johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,048
- 142,159
Waswahili Wana mambo mengi aisee yaani mtu anajiapiza Kabisa Eti Kawawa alikuwa CHAWA wa baba wa taifa Mwalimu Nyerere
Binafsi nakataa kwa sababu Kawawa ni mmoja wa Wafadhili wa TANU wakati wa kudai Uhuru
Mlale Unono!
Binafsi nakataa kwa sababu Kawawa ni mmoja wa Wafadhili wa TANU wakati wa kudai Uhuru
Mlale Unono!