Ukweli kuhusu CHADEMA Iringa na uongo wa TUNTEMEKE

cdm ukweli ni mchungu kwenu???? Muige tabia ya wanaccm kuwa wavumilivu

magamba wamebanwa kwenye kona ndo maana wana tapatapa ni habari za kizushi na za majitaka.
Mimi mwenyewe nilikuwepo kwenye mkutano huo mwanzo mpaka mwisho, siku shuhudia aliyoyaandika tuntemeke. Tuntemeke ameandika uwongo mtupu mwanzo mpaka mwisho. Watanzania tutumie vizuri akili zetu tulizopewa na mwenyeenzi mungu bure, kuliko kudanganja watu.
 
Kweli leo nimestushwa sana na habari kuhusu kile kinachoitwa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa. Ingawa habari yenyewe imeondolewa lakini madhara yake yatakuwa ni makubwa sana kama Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Iringa nikikaa kimya. Sijui kama huyo anayejiita TUNTEMEKE kama hata anajua ni kwa jinsi gani watu wanapambana kuuondoa mfumo mbovu uliopo.

Tangu mwaka 2010 CHADEMA Iringa tulikuwa hatuna Mwenyekiti wa MKoa kutokana na yule aliyekuwepo Benny Kapwani kujiuzulu Uenyekiti hapo tarehe 21/08/2010. Tangu wakati huo mpaka tulipofanya kikao cha baraza la Mashauriano Mkoa wa Iringa tarehe 25/02/2012 tulikuwa hatuna Mwenyekiti wa Mkoa.

Kwenye kikao hicho hatukuwa na uchaguzi kama inavyoelezwa bali wanachama walifanya uteuzi kwa mujibu wa Katiba kwani kikao hicho ndicho chenye mamlaka ya kuchagua viongozi wa ngazi ya mkoa. Wajumbe wa Baraza la mashauriano walipendekeza majina ya watu watatu kukaimu nafasi ya Mwenyekiti nao ni: Otmar .O. Haule, Chiku .A. Abwao na Thomas .S. Nyimbo.

Isingekuwa rahisi kwa wote watatu kukaimu nafasi hiyo kwa hiyo wajumbe walipiga kura si kuchagua mwenyekiti bali kuteua miongoni mwa hao watatu nani anafaa zaidi kukaimu nafasi ya Mwenyekiti wa Mkoa kwa kipindi cha mwaka mmoja hadi 2013 tutakapofanya uchaguzi wa nafasi hiyo kikatiba. Baada kura kupigwa Chiku Abwao alipata kura 59 na Thomas Nyimbo alipata kura 30 na Otmar Haule alijitoa kabla ya kura kupigwa.

Kwa hiyo hoja ya TUNTEMEKE kwamba kulikuwa na fomu za kugombea nafasi hiyo si za kweli kwani si Chiku Abwao wala Thomas Nyimbo walioingia kwenye kikao kile wakiwa ni wagombea wala wanachama hawakuja kwenye kikao wakijua kuwa Abwao na Nyimbo ni wagombea.

Na kikao kile cha Baraza la Mashauriano cha mkoa wa Iringa hakikufanyikia Makao Makuu ya Mkoa kama TUNTEMEKE anavyotaka tuamini bali kikao kile kilifanyikia Makambako kwenye Mkoa Mpya wa Njombe ambao kichama bado ni sehehmu ya Mkoa wa Iringa.

Uchaguzi ule niliusimamia mimi mwenyewe kutokana na sababu za kiufundi wala si kwa utashi wangu mimi binafsi, CHADEMA hatuna kamati tendaji ngazi ya Mkoa badala yake tuna Baraza la Uongozi la Mkoa ambalo wakati huo lilikuwa halina Mwenyekiti. Kwenye kikao cha Baraza hilo ambalo Chiku na Msigwa ni wajumbe na wote walihudhuria (24/02/2012) ilikubaliwa kwamba niendeshe mchakato wa kuteua kaimu Mwenyekiti wa Mkoa ili kikao kiendeshwe na Mwenyekiti anayekubalika na wajumbe wa Kikao badala ya Baraza la Uongozi kuteua Mwenyekiti wa kuongoza kikao hicho.

