Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,095
- 2,429
ndivyo ulivyoumbwa na wenzako. sisi wanaume wa ajabu sana unaacha msaidia mwanaume mwenzako ana hustle unakuja msaidia mdada mwingine unakuta anaishi kwa wazaz salary anaenda kununulia simu kali tu na viwalo. mwanaume mwenzio ana family anahitaji pesa ya kuendesha family. kisa mwanaume mwenzio hana cha kukulipa. kweli nakwambia hapa unakuwa umelipia kadi ya kupandia mwendo kasi kwenda motoni.
tusaidiane jaman. haya ni mapito leo kwako kesho kwa mwenzako. tusadiane na katika hili tusiangalie malipo. hamna msaada mkubwa dunia hii kama kumsaidia mtu kazi. lakini pia wanaume wenzangu siyo ukipata kazi sasa wewe unalala mbele na mabinti wa shetani.michepuko. achana nao hao kaa isaidie familia yako. mi nakusaidia kazi then unaenda tangaza ufalme bar...hili nalo linaumiza sana.of course sikupangii matumizi ya pesa zako.lakini tuoneane huruma.
tusaidiane jaman. haya ni mapito leo kwako kesho kwa mwenzako. tusadiane na katika hili tusiangalie malipo. hamna msaada mkubwa dunia hii kama kumsaidia mtu kazi. lakini pia wanaume wenzangu siyo ukipata kazi sasa wewe unalala mbele na mabinti wa shetani.michepuko. achana nao hao kaa isaidie familia yako. mi nakusaidia kazi then unaenda tangaza ufalme bar...hili nalo linaumiza sana.of course sikupangii matumizi ya pesa zako.lakini tuoneane huruma.
Jamani nimesoma post zenu nyingi hadi sasa naona wote mnakubaliana na mleta uzi,hata mimi nakubaliana naye ila tukubali kwamba hatuwezi kupigana vita dhidi ya Asili (To fight against the nature).Ndivyo tulivyoumbwa.