mkuu kuna jamaa nipo nao wana elimu nzuri lakini kupata kazi hapa sa ni shughuli
Aaaaaa wapi!! kama wanashule ya kutosha na hawapati kazi hapo kwa JZ si waende Botswana? tena kwa basi tu kama hawana pesa ya kukwea pipa. nisalimie Malema na wimbo wake wa Phula ebulu!!