TUNTEMEKE ana chuki binafsi na DR. Slaa lakini ukweli utabaki kuwa hakukuwa na fomu za kugombea kwa hiyo kusema kwamba Dr. Slaa alimshawishi Chiku Abwao kuchukua fomu ni uongo uliopindukia na wala si kweli kwamba Peter Msigwa amewahi kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa. Huu nao ni uzushi unaotakiwa kupuuzwa kwa nguvu zote. Labda TUNTEMEKE anaweza kutuambia ni lini Msigwa alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa na kikao kilichomchagua kilifanyikia wapi na uchaguzi ulisimamiwa na nani?

Nawasilisha!!

Allen Kilewella
Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Iringa

TUNTEMEKE anatumia gongo ya mav*!!!na kawaida yake akitoka haja hachambi!!!!
 
we ni gamba kuanzia ubongo mpaka miguu, hata uandish wako hauko makini

...Nimefuatilia post za kamandamakini, huyu ni Chadema Damu, Mfuasi Mtiifu wa Msigwa, na kwa kuwa kama anadai Allen,Katibu Mkuu wa Chadema Mkoa wa Iringa, aliungana na Chiku Abwao kuvunja taratibu, na kamati kuu ikalisikiliza suala hilo kama Tuntemeke alivyosema, na kisha kumlaumu Allen kupingana na Kamati kuu kama Josephine alivyomuomba Allen hapa na kumtaka akaongee kwenye vikao kama ana hoja ya ziada, kuna uwezekano mkubwa kuna ukweli katika hili....

...Nimefuatilia posts zote za KamandaMakini na kujiridhisha kuwa ni mwanachadema hai Mkoani Iringa na mfuatiliaji au mtendaji asiyechoka wa shughuli za Chadema Mjini Iringa, pitia posts zake hapa kujiridhisha, https://www.jamiiforums.com/search.php?searchid=8988746

...Kwa posts zake hizi, ni dhahiri kuwa KamandaMakini ni mtu wa karibu sana na Mchungaji Msigwa, na kwa yaliyojiri kwenye kikao(according to Tuntemeke) na haya ya KamandaMakini, ni dhahiri shairi kuwa Katibu wa Chadema Mkoa, ana-conflict of interest kwenye uchaguzi huo na hivyo hawezi kuwa neutral au mkweli kwenye hili kutokana na either ufuasi wake/uungaji wakemkono kwa mgombea wa Uenyekiti Chiku Abwao, bahati mbaya Allen hakueleza before conflict of interest hii aliyokuwa nayo kwenye uchaguzi huo...
 
Kweli leo nimestushwa sana na habari kuhusu kile kinachoitwa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa. Ingawa habari yenyewe imeondolewa lakini madhara yake yatakuwa ni makubwa sana kama Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Iringa nikikaa kimya. Sijui kama huyo anayejiita TUNTEMEKE kama hata anajua ni kwa jinsi gani watu wanapambana kuuondoa mfumo mbovu uliopo.

Tangu mwaka 2010 CHADEMA Iringa tulikuwa hatuna Mwenyekiti wa MKoa kutokana na yule aliyekuwepo Benny Kapwani kujiuzulu Uenyekiti hapo tarehe 21/08/2010. Tangu wakati huo mpaka tulipofanya kikao cha baraza la Mashauriano Mkoa wa Iringa tarehe 25/02/2012 tulikuwa hatuna Mwenyekiti wa Mkoa.

Kwenye kikao hicho hatukuwa na uchaguzi kama inavyoelezwa bali wanachama walifanya uteuzi kwa mujibu wa Katiba kwani kikao hicho ndicho chenye mamlaka ya kuchagua viongozi wa ngazi ya mkoa. Wajumbe wa Baraza la mashauriano walipendekeza majina ya watu watatu kukaimu nafasi ya Mwenyekiti nao ni: Otmar .O. Haule, Chiku .A. Abwao na Thomas .S. Nyimbo.

