Ukweli mchungu Ni kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii, Hana sifa za kiuongozi za kuwa Mkuu Wa nchi

Watu weusi bana..
Screenshot_20220917-151901_Gallery.jpg
 
Na mwisho, lissu hawezi kuwa kiongozi wa taifa kwa sababu #dishlimetilt kiasi kwamba kumkabidhi rungu kichaa ni kujitakia kikong'otwa bila huruma.
Hatuwezi kuwa na rais ambaye dishi limeyumba kiasi hicho.
Naunga mkono hoja
 
Kama akina Mwigulu, Makamba, Kigwa, Jaffo, Ummy na Gwajima ni Presidential Material huko CCM..... Kila mtu anaweza kuwa Rais.
 
Hivi nikisema wale "watoto wanaokuita baba sio wako ni wa wenzio, je ni kweli au ni hisia zangu?
Na hili pia ni hisia zako wewe na usipende kuaminisha wenye akili kukuzidi upuuzi wako
 
Mtoa mada nilitaka kukutukana vibaya saaana ila ngoja tu niheshimu mawazo yako.Siwezi kumlinganisha Tundulisu na Marais wa awamu zote tz.anawazidi mbali saaana.kwa mawazo yako ndo maana unaishi kwenye Taifa fukara.
 
Hivi aliyepo ana sifa? Tumepigwa

Hivi aliyepo ana sifa? Tumepigwa
Mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani ni kiongozi aliyekamilika kila idara,Ni chuo Cha uongozi kitembeacho, Ni kiongozi Bora kabisa kwa Sasa katika Bara hili la Afrika na Dunia kwa ujumla, Nikiongozi ambaye Atakumbukwa na kuenziwa na kutumika Kama Rejea na mfano wa kiongozi Bora kutokea katika Bara hili la Afrika
 
Kweli mleta mada una usema ukweli,
Lissu sifa yake kuu ni ubishi,dharau na kujiona kama mtu pekee anayejua mambo ya nchi hii.

Ndio maana hata 2020 Kina Mbowe hawakuungana nae jukwaani kama ilivyostahili kuwa.

Sifa za Lissu ni sawa na Za Lema.

Tatizo ni kwamba wote ni WAKAIDI kitabia.
 
Ndugu zangu huo ndio ukweli kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii ya Tanzania, Hata Kama angezaliwa kabla ya Uhuru na kuwepo wakati huo na ikatokea uchaguzi, bado Lisu asingepewa nafasi ya kuwa Mkuu Wa nchi Hii ya Tanzania, kwa kuwa anakosa sifa za kiuongozi anazopaswa kuwa nazo Mkuu Wa nchi

Tundu Lisu Ni Mtu asiye na kifua, busara, Wala hekima za kiuongozi, Hana Subira Wala uvumilivu wa Jambo lililo katika kifua chake, Amejaa mihemuko na jazba kubwa Sana, Amejaa ujana ambao tunasema anawaka Kama Moto wa petroli mahali panapohitaji busara na hekima za kiuongozi, Ni mtu ambaye Hawezi kuwaunganisha watu wa makundi yote, Rika zote, vyama vyote na wenye mitizamo na mielekeo tofauti ya kisera na kiitikadi katika ujenzi wa Taifa letu, kwake yeyote atakayetofautiana Naye Basi huyo mtu ataitwa Hana akili au Ni mpumbavu, Ndio maana ya kauli zake za kusema hayo Ni Maccm au policcm

Lisu amenyimwa kipawa na uwezo wa kuweza kuwaunganisha watu hata anaotofautiana nao maana asio elewana nao kimtizamo au kisera au kiitikadi anawaona akili hazipo kichwani, Ni mtu anayeweza kutoa hata Siri za Taifa letu kwa kujuwa kuwa hiyo ndio demokrasia yenyewe au uwazi bila kujari kuwa Kuna Mambo yanapaswa kubaki Siri za Taifa kwa usalama wa Taifa letu,Ndio maana Lisu anaweza kutoka kufanya mazungumzo na Mtu ambayo yanapaswa kufanywa Siri kwa muda fulani wakati baadhi ya mambo yanasubiliwa kukamilika lakini yeye akitoka hapo akabanwa kidogo utakuta anaanza kuyaongea yote hadharani ili kuwafurahisha watu wake.

