Ukweli kuhusu Mabilioni ya NIDA: Kulinganisha NEC na NIDA Kimantiki

ID card ya mtanzania inalengwa kuwa smart card ili iweze kuchukua nafasi ya pasi ya kusafiria endapo msafiri hana passport na pia kutambuliwa uraia wake kirahisi popote pale anapokuwa na ID card hio.

Kuna mtanzania mwenzetu tayari ameleta utetezi kuwa ID za NIDA ni smart Card sijui hili unalionaje?
Ukweli uko wapi?
Je Raisi alifahamishwa kuwa hizi Kadi /ID ni zakiwango hicho?
Anyway uchunguzi kama hawatauweka Makabatini kama kawaida ya mauchunguzi mengine tuliyozoea baada ya kugungua pesa zililiwa na wanene wenzao ambao ndiyo wako nao ofisi moja au ndiyo waliowawezesha wao kupata nafasi/ukuu tutajua ukweli!
 
Richard una chuki binafsi na NIDA..... inawezekanaje kuachieve 90% wakati umepewa 20% ya bajeti kwa kiaka 5? Ni vizuri uwe na uhakika na unacho kisema..... kama NIDA ingekuwa well financed haya yote yasingekuwepo..... shida hapa ni ukata.... fanya utafiti tafadhali. .... no research no right to speak..... fuatilia historia ya Galileo kuhusu suala la jua na dunia ipi inazunguka mwemzie.... wahafidhina kama wewe wali endup kumfunga mpaka akafia gerezani kwa yeye kusema ukweli..... kamwe NURU ya Tz haitashamili kwa watu kama nyie, msio kuwa na facts lakini mnalazimisha hoja.... huwa nawaita watu wa kutwanga na kupepeta.....

No way, kupoteza 180 milioni chini ya miaka mitano ilokusudiwa na JK ya kutaka kila mtanzania awe na ID card ni kushindwa kazi.

Hii inaitwa ndio failure of a government entity to reach its goals of five year plan. Hivyo tunataka tumlaumu JK kwa kushindwa kufuatilia mradi huu au bwana Maimu kwa uzembe?

Mtindo wa kufanya kazi kwa mazoea ndio umetufikisha hapa tulipo na watu kama wewe ukitetea tabia hii.

Those tasked to lead Nida have very little to show for the huge investment in public resources poured into Nida since it officially began operations in 2007.

Narudia tena mradi ulianza mwaka 2007.

Narudia tena bwana Maimu ameshindwa kazi na kilichofanyika kutumia bilioni 180 ndani ya miaka mitatu ni lazima kichunguzwe.
 
Kuna mtanzania mwenzetu tayari ameleta utetezi kuwa ID za NIDA ni smart Card sijui hili unalionaje?
Ukweli uko wapi?
Je Raisi alifahamishwa kuwa hizi Kadi /ID ni zakiwango hicho?
Anyway uchunguzi kama hawatauweka Makabatini kama kawaida ya mauchunguzi mengine tuliyozoea baada ya kugungua pesa zililiwa na wanene wenzao ambao ndiyo wako nao ofisi moja au ndiyo waliowawezesha wao kupata nafasi/ukuu tutajua ukweli!

Raisi ameonyeshwa hio poor quality card si kadi ilokusudiwa kabisa.

Rais wetu hatukumpa kura kuja kuzungumza uongo majukwaani anazo facts zote mezani.
 
Kama bilioni 179 zilizoshatumika ni kama asilimia 20% tu ina maana mpaka vitambulisho vikamilike vitagharimu bl179 mara 5 ambazo ni karibu bl 800 hata ukichukulia gharama za mwanzo ndio kubwa zaidi. Jinsi kunavyokua na ucheleweshaji gharama zinazokuja zitaongezeka sana. Vile vile sidhani Rais alikurupuka. Kwa vyovyote kuna taarifa alizopata kumshawishi mambo si sawa. Inaonekana kwa mwendo huo vitambulisho vitaigarimu taifa karibia trilion moja.
 