Isingekuwa rahisi kwa wote watatu kukaimu nafasi hiyo kwa hiyo wajumbe walipiga kura si kuchagua mwenyekiti bali kuteua miongoni mwa hao watatu nani anafaa zaidi kukaimu nafasi ya Mwenyekiti wa Mkoa kwa kipindi cha mwaka mmoja hadi 2013 tutakapofanya uchaguzi wa nafasi hiyo kikatiba. Baada kura kupigwa Chiku Abwao alipata kura 59 na Thomas Nyimbo alipata kura 30 na Otmar Haule alijitoa kabla ya kura kupigwa.

Kwa hiyo hoja ya TUNTEMEKE kwamba kulikuwa na fomu za kugombea nafasi hiyo si za kweli kwani si Chiku Abwao wala Thomas Nyimbo walioingia kwenye kikao kile wakiwa ni wagombea wala wanachama hawakuja kwenye kikao wakijua kuwa Abwao na Nyimbo ni wagombea.

Na kikao kile cha Baraza la Mashauriano cha mkoa wa Iringa hakikufanyikia Makao Makuu ya Mkoa kama TUNTEMEKE anavyotaka tuamini bali kikao kile kilifanyikia Makambako kwenye Mkoa Mpya wa Njombe ambao kichama bado ni sehehmu ya Mkoa wa Iringa.

Uchaguzi ule niliusimamia mimi mwenyewe kutokana na sababu za kiufundi wala si kwa utashi wangu mimi binafsi, CHADEMA hatuna kamati tendaji ngazi ya Mkoa badala yake tuna Baraza la Uongozi la Mkoa ambalo wakati huo lilikuwa halina Mwenyekiti. Kwenye kikao cha Baraza hilo ambalo Chiku na Msigwa ni wajumbe na wote walihudhuria (24/02/2012) ilikubaliwa kwamba niendeshe mchakato wa kuteua kaimu Mwenyekiti wa Mkoa ili kikao kiendeshwe na Mwenyekiti anayekubalika na wajumbe wa Kikao badala ya Baraza la Uongozi kuteua Mwenyekiti wa kuongoza kikao hicho.

TUNTEMEKE ana chuki binafsi na DR. Slaa lakini ukweli utabaki kuwa hakukuwa na fomu za kugombea kwa hiyo kusema kwamba Dr. Slaa alimshawishi Chiku Abwao kuchukua fomu ni uongo uliopindukia na wala si kweli kwamba Peter Msigwa amewahi kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa. Huu nao ni uzushi unaotakiwa kupuuzwa kwa nguvu zote. Labda TUNTEMEKE anaweza kutuambia ni lini Msigwa alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa na kikao kilichomchagua kilifanyikia wapi na uchaguzi ulisimamiwa na nani?

Nawasilisha!!

Allen Kilewella
Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Iringa
Shemeji yangu(Nimeoa Iringa) nashukuru kwa ufafanuzi wako.Huyu Tuntemeke ndo nani?yupo ndani ya cc?Nimeshangazwa sana na maneno yake machafu.Ni Dr Slaa gani anayemzungumzia hapo?huyu tunayemjua sisi au mwingine kazaliwa upya?CDM iendelee kuwa makini na watu wa aina hii,huenda wakawa mamluki.
 
Aksante sana Katibu; umeonyesha njia sahihi ya kujibu hoja na kukosoa wapotoshaji huu ndio uelekeo mzuri ambao kama ma Great Thinker inatupasa kuelekea badala ya kuishia kutoa matusi ambapo hayaondoi utata wa habari ambazo zinahitaji ufafanuzi sahihi"
USHAURI WANGU: wana JF katibu katuonyesha mapito mazuri sana; kwa manufaa ya kujenga wapiganaji tujibizane na kukosoana kwa hoja badala ya matusi.
 