Lisu Ni Mtu ambaye Hana sifa ya kuviongoza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama Kama Amiri Jeshi mkuu ,maana Hana busara Wala hekima ya kuweza kuviunganisha na kuviweka pamoja na kuvijengea morali kutokana na kauli zake za dharau na kianaharakati harakati kwa kila Jambo

Lisu Hawezi kutujengea umoja na mshikamano wa kitaifa zaidi anaweza kulisambalatisha Taifa letu ndani ya muda mfupi Sana, maana kwake yeye anahisi anajuwa na kufahamu kila kitu na haupaswi Wala hapaswi kupingwaa Wala kukosolewa maamuzi yake au kauli zake au mtizamo wake , Ni Rahisi Sana kupandikiza chuki ndani ya Taifa letu kwa kujenga Hisia za sisi na wao yaani Hawa Ni wenzetu na wale siyo wenzetu na hawana akili

Lisu Hawezi utatuzi wa migogoro Wala kuwa mfariji wa Taifa letu kwa kuwa Hana kauli Nzuri afunguapo mdomo wake au kinywa chake,

Lisu hajuwi Ni wakati gani wakuongea na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi wakati gani wakujibu na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi aongee maneno gani na wakati gani, hajuwi kuwa ukiwa kiongozi mkubwa hupaswi kujibu kila swali la mwandishi au mtu unalojuwa litaleta hisia tofauti au migogoro au chuki fulani au kuhatarisha usalama wa Taifa au kufichua Siri fulani yenye maslahi ya Taifa

Hajuwa Kama kiongozi Kuna wakati wa kukaa kimya kuvuta Subira kuwa mvumilivu kujishusha kusubiri taarifa sahihi , kusema subiri kwanza Hilo Jambo litatolewa ufafanuzi Baadaye kidogo, yeye Lisu anataka ajibu kila kitu hata ambacho hakipaswi kujibiwa na kufahamika kwa wakati huo kwa maslahi mapana ya Taifa letu, Lisu anaweza akataja hata idadi na aina ya silaha zetu, mizinga au ndege Vita na Hadi zinakokaa Kama akiulizwa na waandishi wazungu huko ulaya

Lisu Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa na breki na kuzungumza pale panapohitajika, hajuwi kuwa mdomo wa kiongozi haupaswi kuongea kila kitu hata Kama shangwe zinaunguluma kila Kona ya jukwaa, Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa Kama chujio na siyo kuwa Kama dodoki linalozoa na kunyonya kila kitu na ukilikamua linatoa Tena yote


Lisu Ni mjuaji Sana anayehisi anajuwa kila kitu, anahisi anaweza kila kitu, anahisi hastahili kujifunza kutoka kwa yeyote, anahisi hapaswi kushauriwa na yeyote, anahisi Hakuna darasa jingine au taaluma nyingine zaidi ya madarasa aliyopita na taaluma aliyonayo, anahisi hata walimu wake hawana akili kwa Sasa ya kumueleza kitu, anahisi yeye ndio katiba itembeayo na maktaba ya kila kitu,hajuwi kuwa uongozi na kiongozi Kuna wakati unapaswa ukubali mawazo ya wenzio kwa kupunguza kidogo kutoka uliyokuwa unayaamini awali na kuyasimamia,

Lisu abaki kuwa mwanaharakati na mtu anayepaswa kuongozwa, Lisu hapaswi kuwa ndio top, Hapaswi kuwa wamwisho kimaamuzi Anapaswa kuwa na mtu juu yake Aliyejaa hekima busara upendo unyenyekevu uvumilivu Subira utu uzima na moyo mkubwa ili kumtuliza muda wote Na kumuelekeza kwa hekima na busara bila mikwaruzano, maana naamini Lisu Hawezi kubadilika hivyo alivyo kwa kuwa ndivyo alivyo zaliwa,