tukumbuke pia nec inawafanyakazi wachache sana wakuajiliwa na wapo dar tu kazi za nec zinafanywa na halmashauri na vyombo vyake na wafanyakazi wake kwa kulipwa posho ya siku. NEC hawashirikishi vyombo vyovyote vya ulinzi wakati wa kutengeneza kadi mpaka litokee tatizo ndo wanaitwa kama clinic wa raia na mali zake . NEC registration kit zake zina kila kitu ambazo ni rahisi kufanya kila kitu hapo na kutoa kasi .NEC hawana uhakiki wa muda mrefu na wataalamu wengi ni mwandishi aliyepata mafunzo ya siku tatu anasaidiana na mtendaji wa sehemu husika sasa NIDA registration kit zao zipo separate ili kuongeza ubora zaidi kamera zake ni za ubora mkubwa sana na bei yake ni kubwa pia printer zake nazo ni tofauti na za nec .NIDA inaofisi sehemu mbalimbali pamoja na wafanyakazi wengi walioajiriwa .NIDA ubora wa vitambulisho nilisikia hata kenya waliomba kijifunza kwetu NIDA wamewekeza kwanza kabla ya kuanza ili zoezi toka 2011 mpaka leo ILA LA MWISHO HUU NI MTAZAMO WANGU TU TUINGOJE MAHAKAMA NDIO MSEMA KWELI DAIMA
 
No way, kupoteza 180 milioni chini ya miaka mitano ilokusudiwa na JK ya kutaka kila mtanzania awe na ID card ni kushindwa kazi.

Hii inaitwa ndio failure of a government entity to reach its goals of five year plan. Hivyo tumlaumu JK kwa kushindwa kufuatilia mradi huu au bwana Maimu kwa uzembe.

Mtindo wa kufanya kazi kwa mazoea ndio umetufikisha hapa tulipo na watu kama wewe ukitetea tabia hii.

Those tasked to lead Nida have very little to show for the huge investment in public resources poured into Nida since it officially began operations in 2007.

Narudia tena mradi ulianza mwaka 2007.

Narudia tena bwana Maimu ameshindwa kazi na kilichofanyika kutumia bilioni 180 ndani ya miaka mitatu ni lazima kichunguzwe.
Suala ni 180b au zikitumika vipi? je kama project ina kuwa financed kwa 20% uzembe ni wa wafanya kazi au watoa pesa? Je unajua kuwa kuna card zaidi ya 6m ziko ready lakini wameshindwa ziingizia data sababu hawana pesa? Je unajua ukata ulio ikumba serikali ulileta shida kubwa mpaka kufikia mahali miradi isiyo na cut off ya muda kama NEC kuachwa kwanza?
 
labda tujiulize...

1. ukiikota
kadi ya NEC na kadi ya
NIDA ipi itakupa angalau
taarifa muhimu za alieia
ngusha?...

2. kadi ipi inatambulika
rasmi katika taasisi
muhimu katika
kumtambua mhusika?..
 
Suala ni 180b au zikitumika vipi? je kama project ina kuwa financed kwa 20% uzembe ni wa wafanya kazi au watoa pesa? Je unajua kuwa kuna card zaidi ya 6m ziko ready lakini wameshindwa ziingizia data sababu hawana pesa? Je unajua ukata ulio ikumba serikali ulileta shida kubwa mpaka kufikia mahali miradi isiyo na cut off ya muda kama NEC kuachwa kwanza?

Now we are talking, hebu tuanze na Servers, una maelezo gani kuhusu Computer Servers 100 zilikuwa zinagharimu kiasi gani na zilinunuliwa kwa malengo gani?
 
Rais ni mkuu wa taasisi ya urais, na siku zote taasisi sio kitu cha mtu mmoja, hujumuisha washauri wenye uelewa mpana na mambo mbalimbali. Waziri mkuu alipofanya kikao na aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa TRA, alimpa nafasi ya kuongea halafu akamchomolea orodha ndefu sana yenye kila aina ya ushahidi kuhusiana na makontena yaliyotoka bandarini pasipo kulipiwa malipo ya TRA. Sidhani kama rais anaweza kuongea mbele ya watu pasipo kuwa na aina fulani ya data zinazompa uhalali wa kuzungumzia jambo.
 
Nimesoma Magazeti mbali mbali na kumsikiliza mhe.Rais, baadhi ya mitandao ya kijamii na utafiti wangu mwenyewe , ki mantiki NEC na NIDA ni mbingu na Ardhi.

Wakati NIDA ni taasisi mpya na zoezi linalofanyika halijawahi kufanyika nchini kwetu kwa maana ya kumtambua mtanzania, mazoezi mengine yalikuwa ni ya usajili tu kama NEC wanavo fanya.

Madhumuni ya NIDA ni kumtambua nani Raia, nani Mgeni mkaazi na nani mkimbizi. Hili zoezi sio rahisi maana nchi yetu inapakana na nchi nyingi na kuwatofautisha watu wake sio rahisi.

Zoezi la NEC ni la kisiasa wakati mfumo wa NIDA una manufaa kiuchumi, kijamii na kiusalama ndo maana kazi yao inafanywa kwa umakini sana kwa kuhusisha vyombo vingine Kama RITA, Uhamiaji, Tamisemi na vyombo vingine vya ulinzi.

NIDA vs NEC.

1. Card ya NEC ni ya plastic na ina expire in 3 yrs kulingana na material iliyo tumika wakati ya NIDA ni smart card na life span yake ni miaka 10. Hivo ununuzi wa card za NIDA utakuwa ni wa juu kuliko wa card za NEC.

2. Kwa kuwa card za NIDA ni smart Card, hata printers zake ni specialized ili kuweza kuingiza data kwenye chip (watu wa IT watanielewa) wakati NEC ni printer za kawaida unazo weza print popote. Hivo ununuzi wa printa za NIDA utakuwa ghali.

3. Teknolojia ya NIDA ni ya kisasa na
ndo inayo tumika kwa sasa ulimwenguni na ni takwa la E. Africa comunity.

4. Kwa mujibu wa gazeti la Mtanzania la leo tarehe 08.02.2016, ukurasa wa 4 , mwandishi amegawanya pesa za usajili za NEC (70b) kwa idadi ya vitambulisho (23m) na kupata kila
kimoja ni sh. 3,010 na kwa NIDA kachukua 179.6b kagawa kwa vitambulisho 2m. Kimsingi 70b ya NEC ni ya usajili tu bila kuweka gharama za BVR. Kama sikosei wakati wa zoezi la usajili wa NEC magazeti yaliwahi kureport gharama ya BVR moja kuwa ni kama $ 6,800 na walinunua BVR 8,000 hivo basi NEC walitumia kama $54,400,000 sawa na karibu 120b bila gharama za usafiri (logistics), karatasi nk hivo si kweli NEC walitumia 70b tu. Wakati gharama za NIDA sh179.6b ni pamoja na gharama za kujenga mfumo wa kielectronic, kumlipa mkandarasi, kununua mashine za usajili na consultant aliye andikwa gazeti la Mtanzania la leo, magari, ofisi zao kila wilaya, na jukumu kubwa la utambuzi linalohusisha vyombo mbalimbali ambalo NEC hawalifanyi (nilivo vitaja hapo juu) na kama mnavyojua uanzishwajiwa ofisi ni pamoja na ununuzi wa samani etc.

5. Wakati NEC hizi pesa walipewa ndani ya mwaka mmoja, na kwa sababu ya uchaguzi NEC walikuwa na cut off time, NIDA pesa hizi
wamepewa tangu mradi uanze mwaka 2011.


6. Kama expiration ya card za NEC ni 3 yrs na NIDA ni 10 yrs hivo cost of investment ya NEC ni mara 3 ya NIDA.

7. Kuhusu sahihi (signature) kuto kuwa kwenye kitambulisho ni suala la kiteknolojia na kiusalama zaidi.Vitambulisho vingi vya kisasa na hata vya nchi nyingi tu havina signature on the face ya kitambulisho maana data zimo ndani ya kitambulisho na zinasomeka kielectronic. Vitambulisho vya Nigeria, Malaysia, Philippines etc havina signature . Data za mhusika husomwa na kitu kinaitwa Card reader. Ni kwa sababu za kiusalama tu maana signature inaweza kugushiwa lakini finger prints haziwezi. Nimeona kwenye magazeti mengi NIDA wamepata award (tuzo) mbili za kimataifa kuhusiana na teknolojia yao lakini hapa kwetu hatuvithamini, mi naona kuna shida.

