Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 128
Hawa wahusika wa hii club wamekuwa kwenye entertainment business for decades. Lakini cha ajabu mpaka leo bado hawajui (au hawataki) kwenda na wakati kwenye fani ya entertainment industry.
Yaani wanathubutu kuita lile godauni ndio ukumbi wa disco. Zaidi ya maandishi makuuuubwa nje yanayotambulisha disco lao, hamna kingine chochote cha maana kinachotoa sifa ya kuitwa club ya disco. Ukiingia ndani hamna manjonjo yoyote ya maana yanayokufanya ujisikie uko club. Kule ndani kuko kama godauni lenye bar na maspika kila kona.
Hebu tuweni serious kidogo kwenye mambo ya quality and stuff.
Yaani wanathubutu kuita lile godauni ndio ukumbi wa disco. Zaidi ya maandishi makuuuubwa nje yanayotambulisha disco lao, hamna kingine chochote cha maana kinachotoa sifa ya kuitwa club ya disco. Ukiingia ndani hamna manjonjo yoyote ya maana yanayokufanya ujisikie uko club. Kule ndani kuko kama godauni lenye bar na maspika kila kona.
Hebu tuweni serious kidogo kwenye mambo ya quality and stuff.