangu hata kisayansi bado majibu ya kumkataa Mungu hayawezekani! Kwa mfano: Sayansi Kuna hewa ya ukanda ya mgandamizo (ozone layer) Inachuja miale ya sumu inayotemwa na jua isitufikie duniani je ni nani ametengeneza hilo! bila shaka ni Mungu.
Kuna vimondo (astroid) vikubwa zaidi ya dunia kutoka anga (universe) ya mbali huja kuelekea dunia yetu lakini huvutwa ktk sayari ya Jupiter na kuiacha dunia yetu salama Mungu anatenda.
Mungu hajatuficha kitu tatizo tuna mazoea ya kugusa ndio tuamini Mungu yupo wazi.
 
umejitahidi sana kutumia akili yako ya kibinadamu kwa kile unachokiamini wewe lakini bado maandiko uliyotumia bado hayaendani na mtizamo wako ,Mambo haya yako nje ya uwezo wetu nikushauri tu uendelee kudumu katika kumtafuta Mungu kiroho na si kimwili kinachoonekana hapa wewe unamtafuta Mungu kimwili na si kiroho .Na haya majibu yatakufanya upoteze muda mwingi sana na hutapata majibu kwani hata Biblia haina majibu ya maswali yako ,mambo ya Mungu tumwachie Mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom