Ukweli kuhusu Rwanda, watutsi, Paul Kagame na uchochezi wa mch. Mtikila

Nyerere alisema hatutafurahia uhuru wetu Tanganyika mpaka na majirani zetu wapate pia uhuru kutoka kwa wakoloni.na leo vijana wake tunasema amani haitokaa Tanzania peke yake mpaka jirani zetu Congo nao wapate amani, Kagame tunakuondoa Congo na hao M23 wako then tutakuja kukutoa wewe Kigali then Museveni tuliwafundisha wenyewe leo hii mnataka kututisha!
 
hata ukiandika kwa kalamu nyeupe huweza kumsafisha Kagame. Mtikila alitoa evidence, we sioni chochote hapa.

Uongo mwingine hata haufai, vita ya uganda iliisha kabla kagame hajajua hata risasi inafananaje. Soma hapa:

".....In 1978, Fred Rwigyema returned to western Uganda and reunited with Kagame.[SUP][18][/SUP] During his absence, Rwigyema had joined the rebel army of Yoweri Museveni, which was based in Tanzania and aimed to overthrow the government of Idi Amin. Rwigyema then returned to Tanzania and fought in the 1979 war in which Museveni's army, allied with the Tanzanian army and other Ugandan exiles, defeated Amin. Following Amin's defeat, and inspired by Rwigyema, Kagame and other Rwandan refugees pledged allegiance to Museveni, who was a cabinet member in the transition government. Kagame travelled to Tanzania where the Tanzanian government, which sought to protect the new Ugandan regime, trained him in espionage...."

Mengi zaidi kuhusu maisha yake soma wikipedia hapa: Paul Kagame - Wikipedia, the free encyclopedia

Siwezi kupoteza mda kubishana..,but hata pia FRED RWIGYEMA ALIKUWA MTUTSI NA ALIPIGANA KUIKOMBOA TANZANIA DHIDI YA NDULI IDD AMINI, AKISAIDIANA NA JESHI LA JWTZ...! NAMSHAANGAA MCHUNGAJI MTIKILA ATAWATUKANA WATUTSI AMBAO WALIPIGANIA UKOMBOZI WA TAIFA LETU,
 
Unajidanganya wewe,Mtaanza kuondoka nyinyi madarakani kabla ya Kagame.Mimi sio Mnyarwanda ila naongea kutokana na hali halisi.Watanzania wengi wanaichukia CCM kwasababu ya matendo yao ya kinyama dhidi ya Wafuasi wa Vyama vya Upinzani.Unadhani Watanzania walio wengi wanaounga mkono Upinzani watakuwa tayari kutoa ushirikiano Kwa majeshi yenu ya CCM mara mtakapovamiwa na Nchi adui?No way.
 
Naona nianze na historia kwanza kwa faida ya wasomaji coz' naona hii ya kwako haija-expose vizuri chanzo cha uhasama kati ya Wahutu na Watusi!

HISTORIA FUPI: Hapo awali eneo ambalo hivi sasa ni Rwanda na Burundi hapakuwa na watu ambao wanafahamika kama Watusi hivi sasa; kwa maana hiyo, asili ya watu wa eneo hilo ni Wahutu!

Watusi walitokea Ethiopia, na kama ilivyokuwa enzi hizo, walipofika eneo ambalo sasa ni Rwanda na Burundi, Watutsi waliwavamia na kuwashinda vita wenyeji; Wahutu! Kimsingi, the guys(Tutsi) ni warriors since then kama yalivyo makabila mengi ya wafugaji....labda ni kwavile wameshazoea kufukuzana na wanyama wakali katika kulinda mifugo yao; tofauti na mkulima; yeye akimuona simba au chui atakimbia; by the way si simba wala chui anayekula mahindi lakini ukisusa mifugo kwa hao jamaa, imekula kwako (Hapo kwenye RED, tafsiri ni yangu kwahiyo msinidai ushahidi kwavile sina)!!!

