screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Hivi alishapona ukimwi huyo?na wewe toka useme una ngoma ni taabu tupu
Hivi alishapona ukimwi huyo?na wewe toka useme una ngoma ni taabu tupu
Wanaume wa siku hizi ndivyo walivyo hata ukionana naye live ukamchekea ni kosa! mwingine bila haya anakupigia eti naomba unikopeshe laki moja nina hela yangu mahali ikitoka nitakurudishia, mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuualidhani nitamshobokea avune mapene mfyuuu
wanajua tuna huruma .Wanaume wa siku hizi ndivyo walivyo hata ukionana naye live ukamchekea ni kosa! mwingine bila haya anakupigia eti naomba unikopeshe laki moja nina hela yangu mahali ikitoka nitakurudishia, mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Wanaume wa siku hizi ndivyo walivyo hata ukionana naye live ukamchekea ni kosa! mwingine bila haya anakupigia eti naomba unikopeshe laki moja nina hela yangu mahali ikitoka nitakurudishia, mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuualidhani nitamshobokea avune mapene mfyuuu
wanajua tuna huruma .
Wanaume wa siku hizi ndivyo walivyo hata ukionana naye live ukamchekea ni kosa! mwingine bila haya anakupigia eti naomba unikopeshe laki moja nina hela yangu mahali ikitoka nitakurudishia, mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
hahahahah Kaveli, justify kama mie ni mwanamkehaaa, hivi kumbe wewe ni ke?
Mmh majina ya JF bwana, huwa hayatabiriki.
Ukute hata huyu Miss Natafuta ni kidume mwenzagu. Lol
-Kaveli-
Alikuomba hela au kukuibia jamaa wa Tabora?Ni kweli kabisa,hii ID yng haieleweki.
Kuna kipindi niliwasihi sn wadau humu wanisaidie nipate kibarua kutokana na nilichokisomea,daa walidhani me KE.Nakumbuka kuna Jamaa aliniPM no zake tena kwa uhakika kuwa post ya kazi ipo,masikini nilipomtafuta akasikia ni dume alikata simu na hakupoke tena.
Wewe Jamaa uliyekuwa unafanya kazi ofisi ya Mkuu wa mkoa Tabora Mungu akusaidie daima,wala sina kinyongo nawe.Ni tabia tu ambayo yakupasa kujisahihisha.
Karibu kwangu ikimpendeza Mungu.
Ila nakumbuka nilikuwa ktk hali tete sana.
Kwa nini ujifanye Mwanamke?? Huridhiki na 'jinsi' uliyonayo nini ulikuwa unataka ugundue nini hasa!
Kweli we Nanga!!!
Kwa nini ujifanye Mwanamke?? Huridhiki na 'jinsi' uliyonayo nini ulikuwa unataka ugundue nini hasa!
Kweli we Nanga!!!
Nyie wanaume na mie mnisaidie hapahapa ila sitaki pm
Wewe mbona ni mwanaumeNyie wanaume na mie mnisaidie hapahapa ila sitaki pm
Wewe mbona ni mwanaume
Hahahaha hapo sawa ni kweli sina chura. Hata zako sijawahi kuzionaLabda wanahisi hauna 'chura'. lol
BTW... pm zangu huwa huzioni kweli? teh teh
-Kaveli-
Hahahaha hapo sawa ni kweli sina chura. Hata zako sijawahi kuziona