VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mimi niko na Dereva nikielekea Mahakamani. Wewe je?
nimekumiss.....Niko nje naota jua ...
nimekumiss.....
Judgement, ungem-scan-ia ile karatasi wanayosaini malipo ya makalio ajionee mwenyewe. Ukipata na list ya wageni wa spika ili ajue umekutana na wake na waume wa wabunge gani.
Mie niko na kuku, nawawekea chakula.
Mie niko na my honey cacico tunajikumbushia tulivyokuwa tunaenda shule....... Mapenzi yatu yalianzia zamani jamani... Hapo kina Yummy na BADILI TABIA walikuwa bado hatujawaoa.Mimi niko na Dereva nikielekea Mahakamani. Wewe je?
niko na binti yangu tunakaanga chapati za kuuza.