Wakati wa ukoloni, Wakoloni waliwatumia sana Watusi kuwa-oppress Wahutu coz' Watutsi wao ndo walikuwa watawala. Inasemekana oppressing ya Watusi kwa Wahutu ilikuwa kubwa sana pengine kuliko sehemu zingine barani Afrika. Na wata Walipoingia Wabelgiji baada ya WWI, wakaendeleza hali hii, ya kuwatumia Watusi kuwa-opress Wahutu!

Lakini cha ajabu, wakati Wabelgiji wanakaribia kuondoka, wakaanza kuwaingiza baadhi ya Wahutu madarakani. Later on, kwa ushawishi wa kanisa Katoliki, Mchungaji wa Kihutu akatoa Waraka wa kuitaka Ubelgiji kukabidhi madaraka kwa Wahutu! Sujui kwanini RC waliwa-favor Wahutu, sina uhakika labda kwavile Wahutu walikuwa ni oppressed community or kutokana na ukweli kwamba kwa kawaida Wakulima walikuwa na muda wa kushiriki dini za wazungu kuliko Wafugaji na hivyo bila shaka Wakulima(Wahutu) wengi zaidi walikuwa wamempokea YESU kuliko Wafugaji Watutsi na hivyo RC kuamua kutoa upendeleo kwa waumini wao Na in fact, labda hapo ndipo unaweza kuona ni kwa vipi Kanisa lilihusika na mauaji ya kimbali kwa namna moja au nyingine!(Kwa mara nyingine, hapo kwenye RED, tafsiri ni yangu kwahiyo msinidai ushahidi kwavile sina)!!!!

Aidha, kufuatia Waraka huo, Wahutu wakaanzisha vyama vya kisiasa kama njia ya kujiandaa kutwaa mamlaka kutoka kwa Mkoloni Mbelgiji. Na historia inasema kwamba hata uanzishwaji wa vyama hivi ulisimamiwa na Kanisa!

Wakati Wabelgiji wamekaribia zaidi kuondoka, ukaitishwa uchaguzi ambapo (wengine wanasema wa kimagumashi) na chama cha Kihutu kikashinda! To make things even worse, pakapigwa kura ya kama Ufalme uendelee kuwapo au ufutwe! Tusisahau, ufalme ulikuwa unashikiliwa na Watusi wachache ambao ndo walikuwa wenye nguvu...this means that, mshindi huyu wa Kihutu alikuwa chini ya Ufalme wa Kitutsi! Hata hivyo, kama ilivyotarajiwa, wengi waka-vote against Monarch na hivyo Mhutu aliyechaguliwa akapata wasaa wa kujinafasi!! Na hivyo, mwanzoni tu mwa utawala wake akaanza kuwashighulikia Watutsi ambao walikuwa madarakani! Na katika kipindi kifupi, Watusi wakaonja joto ya jiwe kwani walishughulikiwa kila idara na wengi waliuawa na wengine wakaikimbia Rwanda! In short, ni kama walikuwa wanalipiza kisasi cha kuwa oppressed for centuries!

Hali hii ya uhasama iliendelea na kuja kuzalisha mauaji ya kimbali ya 1994 ambayo chanzo chake ni kutunguliwa kwa ndege ambayo ndani kulikuwa na Rais Habyarimana ambae alikuwa ni Mhutu!

SASA TURUDI KWENYE MADA:
Kwanza ni kweli kabisa uvamizi wa wageni ndani ya ardhi ya Tanzania unatokana na udhaifu ulio ndani ya uwezo wetu wenyewe! Hata hivyo, hilo hali-justify wageni kuingia na kutoka watakavyo! Huwezi kufika kwenye duka la mtu kisha ukaiba kwavile tu mwenyewe hajafunga! Ukikamatwa, utahukumiwa kwa wizi na wala hakuna atakayejali kwa utetezi kwamba ulikuta duka halijafungwa!!

