Uko wapi wa kunitoa Upweke?

Wewew Utajuaje huyu mkweli na huyu mdanganyifu? Utadanganywa tu humu. Lakini ka wanavyosema You never fail until you stop trying. Ukidanganywa endelea kujaribu..........
Me370 mi hiyo avatar yako tu, inamlenga nani?
 
Preta Duuuuuuuuuuuh! Hatimae umebadilisha nguo. Umependeza ki-viti maalumu.
 
Last edited by a moderator:
Dada yangu ni kweli wengu humu ni wasanii lakini hata walio serious wapo, jaribu kuna rafiki yangu alifanikiwa humu humu na amepatada mdada wanapendana kwelikweli
 
uko wapi wa kunitoa upweke jamani..? Nimekuwa nikisoma thread humu za kutafuta wenza nami nimeona nijiunge ili niweze kutafuta mwenza. Please nipo serious. Mi ni mwanamke mwenye miaka 30,muislam,nina mtoto na ni muajiriwa.

nichek ktk namba hii 2peane mikakati 0756222314 am seriaz
 
Back
Top Bottom