Kumbakumba
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 222
- 18
Mwisho wa ubaya ni fedheha,asubiri 2015
Mkuu hebu jaribu kumrushia jiwe mtoto wako uone dhoruba utakayoipata kutoka kwa majirani!... Na mtu akirusha jiwe wewe unachofanya ni kumuuwa.
Imebidi,
Umeandika mengi sana lakini Great Thinker huwezi kumdanganya kwa porojo zako unasema ulikuwepo halafu hujui kama kuna mtu kapoteza maisha unataka kupotosha umma kwa mapenzi yako kwa Chadema, kwenye maandiko yako hukuna hata sehemu moja umeleza kama kuna mtu kapoteza maisha inawezekana na wewe kati ya wafuasi wa Chadema walimpiga mawe ya kichwa mfuasi wa CCM mpaka akapoteza maisha umemua kuja JF kujikosha, kitu mlichofanya Singida ni cha kinyama sana.
Imebidi unasema mnyika alikuwapo kwenye huo mkutano na tumaini makene alisema njia ya mwongo ni fupi mnyika hakuwepo so propaganda wekeni pembeni kidogo mtupe fact
atarudi kwa kishindo tena atachukua ubungo
Tumika tu kama kondom, ila moyo wako unajua A-Z, lete basi taarifa yako itu-convince, sio kukashifu watu iihali umeshindwa kukosoa kwa hoja.......mi naamini vijana wa Mwigulu kuna vitu vikubwa sana anawafanyia kiasi cha kumwabudu, sidhani kama ni pesa tu, kuna makubwa mno ambayo siku tukijua hatuta amini, mngekuwa mnatunga mimba ingesha dhihirika
just think twice,nchemba yuko sumbawanga,walioko iramba ni mnyika na watu wake,unapopotosha ukweli ujue kuna wengi wanafatilia,hatuishii kuambiwa na kumeza ilivo ndo mana tunapinga uongo na uzushi huu
Imebidi,
Umeandika mengi sana lakini Great Thinker huwezi kumdanganya kwa porojo zako unasema ulikuwepo halafu hujui kama kuna mtu kapoteza maisha unataka kupotosha umma kwa mapenzi yako kwa Chadema, kwenye maandiko yako hukuna hata sehemu moja umeleza kama kuna mtu kapoteza maisha inawezekana na wewe kati ya wafuasi wa Chadema walimpiga mawe ya kichwa mfuasi wa CCM mpaka akapoteza maisha umemua kuja JF kujikosha, kitu mlichofanya Singida ni cha kinyama sana.
Kwa hiyo hao vijana wote walimrushia mawe Mnyika lakini hana hata mchubuko. Na mtu akirusha jiwe wewe unachofanya ni kumuuwa.
Hizi taarifa za Mwigulu kuandaa na kuongoza vurumai huko Singida zinaweza kuwa za ukweli kwani jana kwenye mkutano wa ccm Sumbawanga alikuwa hatulii kila mara alikuwa akitoka kwenye kiti alichoandaliwa na kuzuguka nyuma ya jukwaa huku akipiga cimu mara kadhaa alinyanyuka na kuzunguka nyuma ya jukwaa na kurudi tena hilo lilikuwa wazi jana kwani alikuwa front banch na ilikuwa rahisi kuonekana kwani alikuwa na skafu lake na wakati akiongea na cim alionekana akitoa maagizo huku akifoka foka, huyu jamaa gaidi kumbe!
Chadema mbona mpo kimya kuhusu mauja ya Singida mfuasi wa Chadema kauwawa kwa kupigwa na mawe na wafuasi wa Chadema mpaka kapoteza maisha, hawa Pro-Chadema JF Kurunzi, Ptz, Mungi, Imebidi, Kasimba G, Ng'wanangwa...mnasema Mwigulu Nchemba ndio kaleta fujo kwenye mkutano wa Chadema, sasa jana mbona tumemuona kwenye mkutano Sumbawanga au baada ya kutoka Sindida akaenda Sumbawanga.