Mpaka sasa hivi, kwa utafiti wangu, toka 2011 NIDA ilipo anza, NIDA imepata 20% ya pesa zilizo idhinishwa na bunge kwa miaka yote hiyo na sababu hii ya ukata ndo maana zoezi linasuasua na hawajaweza malizia usajili na wameshindwa toa elimu kwa Umma sababu ya Ukata.

Sio nia yangu kutetea ufisadi na ndo maana najiita "Tanzania Njema Yaja". Naiona Tanzania ikielekea kwenye nuru lakini hatutafika kilele cha uzuri huo kama ukweli hautaelezwa... ni vema Watanzania wakauelewa ukweli kabla ya kuhukumu. Mh. Raisi alisema, "msema kweli ni mpenzi wa Mungu" nami naona nimetimiza usemi huo. Na ninaamini baada ya uchunguzi ambao mh. Raisi ameelekeza ufanyike, ukweli utafahamika na haki itatendeka.

Long live Tanzania. Ukweli utatuweka huru.......
Naona majipu ya NIDA yanaanza kujitetea
 
Kama bilioni 179 zilizoshatumika ni kama asilimia 20% tu ina maana mpaka vitambulisho vikamilike vitagharimu bl179 mara 5 ambazo ni karibu bl 800 hata ukichukulia gharama za mwanzo ndio kubwa zaidi. Jinsi kunavyokua na ucheleweshaji gharama zinazokuja zitaongezeka sana. Vile vile sidhani Rais alikurupuka. Kwa vyovyote kuna taarifa alizopata kumshawishi mambo si sawa. Inaonekana kwa mwendo huo vitambulisho vitaigarimu taifa karibia trilion moja.
Mkuu uko sahihi.... mwaka 2011 nadhani $1 ilikuwa kama sh 1600... hivyo 180 b ilikuwa kama $ 112.5m ila kwa sasa 1$ ni sh kama 2200 ni kama $ 81.8m .... hivo mradi umepanda kwa $30.7m ambazo ni kama 67.5b..... hivo unaweza ona mradi ukichelewa unavo turn up kuwa monster wa pesa zetu.... hii sio kwa NIDA tu hata kwa miradi yote inayo lipwa kwa $....
 
Mkuu niko Bongo ila nafikiria nje ya Box.... teknolojia ya NIDA ni Contactless smart card. ... unaweza ku google... haionekani kwa macho ila kwa card readers....


A contactless smart card is a contactless 13.56-MHz credential whose dimensions arecredit-card size. Its embedded integrated circuits can store and sometimes process data and communicate with a terminal viaradio waves. There are two broad categories of contactless smart cards. Memory cardscontain non-volatile memory storage components, and perhaps some specific security logic. Contactless smart cards do contain read-only RFID called CSN (Card Serial Number) or UID, and a re-writeable smart card microchip that can be transcribed via radio waves.
Mkuu pamoja na yote, ufisadi hauepukiki. Unataka kusema kitambulisho cha NIDA ni smart kuliko kadi smart za mabanks?

NMB, CRDB, TPB na wengine wengi wana smart cards, zenye chip zinazoonekana na hiyo isiyoonekana. Lkn bank zote hizo, ukifungua akaunti, pamoja na kukupa card smart, hawakudai zaidi 20,000/- na ukienda kuangalia salio utalikuta na kadi smart unayo mkononi.

Hivyo itoshe tu kusema, kinachotokea ni kitu resource officers wanaita "tragedy of the Commons". Haiwezekani kitambulisho kikagharimu 85,000/- hii inawezekana ni kwa sababu ni vya umma.

Ningekubali kama smart card(VISA) zingegarimu pesa hiyo.
 
