johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,034
Kila nikikumbuka kifo cha kutisha cha Mwangosi wa hapa Unyaluni halafu nikikumbuka zile risasi 16 alizopigwa Tundu Lisu...duh
Halafu nikikumbuka Zitto Kabwe alivyogoma kutoka ndani ya Ukumbi wa bunge akiogopa kukamatwa na askari mmoja tu Mwenye kitambulisho na aliyevalia sare za Jeshi la polisi
Nahitimisha kwa kuukubali Ukweli kuwa Tundu Antipas Lisu ni JASIRI
Nawatakia Sabato Njema!
Halafu nikikumbuka Zitto Kabwe alivyogoma kutoka ndani ya Ukumbi wa bunge akiogopa kukamatwa na askari mmoja tu Mwenye kitambulisho na aliyevalia sare za Jeshi la polisi
Nahitimisha kwa kuukubali Ukweli kuwa Tundu Antipas Lisu ni JASIRI
Nawatakia Sabato Njema!