Kazi iendeleee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa kijana mzalendo na mpenda nchi yangu

Rubbish as rot
 
Ndugu zangu huo ndio ukweli kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii ya Tanzania, Hata Kama angezaliwa kabla ya Uhuru na kuwepo wakati huo na ikatokea uchaguzi, bado Lisu asingepewa nafasi ya kuwa Mkuu Wa nchi Hii ya Tanzania, kwa kuwa anakosa sifa za kiuongozi anazopaswa kuwa nazo Mkuu Wa nchi

Tundu Lisu Ni Mtu asiye na kifua, busara, Wala hekima za kiuongozi, Hana Subira Wala uvumilivu wa Jambo lililo katika kifua chake, Amejaa mihemuko na jazba kubwa Sana, Amejaa ujana ambao tunasema anawaka Kama Moto wa petroli mahali panapohitaji busara na hekima za kiuongozi, Ni mtu ambaye Hawezi kuwaunganisha watu wa makundi yote, Rika zote, vyama vyote na wenye mitizamo na mielekeo tofauti ya kisera na kiitikadi katika ujenzi wa Taifa letu, kwake yeyote atakayetofautiana Naye Basi huyo mtu ataitwa Hana akili au Ni mpumbavu, Ndio maana ya kauli zake za kusema hayo Ni Maccm au policcm

Lisu amenyimwa kipawa na uwezo wa kuweza kuwaunganisha watu hata anaotofautiana nao maana asio elewana nao kimtizamo au kisera au kiitikadi anawaona akili hazipo kichwani, Ni mtu anayeweza kutoa hata Siri za Taifa letu kwa kujuwa kuwa hiyo ndio demokrasia yenyewe au uwazi bila kujari kuwa Kuna Mambo yanapaswa kubaki Siri za Taifa kwa usalama wa Taifa letu,Ndio maana Lisu anaweza kutoka kufanya mazungumzo na Mtu ambayo yanapaswa kufanywa Siri kwa muda fulani wakati baadhi ya mambo yanasubiliwa kukamilika lakini yeye akitoka hapo akabanwa kidogo utakuta anaanza kuyaongea yote hadharani ili kuwafurahisha watu wake.

Lisu Ni Mtu ambaye Hana sifa ya kuviongoza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama Kama Amiri Jeshi mkuu ,maana Hana busara Wala hekima ya kuweza kuviunganisha na kuviweka pamoja na kuvijengea morali kutokana na kauli zake za dharau na kianaharakati harakati kwa kila Jambo

Lisu Hawezi kutujengea umoja na mshikamano wa kitaifa zaidi anaweza kulisambalatisha Taifa letu ndani ya muda mfupi Sana, maana kwake yeye anahisi anajuwa na kufahamu kila kitu na haupaswi Wala hapaswi kupingwaa Wala kukosolewa maamuzi yake au kauli zake au mtizamo wake , Ni Rahisi Sana kupandikiza chuki ndani ya Taifa letu kwa kujenga Hisia za sisi na wao yaani Hawa Ni wenzetu na wale siyo wenzetu na hawana akili

Lisu Hawezi utatuzi wa migogoro Wala kuwa mfariji wa Taifa letu kwa kuwa Hana kauli Nzuri afunguapo mdomo wake au kinywa chake,

Lisu hajuwi Ni wakati gani wakuongea na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi wakati gani wakujibu na wakati gani wakukaa kimya, hajuwi aongee maneno gani na wakati gani, hajuwi kuwa ukiwa kiongozi mkubwa hupaswi kujibu kila swali la mwandishi au mtu unalojuwa litaleta hisia tofauti au migogoro au chuki fulani au kuhatarisha usalama wa Taifa au kufichua Siri fulani yenye maslahi ya Taifa

