Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Nikimuona kocha wa taifa starz ama the vice president himself daaah nachoka hata mawazo ya kurudi böngo yanatoweka!nimewataja wachache 2 sema kuna vizee kibao kila sector wanang'ang'ana kama kupe!!ful uchawi!itabaki historia tu kwamba nilizaliwa tanzania!inatia sana uchungu hadi landlockd country rwanda,malawi,burundi,uganda zambia wana2acha kila kitu,sio tu kiuchumi!
Nyumbani ni nyumbani tu, tena ninyi mnaoishi huko nje eti kwa sababu maisha bongo ni magumu mmekosa uzalendo kwa nchi yenu. Enzi zile za ubaguzi huko bondeni wa-Sauzi walikomaa hadi hizo siasa chafu zikakoma. Vivyo hivyo hata hapa Bongo wapo wazalendo wa kweli tutakomaa hadi kieleweke.