Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Maisha magumu ni popote na maisha mazuri ni kote kote. Hapa hapa tz kuna watu wanamaisha ya kusikitisha. Watu na madigrii zao wanakosa kazi. Wengine wanafanya kazi 14hrs kwa siku, mshahara laki 2. But, but but... kuna wanao ishi maisha mazuri sana, shopping ya mbwa millioni 6 in china etc.
Wanao amua kwenda SA kutafuta maisha siwalaumu, siwa-encourage pia. My advise ni kila mtu awr na vision na benchmarks. Realistic and hardworking.
Wanao amua kwenda SA kutafuta maisha siwalaumu, siwa-encourage pia. My advise ni kila mtu awr na vision na benchmarks. Realistic and hardworking.