Ni kweli pia kwamba mataifa uliyotaja ni ya watu wa mchanganyiko lakini kote huko kuna utaratibu wa mtu kuingia na sio tu kuingia utakavyo! Ukifanya hivyo na ukagundulika utawajibishwa! Na kama serikali imelala, raia wema wa nchi husika watapandisha sauti kulalamikia wahamiaji haramu! Labda tatizo la Mtikila ni aina ya lugha aliyotumia lakini kwa anayemfahamu hawezi kumshangaa!! Binafsi ningeshangaa endapo angetumia lugha ya kiungwana, lakini mtu ambae alipata kuita Mwili wa Baba wa Taifa kwamba ni mzoga sijui kama ni ajabu kuwaita Watusi ni nyoka! Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita Mtikila huyu huyu alipata kum-refer Mkapa kwamba ni Mmakonde wa Musumbiji ambae anatakiwa kutiwa kwenye lori na wamakonde wenzake kisha wakamwage mpakani! Lakini tukichuja maneno yake mabovu na ya kibaguzi, bado hoja yake inabaki kuwa ya msingi na katu uozo wa mipakani usiwe justification!

Mwisho ningependa kuzungumzia hilo la eti Kagame alikuwa tayari kufa kwa ajili ya Tanzania! Hebu jisikie aibu kwa hoja kama hiyo kwani hata kama ni kweli Kagame alishiriki kwenye vita vya Kagera, katu hakufanya hivyo kwa maslahi ya Tanzania bali alifanya hivyo kwa maslahi ya Museveni....ilikuwa ni lazima Museveni apate nchi ili nae (Kagame)apate nafasi ya kuendeleza harakati zake!
 
Zamani nilimwona Mtikila kama mwenye msimamo ila kwa kauli ile ya kuihusisha Chadema na tukio la bomu bila kusubiri uchunguzi wa polisi nimemwona mganga njaa kama kina mbati na lipumba
 
Mleta mada nadhani hayuko fair katika kueleza usafi wa kagame na watusi wenzie. Kwa ufahamu wangu;
1. kagame ndiye aliyedungua ndege iliyombeba raisi juvenari habyarimana aliyekuwa muhutu na hicho kikawa chanzo cha kile anacholiita mauaji ya kimbali. Ukitaka kumchokoza kagame na watu wake zungumza ukweli huu popote pale uone!
2. Kagame ni mafia na anaweza kufanya lolote kwa wakati wowote na popote akiwatumia vijana wake. Umesahau jinsi alivyowatuma vijana wake ( watz wenye asili ya rwanda) kwenda kumuua jeneral kayumba nyamwasa aliyekuwa mkuu wa majeshi yake akiwa south africa kwa sababu anajua siri nyingi za maauaji ya kagame?
3. unakumbuka vile alituma vijana wake( nyie mkawaita majambazi) wakamuua prof yule wa UDSM kisa na mkasa anawatetea watuhumiwa wa mauaji ya kimbari kwenye mahakama ya kimataifa ya ATCR?
Ngoja niishie hapo asije kunusaka na nie akanitoa roho, Huy mtu ni hataria sana!
 
Hayo ni mawazo yako NasDaz ila sio lazima yawe na ukweli ndani yake.Wakati Kagame analipigania hili Taifa yenye historia ya kipekee hapa barani Afrika dhidi ya mchokozi Idd Amin,Mtikila alikuwa wapi?Kagame atabakia kuwa mmoja wa mashujaa wa Tanzania wakati Mtikila atabakia kuwa mtu muoga,Asiye mzalendo na anayetumika na Wanasiasa wasio waadirifu katika Taifa hili la Tanzania.
 
Kumbe Kagame ni mmoja wa
mashujaa wetu halafu hawa watu wengine wasaliti wanataka kuiandika
historia upya?Hawatafanikiwa kamwe na Kagame atalindwa kwa gharama zote
na Watanzania.Wanasiasa wasio wazalendo siku zote huwa wasaliti.Nilijua
tu Kagame alikuwa innocent.

mtikila kasema mpo wengi mmepandikizwa nchini hivyo sishangai na wewe ukiwa mmoja wao
 
Hayo ni mawazo yako NasDaz ila sio lazima yawe na ukweli ndani yake.Wakati Kagame analipigania hili Taifa yenye historia ya kipekee hapa barani Afrika dhidi ya mchokozi Idd Amin,Mtikila alikuwa wapi?Kagame atabakia kuwa mmoja wa mashujaa wa Tanzania wakati Mtikila atabakia kuwa mtu muoga,Asiye mzalendo na anayetumika na Wanasiasa wasio waadirifu katika Taifa hili la Tanzania.