Mengi yalisikika kwa wafuasi wa CDM pale Njombe kuwa Chiku Abwao alipita kwa rushwa, uchaguzi usingekuwa na Mizengwe Thomas Nyimbo kampita Chiku Abwao kwa kila sifa

Unawashwa na yasiyokuhusu nenda kaandamane Lumumba kamuunge mkono TUNTEMEKE
 
...Nimefuatilia post za kamandamakini, huyu ni Chadema Damu, Mfuasi Mtiifu wa Msigwa, na kwa kuwa kama anadai Allen,Katibu Mkuu wa Chadema Mkoa wa Iringa, aliungana na Chiku Abwao kuvunja taratibu, na kamati kuu ikalisikiliza suala hilo kama Tuntemeke alivyosema, na kisha kumlaumu Allen kupingana na Kamati kuu kama Josephine alivyomuomba Allen hapa na kumtaka akaongee kwenye vikao kama ana hoja ya ziada, kuna uwezekano mkubwa kuna ukweli katika hili....

...Nimefuatilia posts zote za KamandaMakini na kujiridhisha kuwa ni mwanachadema hai Mkoani Iringa na mfuatiliaji au mtendaji asiyechoka wa shughuli za Chadema Mjini Iringa, pitia posts zake hapa kujiridhisha, https://www.jamiiforums.com/search.php?searchid=8988746

...Kwa posts zake hizi, ni dhahiri kuwa KamandaMakini ni mtu wa karibu sana na Mchungaji Msigwa, na kwa yaliyojiri kwenye kikao(according to Tuntemeke) na haya ya KamandaMakini, ni dhahiri shairi kuwa Katibu wa Chadema Mkoa, ana-conflict of interest kwenye uchaguzi huo na hivyo hawezi kuwa neutral au mkweli kwenye hili kutokana na either ufuasi wake/uungaji wakemkono kwa mgombea wa Uenyekiti Chiku Abwao, bahati mbaya Allen hakueleza before conflict of interest hii aliyokuwa nayo kwenye uchaguzi huo...
Butola kwanza nafurahi kwamba umejipa muda kumfuatilia huyu kamandamakini ni nani na umeona posts zake. lakini kwa nini labda wewe usianze kufikiri kwamba huyo kamandamakini ndiye Msigwa mwenyewe? Halafu kwenye Post moja ya kamandamakini amesema kwa kushangaa "urafiki" wangu na Chiku Abwao umeanza lini?

Kwa swali hilo la kamandamakini anaonyesha kwamba mimi na Chiku Abwao hatuivi, kwa hiyo kusema kwamba mimi nina maslahi na kuteuliwa kwa Chiku kuwa kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa ni kujipa uvivu wa kufanya utafiti. Ninachojua mimi ni kwamba wajumbe ndiyo walimteua Chiku Abwao na wala mimi sikuhusika kwa njia yoyote ile kwenye kuchaguliwa kwake.

Huyo kamandamakini wala Peter Msigwa hawakuhudhuria kikao hicho cha Baraza la Mashauriano Mkoa wa Iringa kwani wakati Kikao kinafanyika Msigwa alikuwa Dar es salaam kwa mambo yake binafsi.

kamandamakini kuwa karibu na Msigwa haimaanishi kwamba yeye anajua kila kitu kinachotokea ndani ya CHADEMA Mkoa wa Iringa. Hoja yangu ambayo ndiyo naisimamia ni kwamba hakukuwa na uchaguzi bali wajumbe wa Baraza la Mashauriano walimteua Chiku Abwao kuwa Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa.

Mwisho kabisa mimi sipingani na Kamati Kuu. Kwani kamati Kuu imeamua nini? Inawezekana nyie wenzetu mko kwenye Kamati Kuu mnajua Kamati Kuu imeamua nini, kwa hiyo tuambieni kilichoamuliwa ili tujue na sisi. Na taratibu ni zile zilizoandikwa kwenye katiba kama zimefuatwa mengine ni makosa ya kiutendaji ambayo mimi kama Katibu wa Mkoa wa Iringa sijajulishwa kama yalikuwepo makosa hayo.
 
