fikramakini
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 247
- 60
Kwa tafsiri sahihi ya asset, nyumba sio asset,ni liability. asset ni kitu kinachokuingizia pesa, sasa kama nyumba unakaa tu mwenyewe inaingizaje pesa? sana sana inakutoa pesa kwa kurepair nk. gari pia si asset cuz linakutoa pesa kila siku za mafuta na repairs. asset takes money to your pocket,liability takes money out of your pocket.
Mkuu, hii copy and paste kutoka rich dady poor dady ya robert kiyosaki itakufikisha kubaya. Inaamaana hawa wenye nyumba sinza tunakopanga kwao ni liability? Acha utani bana.
Hata kama nyumba yangu sijapangisha ninaishi mwenyewe, nisingekua nayo si ningekua ninatumia pesa ku rent nyumba nyingine? Sasa hii rent ambayo nakua situmii kwakukaa kwenye nyumba yangu huoni kwamba nyumba yangu ninayo ishi teyar ni ASSET?
One final thing ..., ku-own nyumba US na Tz ni vitu viwili tofauti sanaaa. Wakati bei ya nyumba US ina flactuate (ie appreciate and sometimes depreciate) Taz nyumba na hasa kiwanya kina appreciate constantly ... that is fact.