Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
Haya sasa kama si kujichanganya ni nini? Katibu amefafanua vizuri sana huyu Josephine anakuja na kusema mgogoro huu hautadumu kitambo. Kwani katibu kasema kuna mgogoro? Jamani mbona mnatuchanganya? Mtu akisema mnasema mnafiki. Hilo nalo hapo hamlioni?
Kimbunga don't quote me wrong,aliyofafanua yanaeleweka,nilichosema kama issue ni mkoa soon tutasikia umegawanywa.
Rafiki kazi imekushinda,am sorry nitatumia haki yangu yakutoa maoni kujibu hoja pia,Imetosha mambo mnayofanya hayatavumilika tena,usiadae watu you are the same Tuntemeke,umebadili ID tu.
Mawazo yako tulishayasoma kitambo.Kinachonishangaza ni pale mnaposhindwa kutumia vikao halali kujibu hoja na kuleta unafiki hapa jukwaani.