Hivi kamati kuu kazi zake ni zipi (nguvu zake katika chama) maana kila mmoj anakazana kuingia kule.Richa ya Nape kushindwa kabisa kwenye bando na anwani za makazi.
Na January kufeli kabisa kwenye umeme!
Utashangaa wanavyoenda kuchaguliwa huko kamati kuu.
Rushwa ni mbaya ila inawaneemesha Hawa vijana.
Rushwa ipo juu sn ndani ya CCMRicha ya Nape kushindwa kabisa kwenye bando na anwani za makazi.
Na January kufeli kabisa kwenye umeme!
Utashangaa wanavyoenda kuchaguliwa huko kamati kuu.
Rushwa ni mbaya ila inawaneemesha Hawa vijana.
Umeme ni tatizo la kihistoria, Makamba ana muda mfupi tu katika hiyo wizara, asingeweza kufanya maajabu, kutatua tatizo la umeme sio kama unavyoenda chumbani kwa mumeo na kumpa haki yakeRicha ya Nape kushindwa kabisa kwenye bando na anwani za makazi.
Na January kufeli kabisa kwenye umeme!
Utashangaa wanavyoenda kuchaguliwa huko kamati kuu.
Rushwa ni mbaya ila inawaneemesha Hawa vijana.
Dodoki la maana linapita hapa.Umeme ni tatizo la kihistoria, Makamba ana muda mfupi tu katika hiyo wizara, asingeweza kufanya maajabu, kutatua tatizo la umeme sio kama unavyoenda chumbani kwa mumeo na kumpa haki yake
Unajua kutangaza tenda ya kutengeneza mtambo wa umeme, kutengeneza mpaka uanze kuzalisha umeme inachukua muda gani? Hizo fedha unafikiri unakuta zimetupwa unaokota?
Na huo ukame uliotamalaki sehemu kubwa ya afrika?! Tukutume kwenye mabwawa ukamwage kojo yajae?
Fomesheni aliyoweka mama Nape, Makamba, Riziwani, Maharage Chande, Mafuru sio ya kunyamazia.
Wajumbe wanachotaka ni bahasha tuuRicha ya Nape kushindwa kabisa kwenye bando na anwani za makazi.
Na January kufeli kabisa kwenye umeme!
Utashangaa wanavyoenda kuchaguliwa huko kamati kuu.
Rushwa ni mbaya ila inawaneemesha Hawa vijana.
chama kina wenyeweRicha ya Nape kushindwa kabisa kwenye bando na anwani za makazi.
Na January kufeli kabisa kwenye umeme!
Utashangaa wanavyoenda kuchaguliwa huko kamati kuu.
Rushwa ni mbaya ila inawaneemesha Hawa vijana.
Majungu tuNyalandu: Kura zangu za Ushindi wa kuwa mgombea Rais wa JMT kupitia Chadema kapewa Tundu Antipas Lisu
Je, hiyo Siyo Rushwa
Hilo tatizo la kihistoria mbona hatukulisikia kwa magufuri?Umeme ni tatizo la kihistoria, Makamba ana muda mfupi tu katika hiyo wizara, asingeweza kufanya maajabu, kutatua tatizo la umeme sio kama unavyoenda chumbani kwa mumeo na kumpa haki yake
Unajua kutangaza tenda ya kutengeneza mtambo wa umeme, kutengeneza mpaka uanze kuzalisha umeme inachukua muda gani? Hizo fedha unafikiri unakuta zimetupwa unaokota?
Na huo ukame uliotamalaki sehemu kubwa ya afrika?! Tukutume kwenye mabwawa ukamwage kojo yajae?