Mkuu uko sahihi.... mwaka 2011 nadhani $1 ilikuwa kama sh 1600... hivyo 180 b ilikuwa kama $ 112.5m ila kwa sasa 1$ ni sh kama 2200 ni kama $ 81.8m .... hivo mradi umepanda kwa $30.7m ambazo ni kama 67.5b..... hivo unaweza ona mradi ukichelewa unavo turn up kuwa monster wa pesa zetu.... hii sio kwa NIDA tu hata kwa miradi yote inayo lipwa kwa $....

Usiruke hoja zingine!
Lete ufafanuzi je ID za NIDA niya teknolojia ya Smart Card ya Contact-less?
Au ni kiji kadi tu kama inavyoonekena?
 
nashukuru mkuu... ni vema watanzania tukajenga tabia ya kuwa wakweli, kwetu wenyewe na kwa viongozi wetu.... kama vitambulisho vya NEC haviwezi tumika uchaguzi ujao, vina expire in 3 yrs na vya NIDA vita expire in 10 years, huwez walinganisha wote at per.... hapa ni sawa na kulinganisha chungwa na apple eti kwa sababu yote ni matunda....
kingine NIDA wameingia gharama za kupanga majengo wakati NEC hawajapanga, pia kuna mgongano wa kimasilahi kati ya NEC na NIDA, NIDA waliomba pesa serikali ili itengeneza vitambulisho ambavyo vitatumika mpaka kwenye kupiga kura, serikali haikuwapa ikawapa NEC
 
Good
Nimesoma Magazeti mbali mbali na kumsikiliza mhe.Rais, baadhi ya mitandao ya kijamii na utafiti wangu mwenyewe , ki mantiki NEC na NIDA ni mbingu na Ardhi.

Wakati NIDA ni taasisi mpya na zoezi linalofanyika halijawahi kufanyika nchini kwetu kwa maana ya kumtambua mtanzania, mazoezi mengine yalikuwa ni ya usajili tu kama NEC wanavo fanya.

Madhumuni ya NIDA ni kumtambua nani Raia, nani Mgeni mkaazi na nani mkimbizi. Hili zoezi sio rahisi maana nchi yetu inapakana na nchi nyingi na kuwatofautisha watu wake sio rahisi.

Zoezi la NEC ni la kisiasa wakati mfumo wa NIDA una manufaa kiuchumi, kijamii na kiusalama ndo maana kazi yao inafanywa kwa umakini sana kwa kuhusisha vyombo vingine Kama RITA, Uhamiaji, Tamisemi na vyombo vingine vya ulinzi.

NIDA vs NEC.

1. Card ya NEC ni ya plastic na ina expire in 3 yrs kulingana na material iliyo tumika wakati ya NIDA ni smart card na life span yake ni miaka 10. Hivo ununuzi wa card za NIDA utakuwa ni wa juu kuliko wa card za NEC.

2. Kwa kuwa card za NIDA ni smart Card, hata printers zake ni specialized ili kuweza kuingiza data kwenye chip (watu wa IT watanielewa) wakati NEC ni printer za kawaida unazo weza print popote. Hivo ununuzi wa printa za NIDA utakuwa ghali.

3. Teknolojia ya NIDA ni ya kisasa na
ndo inayo tumika kwa sasa ulimwenguni na ni takwa la E. Africa comunity.

4. Kwa mujibu wa gazeti la Mtanzania la leo tarehe 08.02.2016, ukurasa wa 4 , mwandishi amegawanya pesa za usajili za NEC (70b) kwa idadi ya vitambulisho (23m) na kupata kila
kimoja ni sh. 3,010 na kwa NIDA kachukua 179.6b kagawa kwa vitambulisho 2m. Kimsingi 70b ya NEC ni ya usajili tu bila kuweka gharama za BVR. Kama sikosei wakati wa zoezi la usajili wa NEC magazeti yaliwahi kureport gharama ya BVR moja kuwa ni kama $ 6,800 na walinunua BVR 8,000 hivo basi NEC walitumia kama $54,400,000 sawa na karibu 120b bila gharama za usafiri (logistics), karatasi nk hivo si kweli NEC walitumia 70b tu. Wakati gharama za NIDA sh179.6b ni pamoja na gharama za kujenga mfumo wa kielectronic, kumlipa mkandarasi, kununua mashine za usajili na consultant aliye andikwa gazeti la Mtanzania la leo, magari, ofisi zao kila wilaya, na jukumu kubwa la utambuzi linalohusisha vyombo mbalimbali ambalo NEC hawalifanyi (nilivo vitaja hapo juu) na kama mnavyojua uanzishwajiwa ofisi ni pamoja na ununuzi wa samani etc.