Wanairinga huyu anayejiita katibu Wa mkoa ni lini mmemona kwenye mkutano wote Wa hadhara hapa mjini Iringa?mbowe,dr Slaa ,zitto umewahi kumwona huyo Allen?wakati Wa kampeni za ubunge hakiwahi kuonekana hata mkutano mmoja Wa Msigwa hajawahi kuhudhuria hata siku moja,afadhali hata chiku baada ya arumeru walikuwa na mkutano na Msigwa ,Allen usidangaye watu wewe umeonyesha upendeleo Wa wazi na unachuki na Msigwa kwani hata wakati wakampeni ulikuwa kinyume naye
 
Sometimes tuwe tunakuwa wakweli. Iringa chadema sio kihivyoooooooooooo. Hata msigwa na akina chiku wanajua. Shukuruni tu ccm walivyo mess kumweka mama mbega na kumtoa mwakalebela otherwise hakuna kitu pale. Panahitaji kuimarishwa. Msigwa ilikuwa bahati nasibu. Acheni ugomvi imarisheni chama kwenye huo mkoa chadema bado haijawa strong kihivyooooooooo. Ushauri wa bure ila mkitaka kunitukana karibuni tu. I don't mind hata mliopo Iringa mnajua jamani kuweni wakweli.
 
Mkuu Allen,
Hongera kwa ufafanuzi huu mzuri, kwa maelezo haya akina Ritz, Rejao na wenzao watakuwa wamezibwa midomo. Nitawashangaa mods kama TUNTEMEKE(Malaria Sugu) haugulii BAN mpaka muda huu! Anapost taarifa za uchochezi!
Kweli leo nimestushwa sana na habari kuhusu kile kinachoitwa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa. Ingawa habari yenyewe imeondolewa lakini madhara yake yatakuwa ni makubwa sana kama Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Iringa nikikaa kimya. Sijui kama huyo anayejiita TUNTEMEKE kama hata anajua ni kwa jinsi gani watu wanapambana kuuondoa mfumo mbovu uliopo.

Tangu mwaka 2010 CHADEMA Iringa tulikuwa hatuna Mwenyekiti wa MKoa kutokana na yule aliyekuwepo Benny Kapwani kujiuzulu Uenyekiti hapo tarehe 21/08/2010. Tangu wakati huo mpaka tulipofanya kikao cha baraza la Mashauriano Mkoa wa Iringa tarehe 25/02/2012 tulikuwa hatuna Mwenyekiti wa Mkoa.

Kwenye kikao hicho hatukuwa na uchaguzi kama inavyoelezwa bali wanachama walifanya uteuzi kwa mujibu wa Katiba kwani kikao hicho ndicho chenye mamlaka ya kuchagua viongozi wa ngazi ya mkoa. Wajumbe wa Baraza la mashauriano walipendekeza majina ya watu watatu kukaimu nafasi ya Mwenyekiti nao ni: Otmar .O. Haule, Chiku .A. Abwao na Thomas .S. Nyimbo.

Isingekuwa rahisi kwa wote watatu kukaimu nafasi hiyo kwa hiyo wajumbe walipiga kura si kuchagua mwenyekiti bali kuteua miongoni mwa hao watatu nani anafaa zaidi kukaimu nafasi ya Mwenyekiti wa Mkoa kwa kipindi cha mwaka mmoja hadi 2013 tutakapofanya uchaguzi wa nafasi hiyo kikatiba. Baada kura kupigwa Chiku Abwao alipata kura 59 na Thomas Nyimbo alipata kura 30 na Otmar Haule alijitoa kabla ya kura kupigwa.

Kwa hiyo hoja ya TUNTEMEKE kwamba kulikuwa na fomu za kugombea nafasi hiyo si za kweli kwani si Chiku Abwao wala Thomas Nyimbo walioingia kwenye kikao kile wakiwa ni wagombea wala wanachama hawakuja kwenye kikao wakijua kuwa Abwao na Nyimbo ni wagombea.

Na kikao kile cha Baraza la Mashauriano cha mkoa wa Iringa hakikufanyikia Makao Makuu ya Mkoa kama TUNTEMEKE anavyotaka tuamini bali kikao kile kilifanyikia Makambako kwenye Mkoa Mpya wa Njombe ambao kichama bado ni sehehmu ya Mkoa wa Iringa.

