lugoda12
Senior Member
- Jul 28, 2018
- 160
- 337
UKOSEFU wa maji kwa wakazi wa Kimara, Stop Over, Suka, Bwawani, Mji mpya na mitaa mingine mbalimbali ya Dar es Salaam kwa muda usiopungua siku 3 mfululizo bila taarifa rasmi.
Katika sehemu ya TAARIFA ya DAWASCO kuna mitaa ambayo imetajwa kukosa maji n katika mitaa hiyo mitaa niliyoitaja hapo juu hakuna hata mmoja.
Kuna haja wahusika katika idara hiyo KUJIPIMA. ✍
Katika sehemu ya TAARIFA ya DAWASCO kuna mitaa ambayo imetajwa kukosa maji n katika mitaa hiyo mitaa niliyoitaja hapo juu hakuna hata mmoja.
Kuna haja wahusika katika idara hiyo KUJIPIMA. ✍