5. Wakati NEC hizi pesa walipewa ndani ya mwaka mmoja, na kwa sababu ya uchaguzi NEC walikuwa na cut off time, NIDA pesa hizi
wamepewa tangu mradi uanze mwaka 2011.


6. Kama expiration ya card za NEC ni 3 yrs na NIDA ni 10 yrs hivo cost of investment ya NEC ni mara 3 ya NIDA.

7. Kuhusu sahihi (signature) kuto kuwa kwenye kitambulisho ni suala la kiteknolojia na kiusalama zaidi.Vitambulisho vingi vya kisasa na hata vya nchi nyingi tu havina signature on the face ya kitambulisho maana data zimo ndani ya kitambulisho na zinasomeka kielectronic. Vitambulisho vya Nigeria, Malaysia, Philippines etc havina signature . Data za mhusika husomwa na kitu kinaitwa Card reader. Ni kwa sababu za kiusalama tu maana signature inaweza kugushiwa lakini finger prints haziwezi. Nimeona kwenye magazeti mengi NIDA wamepata award (tuzo) mbili za kimataifa kuhusiana na teknolojia yao lakini hapa kwetu hatuvithamini, mi naona kuna shida.

Mpaka sasa hivi, kwa utafiti wangu, toka 2011 NIDA ilipo anza, NIDA imepata 20% ya pesa zilizo idhinishwa na bunge kwa miaka yote hiyo na sababu hii ya ukata ndo maana zoezi linasuasua na hawajaweza malizia usajili na wameshindwa toa elimu kwa Umma sababu ya Ukata.

Sio nia yangu kutetea ufisadi na ndo maana najiita "Tanzania Njema Yaja". Naiona Tanzania ikielekea kwenye nuru lakini hatutafika kilele cha uzuri huo kama ukweli hautaelezwa... ni vema Watanzania wakauelewa ukweli kabla ya kuhukumu. Mh. Raisi alisema, "msema kweli ni mpenzi wa Mungu" nami naona nimetimiza usemi huo. Na ninaamini baada ya uchunguzi ambao mh. Raisi ameelekeza ufanyike, ukweli utafahamika na haki itatendeka.

Long live Tanzania. Ukweli utatuweka huru.......
Good analysis. Seems convincing!
 
Mkuu pamoja na yote, ufisadi hauepukiki. Unataka kusema kitambulisho cha NIDA ni smart kuliko kadi smart za mabanks?

NNB, CRDB, TPB na wengine wengi wana smart cards, zenye chip zinazoonekana na hiyo isiyoonekana. Lkn bank zote hizo, ukifungua akaunti, pamoja na kukupa card smart, hawakudai zaidi 20,000/- na ukienda kuangalia salio utalikuta na kadi smart unayo mkononi.

Hivyo itoshe tu kusema, kinachotokea ni kitu resource officers wanaita "tragedy of the Commons". Haiwezekani kitambulisho kikagharimu 85,000/- hii inawezekana ni kwa sababu ni vya umma.

Ningekubali kama smart card(VISA) zingegarimu pesa hiyo.
Hapa kinacho kosekana ni Elimu ya card hizi na mfumo wake mkubwa ulivo.... nimeeleza hapo mwanzo, 179b za nida huwez gawa kwa idadi ya vitambulisho kama nilivo sema, kuna one time investment kama machines za kuregister, magari, ofisi, wafanyakazi, etc na kadri watakavo endele gharama ya kitambulisho itashuka....
 
Back
Top Bottom