Uchaguzi ule niliusimamia mimi mwenyewe kutokana na sababu za kiufundi wala si kwa utashi wangu mimi binafsi, CHADEMA hatuna kamati tendaji ngazi ya Mkoa badala yake tuna Baraza la Uongozi la Mkoa ambalo wakati huo lilikuwa halina Mwenyekiti. Kwenye kikao cha Baraza hilo ambalo Chiku na Msigwa ni wajumbe na wote walihudhuria (24/02/2012) ilikubaliwa kwamba niendeshe mchakato wa kuteua kaimu Mwenyekiti wa Mkoa ili kikao kiendeshwe na Mwenyekiti anayekubalika na wajumbe wa Kikao badala ya Baraza la Uongozi kuteua Mwenyekiti wa kuongoza kikao hicho.

TUNTEMEKE ana chuki binafsi na DR. Slaa lakini ukweli utabaki kuwa hakukuwa na fomu za kugombea kwa hiyo kusema kwamba Dr. Slaa alimshawishi Chiku Abwao kuchukua fomu ni uongo uliopindukia na wala si kweli kwamba Peter Msigwa amewahi kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa. Huu nao ni uzushi unaotakiwa kupuuzwa kwa nguvu zote. Labda TUNTEMEKE anaweza kutuambia ni lini Msigwa alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa na kikao kilichomchagua kilifanyikia wapi na uchaguzi ulisimamiwa na nani?

Nawasilisha!!

Allen Kilewella
Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Iringa
 
Kweli leo nimestushwa sana na habari kuhusu kile kinachoitwa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa. Ingawa habari yenyewe imeondolewa lakini madhara yake yatakuwa ni makubwa sana kama Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Iringa nikikaa kimya. Sijui kama huyo anayejiita TUNTEMEKE kama hata anajua ni kwa jinsi gani watu wanapambana kuuondoa mfumo mbovu uliopo.

Tangu mwaka 2010 CHADEMA Iringa tulikuwa hatuna Mwenyekiti wa MKoa kutokana na yule aliyekuwepo Benny Kapwani kujiuzulu Uenyekiti hapo tarehe 21/08/2010. Tangu wakati huo mpaka tulipofanya kikao cha baraza la Mashauriano Mkoa wa Iringa tarehe 25/02/2012 tulikuwa hatuna Mwenyekiti wa Mkoa.

Kwenye kikao hicho hatukuwa na uchaguzi kama inavyoelezwa bali wanachama walifanya uteuzi kwa mujibu wa Katiba kwani kikao hicho ndicho chenye mamlaka ya kuchagua viongozi wa ngazi ya mkoa. Wajumbe wa Baraza la mashauriano walipendekeza majina ya watu watatu kukaimu nafasi ya Mwenyekiti nao ni: Otmar .O. Haule, Chiku .A. Abwao na Thomas .S. Nyimbo.

Isingekuwa rahisi kwa wote watatu kukaimu nafasi hiyo kwa hiyo wajumbe walipiga kura si kuchagua mwenyekiti bali kuteua miongoni mwa hao watatu nani anafaa zaidi kukaimu nafasi ya Mwenyekiti wa Mkoa kwa kipindi cha mwaka mmoja hadi 2013 tutakapofanya uchaguzi wa nafasi hiyo kikatiba. Baada kura kupigwa Chiku Abwao alipata kura 59 na Thomas Nyimbo alipata kura 30 na Otmar Haule alijitoa kabla ya kura kupigwa.

Kwa hiyo hoja ya TUNTEMEKE kwamba kulikuwa na fomu za kugombea nafasi hiyo si za kweli kwani si Chiku Abwao wala Thomas Nyimbo walioingia kwenye kikao kile wakiwa ni wagombea wala wanachama hawakuja kwenye kikao wakijua kuwa Abwao na Nyimbo ni wagombea.

Na kikao kile cha Baraza la Mashauriano cha mkoa wa Iringa hakikufanyikia Makao Makuu ya Mkoa kama TUNTEMEKE anavyotaka tuamini bali kikao kile kilifanyikia Makambako kwenye Mkoa Mpya wa Njombe ambao kichama bado ni sehehmu ya Mkoa wa Iringa.

