taamu
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 10,162
- 8,047
Swali la kizushi ukijibiwa hili unaleta tena ubishi wa ngomani.Ligi ya mabingwa ni ubingwa siku hizi?Nyie ni mabingwa wa ligi gani?
Swali la kizushi ukijibiwa hili unaleta tena ubishi wa ngomani.Ligi ya mabingwa ni ubingwa siku hizi?Nyie ni mabingwa wa ligi gani?
Andika barua ya malalamiko CAF, kuuliza kwa nini Yanga haipo mabingwa wakati sisi ndio mabingwa?Nyie ni mabingwa wa ligi gani?
Nyie ni looser tu kwenye ligi wala halina mjadala.Andika barua ya malalamiko CAF, kuuliza kwa nini Yanga haipo mabingwa wakati sisi ndio mabingwa?
Looser ndio nini?Nyie ni looser tu kwenye ligi wala halina mjadala.
Simba hii hii iliyozidiwa PWENTI 8 huku BARA?Umesahau Viper ndio alimtoa Mazembe kwenye mabingwa ndio mkapangwa nae huko kwa waliofeli
Champions League hakuna timu mbovu, timu mbovu zote zilitolewa na kutupwa Shirikisho
Ni kweli Vipers ni wabovu na ndo maana wakamtoa TP Mazembe ambayo ndo mbovu zaidi..!!Ramli yako umeipiga vizuri Sana ila kumbuka mpira sio kama kufunga vifungo vya shati kama unavyodhania wewe..!!Huyo Horoya alifanya nini Uganda wakati anacheza na Vipers.? Je alishinda.? Na kama hakushinda iwe awe bora kuliko Simba aloshinda.? Ubora wa Timu ni msimamo wa ligi na si vinginevyo..!!Najaribu kupitapita mitandao mbalimbali, naona kila mtu anasema Simba itatinga hatua ya robo fainali, huku wakikubali kuwa timu yao ni dhaifu lakini bado wanang'ang'ania eti watafika huko.
Mimi nakataa, namba za kiufundi zinanikatalia kabisa,
Ni hivi, huyu Simba kachukua points sita kwa mchovu Vipers, aliyewapoteza wachezaji wengi msimu huu kama Cesar Lobi Manzoki na Bobos.
Mechi ya kwanza kule Uganda Simba ilishinda kwa kudra za MUNGU tu huku mastraika na viungo washambuliaji wote wakishindwa kabisa kufanya kazi yao,
Tukirudi hapa kwetu kwa Mkapa ile juzi ukweli unadhihirika kuwa kuna wachezaji hawafai hata kuichezea klabu kubwa kama Simba huku likifungwa goli tamu na la kiufundi kwa jitihada za mchezaji mmoja mmoja na si timu.
Mechi inayofuata mnakabiliana na wagumu Horoya huku kiufundi Horoya akiwa anaimudu Simba kwa maeneo mengi, yaani kiufupi Simba anakufa hapa kwa Mkapa na kwenda kuzikwa kwa wababe na maanibiteni
Raja Club Athletic. Huku mkubwa Horoya akijihakikishia points zake Saba na kuwa na uhakika wa kuingia robo final kwani mwisho kabisa atamalizana na wabovu Vipers.
Kwa Yanga hii US Monastir hatoki kwa Mkapa
Kama unajua taratibu za haya mashindano huwezi kuuliza swali kama hili, labda kama unasumbuliwa na ugeni wa mambo ya soka.Nyie ni mabingwa wa ligi gani?
Yaani wawili ndio wengi, mbona Yanga imewapoteza Makambo, Bigirimana, Yacouba, Kambole, Morrison na Feisal ?Ni hivi, huyu Simba kachukua points sita kwa mchovu Vipers, aliyewapoteza wachezaji wengi msimu huu kama Cesar Lobi Manzoki na Bobos.