Hajuwa Kama kiongozi Kuna wakati wa kukaa kimya kuvuta Subira kuwa mvumilivu kujishusha kusubiri taarifa sahihi , kusema subiri kwanza Hilo Jambo litatolewa ufafanuzi Baadaye kidogo, yeye Lisu anataka ajibu kila kitu hata ambacho hakipaswi kujibiwa na kufahamika kwa wakati huo kwa maslahi mapana ya Taifa letu, Lisu anaweza akataja hata idadi na aina ya silaha zetu, mizinga au ndege Vita na Hadi zinakokaa Kama akiulizwa na waandishi wazungu huko ulaya

Lisu Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa na breki na kuzungumza pale panapohitajika, hajuwi kuwa mdomo wa kiongozi haupaswi kuongea kila kitu hata Kama shangwe zinaunguluma kila Kona ya jukwaa, Hafahamu kuwa mdomo wa kiongozi unapaswa kuwa Kama chujio na siyo kuwa Kama dodoki linalozoa na kunyonya kila kitu na ukilikamua linatoa Tena yote


Lisu Ni mjuaji Sana anayehisi anajuwa kila kitu, anahisi anaweza kila kitu, anahisi hastahili kujifunza kutoka kwa yeyote, anahisi hapaswi kushauriwa na yeyote, anahisi Hakuna darasa jingine au taaluma nyingine zaidi ya madarasa aliyopita na taaluma aliyonayo, anahisi hata walimu wake hawana akili kwa Sasa ya kumueleza kitu, anahisi yeye ndio katiba itembeayo na maktaba ya kila kitu,hajuwi kuwa uongozi na kiongozi Kuna wakati unapaswa ukubali mawazo ya wenzio kwa kupunguza kidogo kutoka uliyokuwa unayaamini awali na kuyasimamia,

Lisu abaki kuwa mwanaharakati na mtu anayepaswa kuongozwa, Lisu hapaswi kuwa ndio top, Hapaswi kuwa wamwisho kimaamuzi Anapaswa kuwa na mtu juu yake Aliyejaa hekima busara upendo unyenyekevu uvumilivu Subira utu uzima na moyo mkubwa ili kumtuliza muda wote Na kumuelekeza kwa hekima na busara bila mikwaruzano, maana naamini Lisu Hawezi kubadilika hivyo alivyo kwa kuwa ndivyo alivyo zaliwa,

Kazi iendeleee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka

Lucas Mwashambwa kijana mzalendo na mpenda nchi yangu

We ni nani bana? Unampangia Mungu? Huyo mama alijua mzee wenu atakufa yeye awe rais? Acha uchawi na kujipendekeza wewe unaijua kesho yako? Mlimpiga risasi si mlijua kafa? Mbona aliyewatuma katangulia pamoja na ulinzi wa mitutu ya bunduki, vifaru, helicopter na ambulance nyuma! Acha kufuru wewe Mungu anapanga destiny ya kila mja wake, kama hajapanga hata wewe hapa andika jaza server za JF hutapata hata uchawa tu japo unajitoa akili kila siku. We una nini hd upangie watu milioni 60 kiongozi wao? Huyo aliyekufa alikua anajua ni wakati gani wa kuongea? Hoja mfu tu unatoa, mtu aliyesema anaweza kumpa mtu mama yake kwa kupewa jogoo ndo anajua cha kusema mahali gani? Na hiyo formula ya kujua cha kusema we umeitolea wapi? Unataka kila mtu aseme kinachokufurahisha wewe? Hebu acheni hizo karma iz bitch utakuja kufa mk juu wazi kwa sbb ya kiherehere na kuingilia maisha ya watu. We unajua kwa nini na mitutu yenu hamkumuua kama mlivyotaka?

Jenga hoja km unamsifia mama yako baki huko acha watu wengine na hussles zao, historia ya Lissu achana nayo kbs we kinda sana! Hao unaowasifia wanamjua na wanamheshimu sio wewe huko unapovuna mpunga ihefu
 
Back
Top Bottom