Uchaguzi ule niliusimamia mimi mwenyewe kutokana na sababu za kiufundi wala si kwa utashi wangu mimi binafsi, CHADEMA hatuna kamati tendaji ngazi ya Mkoa badala yake tuna Baraza la Uongozi la Mkoa ambalo wakati huo lilikuwa halina Mwenyekiti. Kwenye kikao cha Baraza hilo ambalo Chiku na Msigwa ni wajumbe na wote walihudhuria (24/02/2012) ilikubaliwa kwamba niendeshe mchakato wa kuteua kaimu Mwenyekiti wa Mkoa ili kikao kiendeshwe na Mwenyekiti anayekubalika na wajumbe wa Kikao badala ya Baraza la Uongozi kuteua Mwenyekiti wa kuongoza kikao hicho.

TUNTEMEKE ana chuki binafsi na DR. Slaa lakini ukweli utabaki kuwa hakukuwa na fomu za kugombea kwa hiyo kusema kwamba Dr. Slaa alimshawishi Chiku Abwao kuchukua fomu ni uongo uliopindukia na wala si kweli kwamba Peter Msigwa amewahi kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa. Huu nao ni uzushi unaotakiwa kupuuzwa kwa nguvu zote. Labda TUNTEMEKE anaweza kutuambia ni lini Msigwa alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Iringa na kikao kilichomchagua kilifanyikia wapi na uchaguzi ulisimamiwa na nani?

Nawasilisha!!

Allen Kilewella
Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Iringa
Hili jamaa Tunte sasa linatia aibu. Nalishauri litafute forum ya udaku.
 
Wanairinga huyu anayejiita katibu Wa mkoa ni lini mmemona kwenye mkutano wote Wa hadhara hapa mjini Iringa?mbowe,dr Slaa ,zitto umewahi kumwona huyo Allen?wakati Wa kampeni za ubunge hakiwahi kuonekana hata mkutano mmoja Wa Msigwa hajawahi kuhudhuria hata siku moja,afadhali hata chiku baada ya arumeru walikuwa na mkutano na Msigwa ,Allen usidangaye watu wewe umeonyesha upendeleo Wa wazi na unachuki na Msigwa kwani hata wakati wakampeni ulikuwa kinyume naye
Fomu ya chama ya Msigwa kuwa Mgombea nilimpa mimi, Mavuvuzela siku ya kufungua kampeni zake nilimpa mimi. mabango ya Dr. Slaa nilimpa mimi na mimi binafsi nimemfanyia sana kampeni wakati akigombea hata yeye analijua hilo. Mkoa wa Iringa hauishii Iringa Manispaa wakati wa Kampeni nilikuwa nasimamia sehemu kubwa sana tukiwa na rasirimali chache lakini na moyo mkuu wa mapambano.

Nimeshiriki Kampeni za Njombe Magharibi na Kaskazini na kwenye Kampeni za jimbo la Kalenga na Isimani kwa njia mbali mbali. Nadhani hizo ni kazi za kila mwana CHADEMA si lazima awe kiongozi. Hata sasa nashiriki kwenye kujenga mtandao imara vijijini kwa kushirikiana na viongozi wa chama wa Iringa vijijni,Kilolo na Mufindi. Hao ndiyo wakiulizwa wakisema kinyume nitastuka.

Halafu mimi sijiiti Katibu wa Mkoa bali ni Katibu wa MKoa wa Iringa na nilithibitishwa na Kamati kuu kuwa hivyo baada ya kushinda kwa kura kwenye uchaguzi wa Mwaka 2009.
 
MSIKIMBILIE KUSADIKI MAMBO,JIULIZIE HUYU KWELI NI KATIBU WA CHADEMA IRINGA?MUULIZENI MWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA NI NANI?ALIPATIKANA KUPITIA MCHAKATO UPI.....?
NI MUHIMU KUCHUNGUZA KWANZA KABLA HATUJAAMINI MAMBO...watu wametumwa kupoza mambo hapa...kupoteza maana ya Great thinkers.
Mm nipo Huru sina chama..lakini tusisadiki mambo bila kujua ukweli wake.
 
Thanks Mods kwa kumpiga BAN TUNTEMEKE kwa kupost taarifa za uchochezi.
 
Back
Top Bottom