cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
sitaki tume huru, namtaka jack zoka tu na timu yake wanichunguze, wakisaidiwa na kova lol! ila mkiona kimya mjue mwenzenu kucha, meno kushneyyyyy! mje pande za mabwepandeeeee huko ndiko wote tunaotetewa na zoka hupelekwa lol!52 hii maneno ya cacico imekaaje? Mi nadhani cacico aundiwe tume huru .