We mtusi umechanganyikiwa kweli! Hivi mnalipwa shilingi ngapi na hicho kijamaa kisichonenepa kutokana na roho yake mbaya ya kikatili?
 
Nadhani jf imekuwa sehem mbaya kwa kagame na wafuasi wake,ndio sababu anatuma sana watu kuja kumtetea,
Mimi mawazo yangu hayabadiliki kuwa kagame ni muuwaji na ndio mratibu mkuu wa vita zote za maziwa makuu akisaidiana na mtusi mwenzake m7
 
kagame n dictator,mbaguzi,mwenye dharau kama kawaida yao watus. Hataki mazungumzo na waasi. Kikwete kamshaur azungumye na waasi amekataa halafu anaanza kumchukia jk. Wanao mtetea ni wa2c mliopenyeza tz.
 
uyu jamaa inaonyesha hajaeenda shule bali alikuwa anashinda msituni kupanga mauaji ya kimbari ya Rwanda na dikteta mwenzake Kagame maana hata historia tu imempiga chenga.Watanzania wenzangu msipoteze muda kujibizani na wauaji hawa labda tu tumwambie dharau zake aache mara moja eti uvamizi wa Wanyarwnda (watutsi) ni tatizo la vyombo vya ulinzi (serikali) ni dharau na wasifikiri kuwa serikali haiwaoni ,tatizo lenu ninyi WATUTSI mnajiona kama mnauwezo sana. Msijaribu hata kidogo kuleta ushamba wenu .Mjaribu muone.
 
Kagame is a hero of Tanzania during Idd Amin war,Where was this fool Mtikila during that war.He was hiding in the holes somewhere while Kagame and other soldiers were fighting for the respect and image of our country.I hate the guy who is using Mtikila to demonize Nyerere,No wonder his administration has turned out to be a total failure.

Kagame is our hero during Kagera war? shit na Msuguli,Waitara,Mboma,Mwita Kyaro,Waden tutawaitaje? Acheni kuanzisha lijikiwanda la uongo humu
 
Tutsi propaganda on action, tunajua wazi wewe ni mtusi, mbona huelezi watusi walikotoka?. Hujui kuwa asili yao ni Ethiopia?, Kuna mzee alishanieleza kuwa vita zote za maziwa makuu ni vita kati ya Hamiti na Bantu, sasa naanza kumwamini. Kuna tetei kuwa wazanaki ni Hamiti si Wabantu na hii ni kweli. Kagame, Mseven Nyerere wote hawa ni watu wa jamii moja na vita ya Uganda watanzania tuliingia kichwa kichwa siri ndio zinaanza kufichukla sasa. Ila sasa wabantu tumeamka sijui moto huu utashia wapi. Kwanza tuonyeshane adabu Congo na huu ni mwanzo tu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nafikiri mchunganji Mtikila yuko sawa watu wengi wanaona Tanzania ni shamba la bibi alivyofanya Mtikila ni kuwafungua macho watanzania kuhusu watusi na siasa zao za chini chini,mimi naishi na Watusi naona vipi wanazungumza kuhusu jamaa zao wa kihutu,watusi wanajiona wako juu kuliko wahutu....

Kuhusu watusi kupigana vita vya nduli walifanya hivyo kwa agenda yao na walichokitaka kimekuwa,walijiunga upande wa Jeshi la Tanzania ambalo ni jeshi lenye uzoefu na wao watusi wamepata uzoefu wa kijeshi ,kutokana na uzoefu waliopata kutoka katika jeshi la Tanzania wameichukua Rwanda,wameichuka Congo na sasa wanaendele labda wana agenda ya kuichukua Tanzania vile vile

Leo nimeongea mmoja wa marafiki zangu wa Kitusi ameniambia anataka kuwekeza Tanzania kwasababu anafikiri kwao ukabila umezidi,kwahiyo alichokifanya Mtikila sio kibaya kwa watanzania labda kitakuwa kitu kibaya kwa watusi kwa vile mbinu zao zimeshawekwa hadharani
 
Back
Top Bottom